Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kwa kujipendekeza huko [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]We ni mpambanaji hongera sana story yako inafundisha sana lemutuz
Upo tayari kuanika identity yako ...!!!!![emoji1]Bora umekuja naomba uniunblock jaman ulinipa block bahati mbaya mkuu
Kipimo cha shamba ni kipande cha ardhi kuanzia ukubwa gani....????Hakuna mashamba kinyerezi usiwe mjinga, labda kama unaongelea bustani.
We ni moja kati ya watu ambao huwa nawaheshimu sana humu mbona unafanya mambo ya kipumbavu mkuu?Wewe ni miongoni mwa wale 6 licha ya elimu mlioipata vyuo vikuu mmeishia kuajiliwa kwenye blog?
Siku ZOTE WABONGO mnapenda POROJO kuliko STORY ZA KWELI...Hebu tupishe kwenye huu uzi, naona unatuchafulia hali ya hewa humu ndan
Unaonaje ukiweka story ya kweli isiyo na porojo?Siku ZOTE WABONGO mnapenda POROJO kuliko STORY ZA KWELI...
Ni mekushika pabaya Mr KINUKTA..Matusi na POVU LA nn? wewe Sio BAHARIA na wala hutokuwa BAHARIA,,, usitudhalilishe na uongo wako..hata vyeo vya meli Hujuwi... Wadanganye wasiopanda meli,,, Sio MIMI,,
Nina shamba kinyerezi labda kama definition ya shamba ni ekari 3+.
Mtu asiyekuwa na malengo ni wa kumuonea huruma tu! mtu kama ulikuwa hunywi, huvuti sigara na baharini hakuna mademu huyu jamaa alikuwa na starehe gani kipindi hicho na hela yake aliifanyia nini na kwake kipimo cha kuwa na comfortable life ni kupanda ndege na kulala hoteli nzuri duh duh !!! Ningemuomba Le Mutuz atuelezee uzoefu wake kuhusu habari za mabaharia wengi kutumika kusafirisha unga na madereva pia wa magari makubwa pia na yeye amefanya kazi sehemu hizo mbili!!! Je alishatumia unga, aliwashawahi kuuza unga na alipokuwa na maniggaz wengi pia kazi zao ni hizo.Je ilikuwaje kote huko stori za kutumia au kuuza unga hatujazisikia!!!!!!
[emoji38][emoji38][emoji38]Sasa le mutuz ... nikodishe shamba la kinyerezi kuna mradi nataka nipige bhasi afu faida ikitoka nitakuwa nakugawia kidogo....
Ila hapo kwenye dating experience tanzania itasimama kwa muda....
Watanzania wamejaa chuki na wivu ,na sasa team Mange kimambi wameamia JF ,kumsakama mtu mmoja
Le mutuz endelea na story achana na hao jamaa Wa kamati ya Roho Mbaya
Kuna mambo muhimu nimejifunza kwnye hi history yako.kweli ww ni fighter mzuri tatizo lako ni ccm inakuzeesha akili- Shamba langu lipo mpaka leo so wala sio ishu ni bonde zima na mlima wake na tambalale
le Mutuz
Nakiona kibamia kipo bussy kuchangia ujinga ujinga