Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Hahaha af watu km ninyi,mtakua mmetokea familia masikini, af umesoma kdogo, una kanyumba, na kagar na mshahara around 1M, mnakuaga na nyodo sn. Kunawatu wanapata kpato km chako na kaz wanaacha na wanaenda kutafuta fursa sehemu nyingine, wapo wanaofanikiwa wengine wanfail, shida ninini! Kwan kawahi kukuomba hela?
Kweli mkuu bonge ya point kuna watu wengine hawawezi kujiupdate...
 
Nimepitia hyo HISTORY YAKO ya UBAHARIA,,, nimegunduwa ni UONGO MTUPU,, wewe mzee hukuwahi kuwa Baharia,, pengine ni STORY TU za VIJIWENI Umeamua kutuletea humu,,,, labda niwaeleze wakuu kwa faida ya wote... Ktk story yako umesema ulikuwa assistant engineer... Elewa kuwa ktk meli hakuna cheo HICHO.. Pili umesema umeshuka melini ukaenda marekani UKAWA unalala nje,,, means hukuwa na PESA,,, wakati BAHARIA YEYOTE pesa zake zinatiwa KWENYE account,,, ukishuka unazikuta zimejaa kwahyo km ulikuwa unafanya kazi melini kwa cheo HICHO ni lazima ungeshuka na pesa nyingi mno,, sasa why ulale nje? Ukose hata pesa za hotel? Wewe unataka kuhalalisha mambo yako ya hovyo unayofanya UTUDHALILISHE SEAFARERS... kumbe SEAFARERS ni watu wanaojielewa..... KWENYE meli Kuna MASTER,, CHIEF OFFICE ,,, OFFICES.,, BOSSEN,,,AB wa deck. .. na OS... hawa ni watu wa DECK.. Nina maana wanaofanya kazi juu ya meli..... Kuanzia MASTER ambaye Ndy CAPTAIN,, yeye ni mkuu wa meli,,, anafata chief officer ambaye yeye ni mkuu baada ya CAPTAIN,, kwa watu wa deck... Halafu Kuna 2nd officer,, 3rd OFFICE.. halafu Ndy officers wa kawaida.. Na hao AB wa deck na OS Ndy BAHARIA wa MWISHO... huko KWENYE injini ROOM Kuna CHIEF ENGINEER,, ndy mkuu wa mambo ya ufundi,,, 2nd engineer,, 3 rd engineer,, OFFICERS wa kawaida,, AB wa engineer.. Na OS,, sasa atwambiye huyo assistant engineer ni cheo gn? Msipigwe porojo za VIJIWENI,,, humu Kuna SEAFARERS kibao,,, asitudhalilishe na MAKAPTULA YAKE,,, anapaswa AOE,, na aache kuvaa MABUKTA kwa kisingizio cha UBAHARIA,, hiyo level yake ya mambo ya meli aliyokuwa nayo sio ya kwenda kubeba box marekani,,,, hata leo angekuwa na cheo HICHO cha mambo ya meli asingekuwa mpambe wa BASHITE,, hebu gougle Mshahara wa chief engineer,, au 2nd engineer,, kama hujaambiwa dola 8000 kwa mwezi... ubaharia hauna limit ya umri... Huyo mwongo kweupe,,,, mwambiye atuwekee pch YUPO on duty melini..... Wee mzee wacha fix... Nyie Ndy mabaharia wa kujichora NANGA MIKONONI,, hata meli hamuijuwi.. Mshahara wa ORDINARY SEAMAN(OS) ni dola 1000 hadi 1500 kwa mwezi.... Huyo ni mtu wa chini melini,,, OFICCERS wa kawaida wanakula DOLA 3500 hadi 4000 kwa mwezi,,, huyo 2nd. A 3rd engineer wanakula zaidi ya dola 6000 kwa mwezi.. Na kazi ni za mikataba miezi sita au tisa,,, unashuka likizo,, mwezi mmoja inchi KAVU.. Ni DOLA ngp angekuwa nazo? Aje awe mpambe wa BASHITE? atawadanganya wengine but sio SEAFERARS.. Awache meli akaendeshe malori,, ni UONGO

- Nilikua nasoma College na nimeweka wazi kua Miezi 6 Baharini na Miezi 6 Shuleni, Ukiwa Mwanafunzi huwezi kuwa Melini ukwa 2nd Engineer hahahahahaha seriously nilikua Apprentice Engineer kwa the sake of lugha rahisi nimeweka Assistant Engineer,

- Kuandika Uongo Chapter 22 inahitaji kua umekufa sio binadam wa kwaida, so take back ujinga wako ulichoandika wote ni ujinga mazafantazzz, nimeweka wazi nilikua kwenye meli ya CMB inayoitwa MV. Luxemburg na ilikua inabeba Coal nenda google utaikuta, nimesema nimesoma Zeeman College Antwerpen, nimelala kituo cha basi nikiwa na hela zangu mfukoni so relax mjinga wewe hata meli hujawahi kupanda. hahahahahaha U know

le Mutuz
 
- Nilikua nasoma College na nimeweka wazi kua Miezi 6 Baharini na Miezi 6 Shuleni, Ukiwa Mwanafunzi huwezi kuwa Melini ukwa 2nd Engineer hahahahahaha seriously nilikua Apprentice Engineer kwa the sake of lugha rahisi nimeweka Assistant Engineer,

