Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Ameongeza umaaruf wa kibamia chako
- Sijawahi kumuogopa Mange hata siku moja, sijawahi kukosa anything in my life kwa sababu ya Mange siku ikinitokea nikakosa something kisa Mange ndio nitaanza kumuogopa so far never, amehangaika sana na mimi kuwaridhisha wanaomtuma sana sana ameishia kuniongezea umaarufu tu!

le Mutuz
 
Hahaha wewe ni mpuuzi namba moja, eti historia ya JF? What has that got to do with me??yaani nipoteze mida kubishania ujinga kama huo ili iweje?? mzazi wako aliona wazi anapoteza muda kuwekeza kwa pimbi kama wewe ambae mpaka umri huo mama ako ANAFARIKI ukashindwa kujenga ata kaburi, mpaka umri huo bado UMAISHI kwenye apartments za kupanga..mjinga ambae mpaka umri wa uzee bado PICHA ZA UCHI na aibu zinasambaa mitandaoni!!

baba yako aliona mbali ndio sababu ulitelekezwa mapema sana..maana ni mzazi au ndugu tahira tu anaweza jivunia wewe..wasped sperm!!!
WELL SAID!!!
 
mkuu tusibishane, mimi ninakufahamu vizuri sana, usifikiri nimekufahamia kwenye mitandao. sasa kulinda heshima yako ngoja tujadili mengine, ila msg yangu ndio ilikuwa hiyo. lakini yote katika yote, still kuna vitu vingi nimejifunza toka kwako hasa kufanya kazi kwa bidii na kuvumilia vitu, pamoja na kwamba kuna mapungufu mengi sana ambayo sihitaji kabisa kujifunza toka kwako kwasababu kuna baadhi ya tabia zako mimi nimeziepuka na zimenipa faida kubwa sana maishani mwangu. ndo maana nilikuwa nasema usisema una akili kubwa, acha watu ndio wakuite una akili kubwa, wewe binafsi huwezi kujijua.

vilevile, unaweza kuwa unamiss point ya definition ya "maisha mazuri", what does maisha mazuri mean to you? ni kutoka na wabebez, kwenda vacation dubai au souz, kuiishi 30 years majuu? kula vizuri kwenye appartment ya kupanga?, definition yako ya maisha mazuri ni ipi? kuishi na mwili mkubwa kama tembo kama unakula garbage kila siku?
Hahahahhhh
.. Fact
 
upload_2018-2-20_10-26-16.jpeg

PART 31: "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Mwili wangu uli freeze kukutana na Mbongo aliyenichongea Kazini sikusema kitu nilimuambia tu kua "Nitaishi kuja kuona mwisho wako" akajibu "Wewe unajifanya mjanja sana na bado" baada ya Wiki mbili nikasikia Jamaa alikamatwa na FBI kumbe alikua anasafirisha Unga kutoka Bongo kwa kutumia Posta na kuuleta New York akafungwa Federal Prison Miaka 20 akapiga Miaka 10 alipomaliza akawa deported back to Bongo nilishamsamehe na leo ni mshikaji wangu sana tu yupo hapa mjini na we are kool nilijifunza siku mapema sana in my life kusamehe ...

Chuoni likaanzishwa Darasa maalum la Wanafunzi wenye AKILI KUBWAZZ tu yaani kila Darasa walikua wanachagua Mwanafunzi mmoja mwenye akili sana na kujiunga na hilo Darasa ambalo lilikua linafundisha kila kitu kwa wakati mmoja kwa likiitwa "HONORS CLASS" ilipokuja Darasa langu nikachaguliwa bila Ubishi wala Mpinzani Waalimu wangu wote waliridhia mimi kujiunga na Darasa my records hazikua na mpinzani Criminology inabebwa na masomo ya "PRINCIPLES OF INVESTIGATIONS" na "THE MINDS OF THE CRIMINALS"

Kwenye haya madarasa hakuna Mzungu aliyeweza kushindana na mimi kwa mfano kesi maarufu ya O.J Simpson ikiwa inaendelea Mahakamani tuliambiwa kila mmoja aangalie Facts za kesi atoe utabiri wa kama atashinda au atafungwa Wazungu wote darasani walitabiri atafungwa niliwakatalia kua HAWEZI kesi ni nyepesi kwa sababu Polisi waliohusika kuitayarisha ile kesi hasa the leading detective Furhman alikua racists na matokeo yakawa kama nilivyotabiri ikawa Heshima Darasa zima.

