Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ahahah the list nampenda aisee mambo zakeunaugua ugonjwa wa kuku (kidele) idiot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah the list nampenda aisee mambo zakeunaugua ugonjwa wa kuku (kidele) idiot
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Huwa nakuheshimu sana kuniita boya acha tu nikurudishie boya mwenyewe kama mna matatizo yenu na lemutuz pambana na hali yako
Unajichokonoa na kujicheka mwwnyew ila by fact najua dawa ilikuingia kunako.- hahahahahaha umenivunja mbavu hayo ya kufa mbona wanaokutuma wameniombea wameshindwa? hahahaha utakufa wewe mimi utaniacha hapa hapa mpaka Mungu atakapoamua, nilipoamua kwenda majuu niliwafikiria sana watu kama wewe imagine nsingekwenda si ndio ungeniua kabisa kua sipo, mlitaka nisijulikane kua nipo hii ndio dawa yenu, naomba nikuambie kua siandiiki kitabu changu kwa bahati mbaya nilifikiria toka nikiwa mdogo,
- By the time nimemamliza kitabu changu mtakua uchi wote hahahahahaha hiyo tu ndiyo furaha yangu, hahahaha si unaona sasa mmeshajulikana kua ni wachawi na kujifanya fanya kote, kusoma bure hata elimu haikuwasaidia hahahahaha
hapa ndio kisiki chenu hahahahahaha subiri bado doze inakuja
le Mutuz
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huwa nakuheshimu sana kuniita boya acha tu nikurudishie boya mwenyewe kama mna matatizo yenu na lemutuz pambana na hali yako
Kuna bidada kajibiwa hapo juu....duuh duuhAhahah the list nampenda aisee mambo zake
Naomba kuuliza, hivi Huyo Neema ngululupi baada ya kuachana na lemutuz kaolewa?we mwanamke ni mpumbav sana, nahisi le mutuz alipata shida sana kuishi na wewe. inawezekana mengi yameanikwa humu dhidi ya baba wa watoto wako kwasababu yako. kitu moja jua, wewe unawakilisha idadi kubwa sana ya wanawake wajinga na wavurugaji wa familia, wenye kiburi na jeuri, wewe unawakilisha wanawake wajinga ambao ukigombana na mtu aliyekuwa anachovya kwako kila siku unaanza kuanika mambo yake, yeye angeamua kuanika ya kwako ungesimama wapi? jua huyu ni baba wa watoto wako hata ufanyeje, na watoto hata wakimchukia kwasababu wewe umesema wamchukie kuna siku tu damu ni nzito kuliko maji.
binafsi kuna mambo mengi natofautiana na lemutuz, na nimesharushiana maneno mengi naye lakini ukweli uko palepale wanawake kama wewe ni mfano mbaya sana kwenye jamii. wanawake kama wewe ni wachache sana, jiheshimu Neema Ngululupi , hivi humwoni mange kwa matusi yake yote haaniki mtu aliyemtenda? kwasababu wanashare watoto, wewe utakufa siku moja utaacha watoto baba yao atatakiwa kuwa nao, halafu hakuna mtoto anaweza kumchukia babake milele, jifunze, we umesoma wapi wewe mbona hata watu wa vijijini hapa bongo wana ufahamu huo?unajisikiaje kutukanana na x wako hapa? mnaanikana hapa? jingajinga shenzini. kuna sehemu nilisoma post za le mutuz nikaona amekukoti kuwa wewe ndio x wake, kufuatilia nickname yako nikaona post rundo zote umempost yeye tu, umekosa pa kuongelea?
Mnamchukia nyie na unafki wenu, jamii haimchukiiUnamuonea bure huyo dada, nina uhakika wewe humjui vizuri Le nye nye nye.
Willy ni mshenzi na boya kabisa na yeye ni sehemu ya hizi drama, haiwezekani mtu mmoja uchukiwe na jamii kubwa hujiongezi?
Kama ni chuki bila sababu tungemchukia Ridhiwani Kikwete basi.
Huyu Willy ni bonge la pumbavu.
Yaani ni kwamba usimwamini sana mwanamke akili zenu mnazijua wenyewe....Kumbe Nasra ndio alivujisha ile video aisee nawaza tu hapa yaan mtu alikua mpenzi wako mnaaminiana mnashare vitu vingi na mpaka safari yako ya Dubai ya juzi umerudi ukamletea na zawadi sijui shetani gani alimwingia sisi wanawake jaman
Nilijua aliyekufanyia ule mchezo ni mwanamke ambaye umemuokota tu labda hamu ilikushika najifunza mengi usimwamini sana mtu
Le mobimba[emoji12] [emoji12] [emoji12]- Niliandika siku nyingi sana kwamba hii mifano ya Watoto wa Viongozi hainisumbui kwa sababu wanaishi kwenye nyumba nzuri kama mimi, ni marafiki zangu wa karibu sana, wanatumia magari kama mimi ninalo langu, wanasafiri kwa ndege kama mimi, wanaenda majuu kama mimi, wao ni Viongozi mimi ni Social Media King, wazungu wanaita Division of Labor, wote hatuwezi kuwa mawaziri kama baba zetu, cha msingi mimi na wao tunaheshimiana sana, ila ungefanya utafiiti kuna watoto wengi wa viongozi wa zamani hapa mjini hao unaowatja wakiwaona wanakimbia maana ni huzuni.
- Mimi wakiniona huanza wenyewe kuniita na hasa wake zao, hahahahahaha tulia kijana hahahahaha
le Mutuz
White nakuona kama unamnyapia le mobimba Nye nye nye......[emoji2] [emoji2] [emoji2]Huwa tunajisahau amesahau kama na wewe una mapicha yake na video za uchi daah pole sana mana mmekaa mda kwenye mahusiano hata kama labda mmeachana huwezi mfanyia mwenzio unyama huo ukumbuke na mazuri yake basi
Haaa haaaaa....umeona mbali maana ni hatareeKama Mange Kimambi ni DADA wa Taifa bas huyu bwana The List atakuwa KAKA wa JF
Huyu the list nitamfata pm
hahaaa nenda ukachambwe hababaikii vipochi manyoya huyoHuyu the list nitamfata pm
Hahaha napenda anavoanzaga kwa mbwembwe....hahah... lets gademu kura maisha
i am humbled u know....
yani kama u are havin a bad day pita tu page mbili tatu insta utajikuta furaha imerudi usoni mwako na page moja wapo ni ya LE MUTUZ MOBIMBA haswa pitia comments uone anavyojibu hahahah i love it u know