- Kuandika Uongo Chapter 22 inahitaji kua umekufa sio binadam wa kwaida, so take back ujinga wako ulichoandika wote ni ujinga mazafantazzz, nimeweka wazi nilikua kwenye meli ya CMB inayoitwa MV. Luxemburg na ilikua inabeba Coal nenda google utaikuta, nimesema nimesoma Zeeman College Antwerpen, nimelala kituo cha basi nikiwa na hela zangu mfukoni so relax mjinga wewe hata meli hujawahi kupanda. hahahahahaha U know

le Mutuz

LeKiba[emoji817]
 
Si unaona hata hao wazungu wanamshangaa, nae wamemfanya kama kivutio

- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
huwa nakuelewaga sana bro! tatizo haters wengi wana kazi moja tu mjini ambayo ni "kubet", wakishaliwa pesa huko wanatafuta pa kumalizia hasira zao , u know
 
huwa nakuelewaga sana bro! tatizo haters wengi wana kazi moja tu mjini ambayo ni "kubet", wakishaliwa pesa huko wanatafuta pa kumalizia hasira zao , u know

- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
 
- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
Kudos Broo!! Kwa sasa mi nakuelewa sana aisee.......haters wapo wengi wengine hata hawajielewi!!
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Thanks for coming in mzee kuna vitu Vikisemwa sana huwa kweli. Thanks for accepting a request and the detailed clarification.
 
Ukimsoma Le Mutuz with an open mind, kuna vitu vingi vya kujifunza. Personally before this narration nilikuwa namchukulia jamaa kama unorganized. Pia kwa dhahma ya kifamilia na migogoro aliyoipitia angekuwa mtu mwingine angekuwa labda hata amejitoa uhai. If at all Le Mutuz is happy with his way of life, let him enjoy. Mwisho wa siku sote katika maisha are struggling for our happiness
 
- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
Nimegundua percent kubwa ya watu wanaomdiss Le mutuz wako huko bongo ila wengi walioko mambelez wanamuelewa sana hayo maisha aliopitia yapo sana ughaibuni. Na wengi wanaomchukia ni sababu za stress tu za bongo ingawa wenyewe wanajidai bongo hamna stress. Huyo wa melini achana nae ni baharia uchwara anasikiliza stories za vijiweni. Tuna series iendelee le mutuz.
 
- Nilikua nasoma College na nimeweka wazi kua Miezi 6 Baharini na Miezi 6 Shuleni, Ukiwa Mwanafunzi huwezi kuwa Melini ukwa 2nd Engineer hahahahahaha seriously nilikua Apprentice Engineer kwa the sake of lugha rahisi nimeweka Assistant Engineer,

- Kuandika Uongo Chapter 22 inahitaji kua umekufa sio binadam wa kwaida, so take back ujinga wako ulichoandika wote ni ujinga mazafantazzz, nimeweka wazi nilikua kwenye meli ya CMB inayoitwa MV. Luxemburg na ilikua inabeba Coal nenda google utaikuta, nimesema nimesoma Zeeman College Antwerpen, nimelala kituo cha basi nikiwa na hela zangu mfukoni so relax mjinga wewe hata meli hujawahi kupanda. hahahahahaha U know

le Mutuz
Bora umekuja naomba uniunblock jaman ulinipa block bahati mbaya mkuu
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Nakosa uhondo shunie mimi
 
- I mean thanks boss, makelele meengi as if wana maisha kweli hahahahaha guys eti huwa mnaongelea nini haswa na hayo mafanikio ya maisha yenu? Huwa ninajaribu kuwasoma nashindwa kuwaelewa, The Americans taught me Mwanaume anatakiwa kuwa na Maisha na maisha ni kula vizuri, kulala vizuri, kuvaa vizuri, na pesa mfukoni ambavyo vyote ninavyo as opposed na watu wengi sana humu,

- Kila siku kelele kuna yule Mjinga mmoja nimemuona anapigana sana na ukweli wa habari yangu, anatukuza Ubaharia foolish kabisa wewe kweli in your right mind unaweza kutukuza Ubaharia? Maisha ya kukaa baharini Wiki 3 bila Mwanamke? Halafu mnafika Uchina mwanamke mzee anaingia kwenye meli kwa boti ya magendo Mahabaria wote mnamgombania mama mzee wa Kichina, unasifia kua ni maisha?