Hatimaye siku moja nikamaliza my "CRIMINOLOGY & POLICE SCIENCE" Associate Degree kwa kiswahili inaitwa Degree ya Pili sasa nikaamua kuhamia Lehman College Bronx kusomea BA ya Political Science ila now tatizo ni huwezi kusoma Degree bila kua na Proper Papers ..nikaanza mbio za kutafuta Njia cause maisha yalikua yameshanifundisha kua always kuna alternative ya kila kitu but nitawezaje kuvuka hiki kikwazo? ...
ITAENDELEA
 
Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!

akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?

Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!

Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??

View attachment 698167

tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??

Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa unagusa mulemule..
 
- Well, hili suala zima la Kibamia ni yale yale tu, my ex wife ameanza siku nyingi sana kunishambulia humu Jamiiforums kwa jina la "Case Mtanga" now nenda yapitie matusi yake yote toka alipoanza mpaka alipoachia kama kuna hata point moja alipogusia maneno ya Kibamia, infact alipoona singishiki ma mashambulizi yake hapa alimtafuta Mange akaanza kushurikiana naye mpaka akampa copy ya my Passport lakini hata ukisoma mashambulizi yake na Mange hutalikuta hilo neno,

- Again toka Mange ameanza kunishambulia ametumia maneno mengi sana ya matusi, akafika mahali akaanza kutumia ID zake Instagram kunitengenezea story akidai ametumiwa na watu kumbe ni yeye mwenyewe, kwa msiojua this game la Social MEdia ni kwamba Mange anazo ID kama 100 ambazo anaweza kuzitumia kukushambulia in one topic wewe ukadhani unasambuliwa na watu wengi tofauti ukitaka kujua kua ni ID zake utakuta followers 0. However hakuwahi hata siku moja kusema maneno ya Kibamia ni kwa sababu kwa kuongea sana na my ex wife anajua sio ukweli.

- However, huwa sina haraka na anything in my life hili suala la Kibamia nitakuja kulijibu kwenye kitabu changu cha "MY INSTAGRAM DATING LIFE" kwa sababu mle Instagram I have dated so many women Maarufu na wasiokua ambao ndio mashahidi wangu on that ingawa sio muhimu sana lakini for the sake of setting the record straight will do that. Otherwise, ningekua na Kibamia kweli my ex Wife angekua mtu wa kwanza kukomalia hiyo ishu kwa sababu kwa kuishi na mimi Miaka 15 kuacha Miaka kama 10 ya ku date tukiwa watoto sidhani kama baada ya kudate KIBAMIA kwa miaka 10 ya utoto wake angekubali kuja kuolewa na tena na KIBAMIA na kuishi nacho miaka 15 sio kweli, na besides Umaarufu wa Instagram umenifanya nitembee na wanawake wengi sana ambao kama ingekua kweli wangeshajitokeza siku nyingi sana kutoa ushahidi.

- One thing I must admit ni kwamba pamoja na matatizo yote niliyoyapitia bado siamini kwamba Matatizo yangu ni ya wengine hapana I am responsible na matatizo yangu ambayo mengi pia nimejitakia mwenyewe kwa kujua au kutokujua, kwa mfano Msichana aliyenirekodi nimekua naye close range dating for last two years infact nilikua ninaelekea kumuoa, akafanya kosa ambalo huwa sina msamaha nalo la kuchangia msichana wangu, Sheria ya Maisha yangu ni nikijua hapo hapoa namuacha. Niligundua Jumamosi nikamuacha Jumapili rasmi, Jumatatu akajifanya yeye alikua na Bwana siku zote na Jumanne kale kavideo kakatokea, Polisi wakaniomba niwape ruhusa wamkamate nikakataa nikawaambia muacheni ni Msalaba wake na Mungu wake.

- Ishu ya Kibamia haijaniumiza sana kwa sababu tu sina kibamia ila ningekua nacho kweli ninaamini by now ningekua nimeshajitoa Social Media kwa ujumla, again ninasema kwamba ishu ya Video makosa yangu yalikua ku date msichana mwenye uwezo mdogo wa kufikiri, ingawa pia imenihakikishia of how Good of a Man I am kwa sababu sijawahi kuachana na Msichana yoyote kwa amani ni kwa sababu wanakua wanajua watakachokikosa baada ya kuchana na mimi, so wanapigana na ile spirit ya "TUKOSE WOTE" but its ok yote ni maisha, na maisha lazima yasonge mbele.

