Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Haahaha wewe kiazi kweli kweli sijakwambia upambane na Le kokobanga pambana na hali yako ; le mutuz keshapambana tayari na sasa anakula matunda ya juhudi zake, wewe unaepoyoka huku nyuma ya keyboard ndio upambane kivyako.Mimi nipambane na Lemutuz ili iwe nini? Le Mutuz hana profile ya kupambana nami
mimi tayari nakula Matunda ya Uhuru kazi yangu nikumshangaa Le Kokobangaz kulialia mapenzi Kama ndio ana baleheHaahaha wewe kiazi kweli kweli sijakwambia upambane na Le kokobanga pambana na hali yako ; le mutuz keshapambana tayari na sasa anakula matunda ya juhudi zake, wewe unaepoyoka huku nyuma ya keyboard ndio upambane kivyako.
Neema anacheeka anavyowadanya humuSijui huyo NEEMA NGWILULUPI anajiskiaje huko alipo!!? SHAME ON HER and all the Women like her.
Mbona nasikia ana degree tatu?Ushahidi Fika DMI pale Jirani na bandari.
Katika yote Le Mutuz hajawahi kugraduate kwa kua IQ yake, ubongo wake na ufahamu wake umefumaa
haterHata aandike kitabu kikubwa kiasi gani haitoshi kuficha maujinga yake anayofanya huyu mzee
Le Mutuz ni uongo sana sana DMI pale alishindwa mitihani, kidato cha nne alifeli kwa kupata Division zero.
Nimesoma porojo zake IG simply ni mtu anayerubuni watu kwa kutafuta huruma na excuse ya kushindwa kwake Maisha
Neema anacheeka anavyowadanya humu
Mkuu W. J. Malecela nimefurahishwa sana na hii "story" yako, lakini kuna kitu nataka kukushauri hata kama huwa unasema hupendi kushauriwa.
Iko hivi; kwanza achana kabisa na ngono zembe. Kwenye story yako nimeona umegusia mara kadhaa kuwa unamjua sana MUNGU, hivyo kama unalijua NENO la MUNGU kama unavyosema, basi ni lazima ujue kuwa MUNGU, hapendi vitendo vya "uzinzi na uasherati", vitendo ambavyo wewe umekuwa ukivifanya mara kwa mara. Tubu, mwombe MUNGU msamaha, na uanze maisha mapya, na uoe kama ulivyosema kuwa sasa unataka kuoa. Ukioa na kutulia, itakujengea heshima kubwa sana, hasa mbele ya watoto wako.
Pili, watoto wako wameanza kukua sasa, nafikiri mmoja ana miaka 19 kama sijakosea. Kama ni hivyo, huu ni wakati wa wewe kuanza kuwasiliana na watoto wako na kuwa nao karibu hata kama ni kwa njia ya mtandao. Watoto watakuelewa sana kama utaonesha initiative ya kuwa karibu nao kipindi hichi ambacho wanaweza kuchambua wenyewe ipi ni pumba na upi ni mchele. Despite what has happened in the past, but your kids still needs you in one way or another.
Tatu, imefika wakati uachane kabisa na majibizano ya kwenye mitandao na hao unaowaita "mashwetani" wanaotaka kukuangamiza. Ikiwa hutaweza kuacha kujibizana nao, tafadhali sana jaribu kuwa makini sana na vitu unavyo-post hasa picha za "mambebezzz" wako kwani tambua kwamba watoto wako na marafiki zao wanaweza wakawa wanasoma posts zako za mitandaoni, na hiyo itawaadhiri sana watoto wako. Nina uhakika baadhi ya posts ulizoziandika kwenye mitandao zitawaadhiri sana kisaikolijia watoto wako, hasa kama utaendelea kufanya hivyo. Naelewa kwamba "mitandao" ndiyo inakuweka hapa mjini, lakini unaweza kuiendesha kwa akili KUBWA bila kuwaadhiri watoto ambao wanauwezo wa kukufuatilia na kusoma kila kitu.