- Wewe fala uliwahi kupanda Meli gani? Itaje I mean maneno maneno mengi kwa sababu ni mtandao hakuna anayekuona? hahahahahahaha Yes nilipokua naenda USA nilikua sijui nitafikia kwa nani lakini ningeweza kwenda kwa Balozi Chagula aliyekuwa best man wa harusi ya Baba yangu hivi unaamini angenifukuza? I mean unaandika ujinga ujinga unadhani sisi wote ni wajinga wajinga kama wewe?

Tulia soma habari ya MWanaume hapa kama huwezi kapike jikoni mazafantazzz mjini hapa wengine mtavalishwa madela U know!

Le Mutuz
We ni mpambanaji hongera sana story yako inafundisha sana lemutuz
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
Sasa le mutuz ... nikodishe shamba la kinyerezi kuna mradi nataka nipige bhasi afu faida ikitoka nitakuwa nakugawia kidogo....

Ila hapo kwenye dating experience tanzania itasimama kwa muda....
 
- hahahaha hapo nilikua Dubai kwenye mapumziko, I mean sijawahi kujaribu kuwaelewa Wabongo wengi sana ambao hawana maisha lakini wapo mbele kulilia maisha ya wengine.

- Nimkwenda Belgium, kule nimetumia Miaka 5 ya kusoma na kurudi Bongo nikajenga nyumba jirani na Mzee Apiyo ambaye baadaye niliiuza nikaongeza pesa zangu za mtaani nikaenda USA nikaishi Miaka 25 ambayo 10 niliitumia kusoma. Nikarudi Bongo na Dola 1000, 500 nikanunua Laptop ambayo ndiyo nilifungulia Blog na kuanza kupiga pesa za matangazo, nilianza na Elfu Tano mpaka leo Ninapiga Millions. Nikafungua Kampuni ambayo leo inaajiri vijana 10, 6 kati yao wamemaliza Vyuo Vikuu, nimefanikiwa kuwa na Apartment with 3 Bedrooms downtown Posta, nina Ofisi yangu downtown Posta, nina gari la kunitoa Point A to B, ninajilipia maisha yangu, ninasaifiri kila wakati Kikazi na kula batazz sometimes. Kila Mwisho wa Mwaka ninaenda Nje kupumzika, Mwaka juzi nilienda South Africa Wiki 2 kupumzika, Mwaka Jana nikaenda China Hong Kong na Macau Kupumzika, Mwaka huu nimeenda Dubai kupumzika for 2 Weeks,

- Eti humu JF ninaambiwa na Life failure? huwa naishia kucheka sana sana maana sijawahi kuona binadam mbumbumbu kama wengi humu ndani, I mean nina nyumba na shamba Kinyerezi na nina Plot Mbweni, lakini kwangu cha msingi ni Quality ya maisha ninayoishi.

- Kumbuka niliporudi Bongo for Good Miaka 6 iliyopita sikuwa ninamfahamu mtu hapa mjini, lakini ni my Social Media works ndio zimenifanya leo ninafahamiana na kila mtu, Masikini na Matajiri wake kwa waume. Now ninalishagundua kua Masikini wenzangu wengi urafiki wangu na Matajiri unawasumbua sana hahahahaha lakini it is what it is kila mtu na maisha yake, honestly guys mimi mpaka leo hua naamini bado nipo USA ndio maana hua sina muda na mtu wala maneno ya kijinga jinga, akili yangu ni kubwa sana that sina muda wa kusikiliza ujinga wala kuujali,

- Msimamo wangu ya Kisiasa ni ninaunga mkono CCM kwa facts, ndilo kosa langu kubwa humu JF lakini I love JF maana Skills zangu za Social Media nilizipatia hapa na umaarufu wangu wa Social Media umeanzia hapa enzi zile watoto wadogo wengi humu mlikua hmajazaliwa, so guys kwa nini unahangaikia maisha ya mtu kama mimi ambaye nipo sawa ninaishi ninavyotaka na wewe huna maisha? Kumbuka binadam mwenye maisha hawezi kua na muda wa kujua maisha ya mtu asiyemjua, so poleni sana haters maana hapa kwangu mmekutana na ukuta hahahahahaha

- "MY AMERICAN EXPERIENCE" ni mwanzo tu bado nitaandika kuhusu Miaka 6 back in bongo, kuna "MY INSTAGRAM EXPERIENCE" BADO ninataka kuweka wazi "MY INSTAGRAM DATING EXPERIENCE" na katika Vitabu vyote hivi ni cha "MY INSTAGRAM DATINNG EXPERIENCE" ndio kitakuwa namba moja I know that maana nitawashangaza sana wapiga kelele the life I have lived in Instagram for the last 3 years of my fame, angalia unayejifanya kimbele mbele sana usije kukuta mama yako mzazi ameshawahi kuwa victim au dada yako, hahahahahahaha

- Guys bakisha maneno hujui lolote zaidi ya kujidanganya unajua ukweli wakati hujui kitu, tulia uelimishwe

Le Mutuz Mobimba! ...Le Mutuz Nye! Nye! Nye!
You killed dem haters
 
Back
Top Bottom