Again I hope nimemsaidia mtu hapa.

Le Mutuz
Napenda sana confidence yako mkuu kwenye kujibu hoja za kimbea mbea waTz a.k.a ngozi nyeusi tuna matatizo mengi sana kichwani mwetu nasema hivi kwa sababu Haingiii akilini mtu unashupalia ku attack kiungo cha mtu huku unajua kabisa hakikuhusu kivyovyote.
 
Nimepiga kimya sababu nimeona ni UPUUZI kufuatilia story yake,, nikajiweka pembeni muendelee kudanganywa,,, USHAHIDI ninaoutaka mm sio USHAHIDI wa makaratasi,, aweke USHAHIDI wa picha,, yupo mwenye meli hyo,,, nimeshajiridhisha kuwa hakuwa SEAFERAR,,, labda wa inchi KAVU,, labda nikukumbushe mkuu,, hyo miaka anayosema amesafiri Ilikuwa ni miaka ya UONGO MWINGI,, nakumbuka watu WENGI kipindi HICHO Ilikuwa wananunuwa DOMUMENTS FAKE za meli,, NINA MAANA discharge book.. pomoja na documents zingine,,, zikiwa zimegongwa mihuri yote,, ili tu akifika mbele aonekane ni SEAFERAR,, Na kwanini watu wanasoma SEAFERAR... wanasoma ili kujuwa sheria na kuijuwa meli hata kabla hujaipanda,,,, hata kama mtu atakuwa na mavyeti,,, lakini hakusoma,,vyeti vina maana gani! yeye hajuwi vyeo vya MELI,,, atajuwaje SEAFERAR? Na Bado nalifanyia kazi suala LA kuingia BELGIUM kwa viza,,, maana miaka hyo TANZANIAN Passport holder Ilikuwa inchi nyingi za ulaya na UK unaingia BILA VISA,,, bado nachimba chimba gougle.... nione uongo wake... Mimi ni SEAFERAR,, na siwezi kuweka nipo meli GANI,, kila mtu anajuwa humu yupo UNKNOWN.. ILA maelezo yangu yanajitosheleza,,,
Acha kuwa kama mchawi kijana mdogo una chuki mpaka tako linakuwasha yaani.
 
View attachment 698449
PART 31: "MY AMERICAN EXPERIENCE"
Mwili wangu uli freeze kukutana na Mbongo aliyenichongea Kazini sikusema kitu nilimuambia tu kua "Nitaishi kuja kuona mwisho wako" akajibu "Wewe unajifanya mjanja sana na bado" baada ya Wiki mbili nikasikia Jamaa alikamatwa na FBI kumbe alikua anasafirisha Unga kutoka Bongo kwa kutumia Posta na kuuleta New York akafungwa Federal Prison Miaka 20 akapiga Miaka 10 alipomaliza akawa deported back to Bongo nilishamsamehe na leo ni mshikaji wangu sana tu yupo hapa mjini na we are kool nilijifunza siku mapema sana in my life kusamehe ...

Chuoni likaanzishwa Darasa maalum la Wanafunzi wenye AKILI KUBWAZZ tu yaani kila Darasa walikua wanachagua Mwanafunzi mmoja mwenye akili sana na kujiunga na hilo Darasa ambalo lilikua linafundisha kila kitu kwa wakati mmoja kwa likiitwa "HONORS CLASS" ilipokuja Darasa langu nikachaguliwa bila Ubishi wala Mpinzani Waalimu wangu wote waliridhia mimi kujiunga na Darasa my records hazikua na mpinzani Criminology inabebwa na masomo ya "PRINCIPLES OF INVESTIGATIONS" na "THE MINDS OF THE CRIMINALS"

Kwenye haya madarasa hakuna Mzungu aliyeweza kushindana na mimi kwa mfano kesi maarufu ya O.J Simpson ikiwa inaendelea Mahakamani tuliambiwa kila mmoja aangalie Facts za kesi atoe utabiri wa kama atashinda au atafungwa Wazungu wote darasani walitabiri atafungwa niliwakatalia kua HAWEZI kesi ni nyepesi kwa sababu Polisi waliohusika kuitayarisha ile kesi hasa the leading detective Furhman alikua racists na matokeo yakawa kama nilivyotabiri ikawa Heshima Darasa zima.

