Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,642
na mimi nimemuomba sana ani unblock ni Muda sasa embu niombee huko mkuu.!Mkuu Shunie Kwa jinsi ulivyokuwa unambembeleza Le Mutuz, Le Kokobanga, Mobimba, Nye nye nye, aku-unblock Instagram, nimeona niwasiliane naye na amekubali kuku-unblock.
Sasa nafikiri uko huru kutembelea page yake ya Instagram. Unajua Le Mutuz ni mtu mmoja "peace" sana, and he is always humble you know! Ha ha ha ha.
By the way, Le Mutuz amesema usirudie tena kuandika mambo ya "kipuuzi" kwenye Page yake ya Instagram, uki-comment, ucomment kwa adabu. Ha ha ha ha ha.