Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!

akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?

Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!

Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??

View attachment 698167

tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??

Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!

akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?

Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!

Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??

View attachment 698167

tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??

Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
Nimeona ulivyomkomalia W. J. Malecela Je unamdai? Je kuanguka kwake kimaisha kunakufaidisha vipi? Unaonaje uki-share maisha yako binafsi ili nasi tujue how good/rich you’re. In life, there are two things involved. Kufaulu or kufeli. And you can live both. Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?

My advice: Do not judge…
 
Kachezea muaka yake kwenye karatasi ndo anataka kusema ye niki benten au
 
Anavyosema mwenyewe lemutuz nasra ndio aliyemrecord
Le Mutuz anasema Mbowe kakimbilia South Africa kujificha na huyu hapa leo Central polisi ni nani?

Na bado mpo watu wake mnaamini huyo ana akili kichwani?

tapatalk_1519138952788.jpeg
 
- Seriously nilishamsamehe, na yeye ni kama huyu mjinga my ex wanajihangaisha sana lakini mimi nipo imara kila yanaponitokea huwa yananikumbusha yaliyokwisha nitokea nadharau, ninazo picha na video zake nyingi tu za aibu lakini itanisaidia nini kuzitoa? Nimeishi na my ex miaka 15 leo niamue kumvua nguo jamani itakua aibu ya ajabu kwanza atajinyonga maana wewe unajua mimi ninaweza kuandika na kufafanua, leo nikiamua kusema sababu zilizonifanya nimkatae na kufurahia divorce wote hapa mtalia machozi kwamba niliwezaje kumvumilia miaka 15, she knows that

- So worry not nilipokua USA kazi yangu ilikua inanipeleka Mortuary na Jela kila siku, so nilijifunza how to appreciate my life maana huku naona watu waliokufa na huku naona watu waliofungwa nikajifunza kwamba as long as nimeamka mzima that is all what matters, mengine sio muhimu sana

le Mutuz Mobimba
We le Mbebezi a.k.a le mutuz mi kwenye story yako sina LA kuongeza ila nafuatilia nione mwishob wake jinsi ulivyokuwa aise ila naona kama unakiri hapo juu kuwa hutoweza kuweka kila kitu wazi wakati unaandika real story plz weka mbo yote wazi tusiojua ukweli tujue usiogope we le mbabazi nekukubali kwa kupangua hoja ngumu za maahadimu wako ila sasa story yako fupi Sana'a ongeza ongeza sawa sawa ,bampa to bampa no stress no fear. Go go gooooo le mutuzzzzzzz
 
Le Mkunduz anasema Mbowe kakimbilia South Africa kujificha na huyu hapa leo Central polisi ni nani?

Na bado mpo maboya wake mnaamini huyo mwehu ana akili kichwani?

View attachment 698712
Huwa nakuheshimu sana kuniita boya acha tu nikurudishie boya mwenyewe kama mna matatizo yenu na lemutuz pambana na hali yako
 
Boma nye dawa imepenya leo vilivo

I had a long drive from work na nilipata PM's kuwa nikusamehe..na baada ya tafakari na wewe kuonyesha unyonge na kukubali kuwa umtupu kichwan nikakuacha.

Infact nimepata huruma sana baada ya mimi kuwa kichocheo cha watu wengine wengi kuja na hoja nyingi zikiwa na ushuhuda na kila ishara kuwa waanchoongea dhidi yako sio cha kubahatisha. hoja na shuhuda hizo pasi na shaka zimeonyesha how irresponsible parent and useless individual you are!!

Pole sana..to be honest sikujua kuwa wewe ni ndezi wa kiwango kikubwa kias hiki..

Nduguzo wa karibu wamefariki kwa sababu yako, watoto wamekukimbia, mama wa watoto wako anakutukana mitandaoni..baba yako anakukana, ndugu hupatani nao, huna nyumba ya kuishi zaidi ya kichuguu!! Etc etc

Uko kwenye siku za mwisho za uhai wako najiuliza kwa idadi ya chuki unazozidi kujenga na watu mbalimbali siku ya msiba nani atakuzika?? Kuna mtu kaniambia kwenye social media huwa unalalamika watu hawakupost siku ya birthday yako..hahaha nimecheka sana kias uyo mtu aka screenshot na kunitumia post yako ukilia kwamba umepostiwa na watu si zaidi ya kumi..stupid idiot

Hii ni ishara ata watu wanaokuzunguka na kuwapost mitandaon wanaonea aibu kukiri ata kupost tumbo lako kwenye page zao..je siku ya mazishi ako itakuwaje??

Na kufunga huu mjadala nikushauri tu..tathimini njia zako na ubadilike uko katika siku za mwisho za uhai wako.

Jeuri unazotambia instagram usilete huku..maana kuna watu wazima tunaokujua uchafu na uozo wote wako wote na bahati umetukuta mjini.

Mwisho umasema kina dada Doc Mwele walitaka kukupa sumu emu ona aibu kwa Mungu wako..Hao kina Mwele ndio wanaolisha na kuvisha watoto wako mpaka leo, huku wewe punguwani uko mitandaoni unapiga PICHA CHA UCHI

Huyu mwanao mwaka huu anafikisha miaka 19 emu kama unajitambua na una maisha mazuri kama unayoandika mtumie ata hela ya nguo au nae mpaka udongo wa Tunduma kwenye kaburi la mama yako uchutame..hahahaha jinga sana wewe..najaribu kuwaza huyu mwanao baada ya kuona video yako ukiwa uchi alijisikiaje..!!?

View attachment 698332

Progress of a fool is his own destruction

CASE CLOSED!!

THE LIST(C)..hahaha
Wewe The List utakuwa ni Mange Kimambi! Kama siyo Mange basi utakuwa mmoja wa wale wanawake wanaotumiwa na Mange kumpinga Le Mutuz. Mtoto wa kiume hawezi kuwa na maneno ya kwenye "khanga" kama yako.
 
Nimeona ulivyomkomalia W. J. Malecela Je unamdai? Je kuanguka kwake kimaisha kunakufaidisha vipi? Unaonaje uki-share maisha yako binafsi ili nasi tujue how good/rich you’re. In life, there are two things involved. Kufaulu or kufeli. And you can live both. Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?

My advice: Do not judge…
Nahisi huyo ni ndugu yake tena haswa dada yake maana alivyomjibu lekokobanga ni kama wanajuana wanavizia urithi wa mshua
 
Back
Top Bottom