Nne, usiishie tu kuandika kitabu, ikiwezekana baada ya kutoa kitabu, tafuta mdhamini na utengeneze "movie" itakayohusu historia yako ya kweli ya maisha kuanzia kuwa mtoto wa Waziri Mkuu, kuwa baharia, kwenda New York na kuishi kwa miaka 25 huku ukiwa dereva wa malori, jinsi ulivyokutana na your ex, jinsi mlivyoachana, namna ulivyorudi Bongo na kuanza upya maisha ukiwa na dola 1000 tu, n.k. Naamini hiyo "movie" kama itachezwa vizuri inaweza ikawa ni movie bora kabisa ambayo imewahi kutengenezwa Tanzania kama siyo Africa.
By the way huu ni ushauri tu, na unaweza kuufanyia kazi ama kuupuza. Mimi siku zote huwa napenda sana kuwashauri watu waache maovu, na huwa sijali kama wanasikiliza ama wanadharau. So its up to you to decide bro, but remember this line; "For GOD shall bring every work into judgement, with every secret thing, whether it be good or whether it be evil".
Mzee kipengele cha ex wako kuoolewa tena na mwislamu hasa mke wa pili inaonekana kimekuuma na umekirudia mara nyinginyingi katika uandishi wako!!! Hiyo ndo weakness yako.
Yani wewe mkorofi..[emoji3][emoji3] maana si kwa maswali hayoKwahiyo una wachumba wawili mbona umetuwekea wawili tofauti
hongera story yako ni nzuri, ila mwanamke wako aisee ni kichwa maji sana. hata hivyo, tumesikia upande wa kwanza, kwetu sisi wanasheria umetuaminisha kuwa mwanamke ni wa aina hiyo, tukisikia upande wa pili nao ulete story yake hapa, usijeshangaa mambo yanabadilika ghafla. kwetu sisi wanasheria, huwezi kuamua kesi kwa kusikiliza upande mmoja, kila mtu ana story yake, lakini kwa harakaharaka, kwa kadiri nilivyoanza kukufuatilia nimeamini wewe huwa unaongea kilichopo moyoni na kuna uwezekano mkubwa ukawa mkweli.....umeshaestablish primafacie case inayohitaji x wako au watu wengine wanaokujua upande mwingine wajitetee ili jamii itoe hukumu kwa either kujifunza au kuwakosoa. but generally, kuna jambo kubwa sala la kujifunza kwenye maisha yako, na kwa mwili wako huo angekuwa mtu mwingine angeshakufa kwa pressure zamani sana, au angeshapata stroke...utakuwa uliumia moyo sana.
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji3][emoji3]Yani wewe mkorofi..[emoji3][emoji3] maana si kwa maswali hayo
Nlichopenda katika harakat zake zote,kuwin na kufail hajamlaumu mtu yoyote,tofaut na watu wengine akifeli anaanza kulaumu watu kwamba bila fulan kufanya hivi nisingefeli,Lemutuz pamoja na ugumu aliopata kwa ndugu zake from step mother bado amekua ngangari na hajawalaumu ndugu zake wala wazazi wake,anakaambia najilaumu mwenyew kwa ujinga wangu,either kwa kujua ama kutokujua[emoji2]
Kuna ka akili flani hivi amenipandikiza since nimeanza kusoma hii story yake,japo kwa haraka haraka huwez mwelewa
Facts za upande mmoja sio fact....
Atakuwa ni peter mwingine kabisa not from this planet.Huyo Peter Lwangisa nimesoma naye boarding enzi za primary. He used to be the most fearsome bully in school. I remember him as a vicious, violent, brutal individual who would beat you up for no reason. His was a reign of terror until the day he left the school. Kama mnaelewana naye huyo basi you guys must be cut from the same cloth.
Atakuwa ni peter mwingine kabisa not from this planet.