Hatimaye siku moja nikamaliza my "CRIMINOLOGY & POLICE SCIENCE" Associate Degree kwa kiswahili inaitwa Degree ya Pili sasa nikaamua kuhamia Lehman College Bronx kusomea BA ya Political Science ila now tatizo ni huwezi kusoma Degree bila kua na Proper Papers ..nikaanza mbio za kutafuta Njia cause maisha yalikua yameshanifundisha kua always kuna alternative ya kila kitu but nitawezaje kuvuka hiki kikwazo? ...
ITAENDELEA

Associate degree ni sawa na Advance diploma hapa bongo ukimaliza hiyo ndio unaingia degree.
 
Associate degree ni sawa na Advance diploma hapa bongo ukimaliza hiyo ndio unaingia degree.
Mkuu naomba ufanye research kwenye hii ulioandika hapa,
Matangazo mengi ya kazi hapa Bongo huandika kua wanahitaji Mtu mwenye Degree au Advanced Diploma,
Pia Qualification za kuingia Masters kwa Hapa Bongo ni either Degree or Advanced Diploma,
 
Mzee William pole sana ni lazima uwe na uchungu sana Neema si unajua tena uliwahi kunywa hadi sumu kwa ajili yake Agapeo yuko over 18 mbona hakutafuti lakini anawasiliana na shangazi zake na babu yake na wao ndio wanawatia moyo watoto Sechela na Mwele hadi wanaomba msamaha on your behalf wanasema ikiwa William aliweza kumtupa mama ake akawa anaishi kimaskini kwenye kibanda cha choo sasa ataweza kumjali nani tena?Ile video yako imewadhalilisha ukoo wote wa Malecela hadi mzee pressure ilipanda ,Watoto wanafata ushauri wa shangazi two Do Mwele na Sechela kwamba wakuacge tu uendeleee kuwa teenager na uzidi tu kudesrespect mama yao hadi umeaibishwa na mtoto Nasra internationalpole babu kipoint

1. Baharia niliyekua nagombewa na wabebezz nijiue kwa sababu yako? Sasa ilikuaje sikufa? hahahaha Watoto ni wangu wala sina wasi wasi tatizo ni unahangaika sana sijui unachohangaikia, mimi nimetulia najua wewe ni mjinga ndio maana ulipombembeleza Davis Mosha anilazimishe nikurudie nilimshangaa maana mimi nikurudie wewe akili ndogo hivyo? hahahahaha NEVER!

2. Niligundua siku nyingi sana wewe ulikua unadhani ninawaogopa ndugu zangu na ulidhani ninaweza kujikomba kwao, sasa unajua kua sio kweli unahangaika hahahaha wale hawana shida na wewe wala watoto wako wankuona mjinga tu usiyekua na idea ya Dunia ikoje, maana ungejua wale hawana habari na mtu zaidi yao tu, unajikomba komba kwao bure they could careless about you, uliwafurahisha kwenye Divorce basi caiuse walidhani itani destroy, walipoona haikufanikiwa sasa wamewekeza kwa Mange sio wewe, jifunze mjinga wewe!

3. Nasra aliyemuacha ni mimi, alichokifanya yeye na wewe hamna tofauti yoyote ila mmenihakikishai kua I am a good man na mnajua kua sio rahisi kupata Mwanaume bora kama mimi, ndio maana nikwawacha mnakimbilia kutafuta njia ya kunimaliza wengine wasipate wote mmeshindwa, Baba yangu hawezi kulilia kale kavideo anajua jinsi MWalimu alivyokua anamtukana matusi ya nguoni na sikutingishika hata siku, na kumbuka kama sio yeye ningepata taabu sana ku deal na wewe ni yeye ndiye aliyenipa ushauri ulionisadia sana namna ya ku deal na wewe mpaka leo unalia lia kwenye mitandao ni kwa sababu in the real life umenishindwa na Shetani wako aneykutumia.

le Mutuz Mobimba!
 
Mkuu naomba ufanye research kwenye hii ulioandika hapa,
Matangazo mengi ya kazi hapa Bongo huandika kua wanahitaji Mtu mwenye Degree au Advanced Diploma,
Pia Qualification za kuingia Masters kwa Hapa Bongo ni either Degree or Advanced Diploma,

- Kwa USA Associate Degree ni sawa na nusu Degree ndio maana ukiwa nayo badala ya kusoma Degree miaka 4 utaishia kusoma miwili zinahesabiwa nusu credits za Degeree.

le Mutuz
 
Tatizo sio mama ila hiyo house hapo nyuma, after 31 years za majuu + magari ya "kifahari" +kazi nzuri (dereva ya magari taka) + digrii tatu kweli hapo ndo mama yako anaishi!! Kweliii!!! Mobinda hana cha kujitetea kwenye hili, alimtelekeza mama yake (RIP).. No wonder baada ya miaka yote hiyo ya majuu akarudi na dola kadhaa za laptop na chenchi ya usd 500

- Yes nikuwa nimekusanya pesa mingi sana lakini zote nililipia Shule na inafct sijamaliza my story, usiwe na haraka utelewa ni kwa nini sikurudi na pesa na kwa nini nina pesa za kunitosha sasa hivi

le Mutuz
 
Boma nye dawa imepenya leo vilivo

I had a long drive from work na nilipata PM's kuwa nikusamehe..na baada ya tafakari na wewe kuonyesha unyonge na kukubali kuwa umtupu kichwan nikakuacha.

Infact nimepata huruma sana baada ya mimi kuwa kichocheo cha watu wengine wengi kuja na hoja nyingi zikiwa na ushuhuda na kila ishara kuwa waanchoongea dhidi yako sio cha kubahatisha. hoja na shuhuda hizo pasi na shaka zimeonyesha how irresponsible parent and useless individual you are!!

Pole sana..to be honest sikujua kuwa wewe ni ndezi wa kiwango kikubwa kias hiki..

Nduguzo wa karibu wamefariki kwa sababu yako, watoto wamekukimbia, mama wa watoto wako anakutukana mitandaoni..baba yako anakukana, ndugu hupatani nao, huna nyumba ya kuishi zaidi ya kichuguu!! Etc etc

Uko kwenye siku za mwisho za uhai wako najiuliza kwa idadi ya chuki unazozidi kujenga na watu mbalimbali siku ya msiba nani atakuzika?? Kuna mtu kaniambia kwenye social media huwa unalalamika watu hawakupost siku ya birthday yako..hahaha nimecheka sana kias uyo mtu aka screenshot na kunitumia post yako ukilia kwamba umepostiwa na watu si zaidi ya kumi..stupid idiot

Hii ni ishara ata watu wanaokuzunguka na kuwapost mitandaon wanaonea aibu kukiri ata kupost tumbo lako kwenye page zao..je siku ya mazishi ako itakuwaje??

Na kufunga huu mjadala nikushauri tu..tathimini njia zako na ubadilike uko katika siku za mwisho za uhai wako.

Jeuri unazotambia instagram usilete huku..maana kuna watu wazima tunaokujua uchafu na uozo wote wako wote na bahati umetukuta mjini.

Mwisho umasema kina dada Doc Mwele walitaka kukupa sumu emu ona aibu kwa Mungu wako..Hao kina Mwele ndio wanaolisha na kuvisha watoto wako mpaka leo, huku wewe punguwani uko mitandaoni unapiga PICHA CHA UCHI

Huyu mwanao mwaka huu anafikisha miaka 19 emu kama unajitambua na una maisha mazuri kama unayoandika mtumie ata hela ya nguo au nae mpaka udongo wa Tunduma kwenye kaburi la mama yako uchutame..hahahaha jinga sana wewe..najaribu kuwaza huyu mwanao baada ya kuona video yako ukiwa uchi alijisikiaje..!!?

View attachment 698332

Progress of a fool is his own destruction

CASE CLOSED!!

THE LIST(C)..hahaha

- hahahahahaha umenivunja mbavu hayo ya kufa mbona wanaokutuma wameniombea wameshindwa? hahahaha utakufa wewe mimi utaniacha hapa hapa mpaka Mungu atakapoamua, nilipoamua kwenda majuu niliwafikiria sana watu kama wewe imagine nsingekwenda si ndio ungeniua kabisa kua sipo, mlitaka nisijulikane kua nipo hii ndio dawa yenu, naomba nikuambie kua siandiiki kitabu changu kwa bahati mbaya nilifikiria toka nikiwa mdogo,

- By the time nimemamliza kitabu changu mtakua uchi wote hahahahahaha hiyo tu ndiyo furaha yangu, hahahaha si unaona sasa mmeshajulikana kua ni wachawi na kujifanya fanya kote, kusoma bure hata elimu haikuwasaidia hahahahaha

hapa ndio kisiki chenu hahahahahaha subiri bado doze inakuja

le Mutuz
 
Back
Top Bottom