Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

- hahahahahaha umenivunja mbavu hayo ya kufa mbona wanaokutuma wameniombea wameshindwa? hahahaha utakufa wewe mimi utaniacha hapa hapa mpaka Mungu atakapoamua, nilipoamua kwenda majuu niliwafikiria sana watu kama wewe imagine nsingekwenda si ndio ungeniua kabisa kua sipo, mlitaka nisijulikane kua nipo hii ndio dawa yenu, naomba nikuambie kua siandiiki kitabu changu kwa bahati mbaya nilifikiria toka nikiwa mdogo,

- By the time nimemamliza kitabu changu mtakua uchi wote hahahahahaha hiyo tu ndiyo furaha yangu, hahahaha si unaona sasa mmeshajulikana kua ni wachawi na kujifanya fanya kote, kusoma bure hata elimu haikuwasaidia hahahahaha

hapa ndio kisiki chenu hahahahahaha subiri bado doze inakuja

le Mutuz
Unajichokonoa na kujicheka mwwnyew ila by fact najua dawa ilikuingia kunako.

By the way..mambo za ukoo wenu have never been my concern..hoja yangu tangu mwanzo ililenga kukupa mwanga from dellusional fairtales and lies unazojidanganya na baadhi wajinga unaowadanganya.

Na bila chembe ya shaka nimeprove with no dought una akili ndogo kama ya mwanao wa miaka 19.

Huna maisha kama unayoandika na kujisifia..infact maisha ya angalau umepata ukiwa kwenye umri ambao kitaalam ni umri wa kustaafu na kucheza na wajukuu.

Huna sifa wala hustahil kuwa mfano kwa vijana..kwa maana ni kijana mjinga tu atataka kufata mfano wa mzee ambae anapicha za uchi mitandaoni, mzee ambae watoto wake wamemtenga yaan hana familia na sababu ni tabia za uozo alizonazo..

Mzee ambae hata anaowaita marafiki wanamuonea aibu kukiri ukaribu wao kwa wati wengine

Mzee anaetukanwa na mzazi mwenzie..yaan umeshindwa kujenga mji wako mwenyew au kumcontrol mwanamke

Sasa ivi njia yako ya kutafuta huruma au kupotosha chochote kile kinachosemwa dhidi yako umekuwa na katamaduni kakusingizia uyu ni fulani, yule katumwa..mara huyu ni mtu fulan..na kwmb wanaokuonea wivu!! Najiuliza kwanini??

Kundi kubwa la watu waliokukosoa umekuwa ukiwasingizia kuwa ni ndugu zako..najiuliza inamaana ukoo wenu umevurugwa kias hicho??

I have no intention ya kuendelea na huu mjadala na niliupuuza tangu jana baada ya baadhi ya watu kuniomba nifanye ivo ila wewe ndondocha bado unawashwa..!

Taarifa niliyopata jion hii imezidi kunifanya ni dharau kwamba sio akili ndogo bali ata utu huna..natumai kitabu chako kitawaeleza wasomaji wake sababu iliyokufanya kutaka kumuua mama yako wa kambo umrithi baba yako mali..!!

Hahahahaha..alafu kwenye hii picha bado napata ukakasi kujua AKILI KUBWA ni yupi kati yenu..na kila mmoja alikuwa anawaza nini kichwan..hahha

1519153987532.png




OVA!!
.
 
we mwanamke ni mpumbav sana, nahisi le mutuz alipata shida sana kuishi na wewe. inawezekana mengi yameanikwa humu dhidi ya baba wa watoto wako kwasababu yako. kitu moja jua, wewe unawakilisha idadi kubwa sana ya wanawake wajinga na wavurugaji wa familia, wenye kiburi na jeuri, wewe unawakilisha wanawake wajinga ambao ukigombana na mtu aliyekuwa anachovya kwako kila siku unaanza kuanika mambo yake, yeye angeamua kuanika ya kwako ungesimama wapi? jua huyu ni baba wa watoto wako hata ufanyeje, na watoto hata wakimchukia kwasababu wewe umesema wamchukie kuna siku tu damu ni nzito kuliko maji.

binafsi kuna mambo mengi natofautiana na lemutuz, na nimesharushiana maneno mengi naye lakini ukweli uko palepale wanawake kama wewe ni mfano mbaya sana kwenye jamii. wanawake kama wewe ni wachache sana, jiheshimu Neema Ngululupi , hivi humwoni mange kwa matusi yake yote haaniki mtu aliyemtenda? kwasababu wanashare watoto, wewe utakufa siku moja utaacha watoto baba yao atatakiwa kuwa nao, halafu hakuna mtoto anaweza kumchukia babake milele, jifunze, we umesoma wapi wewe mbona hata watu wa vijijini hapa bongo wana ufahamu huo?unajisikiaje kutukanana na x wako hapa? mnaanikana hapa? jingajinga shenzini. kuna sehemu nilisoma post za le mutuz nikaona amekukoti kuwa wewe ndio x wake, kufuatilia nickname yako nikaona post rundo zote umempost yeye tu, umekosa pa kuongelea?
Naomba kuuliza, hivi Huyo Neema ngululupi baada ya kuachana na lemutuz kaolewa?
 
Unamuonea bure huyo dada, nina uhakika wewe humjui vizuri Le nye nye nye.

Willy ni mshenzi na boya kabisa na yeye ni sehemu ya hizi drama, haiwezekani mtu mmoja uchukiwe na jamii kubwa hujiongezi?

Kama ni chuki bila sababu tungemchukia Ridhiwani Kikwete basi.

Huyu Willy ni bonge la pumbavu.
Mnamchukia nyie na unafki wenu, jamii haimchukii
 
Kumbe Nasra ndio alivujisha ile video aisee nawaza tu hapa yaan mtu alikua mpenzi wako mnaaminiana mnashare vitu vingi na mpaka safari yako ya Dubai ya juzi umerudi ukamletea na zawadi sijui shetani gani alimwingia sisi wanawake jaman

Nilijua aliyekufanyia ule mchezo ni mwanamke ambaye umemuokota tu labda hamu ilikushika najifunza mengi usimwamini sana mtu
Yaani ni kwamba usimwamini sana mwanamke akili zenu mnazijua wenyewe....

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
- Niliandika siku nyingi sana kwamba hii mifano ya Watoto wa Viongozi hainisumbui kwa sababu wanaishi kwenye nyumba nzuri kama mimi, ni marafiki zangu wa karibu sana, wanatumia magari kama mimi ninalo langu, wanasafiri kwa ndege kama mimi, wanaenda majuu kama mimi, wao ni Viongozi mimi ni Social Media King, wazungu wanaita Division of Labor, wote hatuwezi kuwa mawaziri kama baba zetu, cha msingi mimi na wao tunaheshimiana sana, ila ungefanya utafiiti kuna watoto wengi wa viongozi wa zamani hapa mjini hao unaowatja wakiwaona wanakimbia maana ni huzuni.

- Mimi wakiniona huanza wenyewe kuniita na hasa wake zao, hahahahahaha tulia kijana hahahahaha

le Mutuz
Le mobimba[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Huwa tunajisahau amesahau kama na wewe una mapicha yake na video za uchi daah pole sana mana mmekaa mda kwenye mahusiano hata kama labda mmeachana huwezi mfanyia mwenzio unyama huo ukumbuke na mazuri yake basi
White nakuona kama unamnyapia le mobimba Nye nye nye......[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
hahah... lets gademu kura maisha
i am humbled u know....

yani kama u are havin a bad day pita tu page mbili tatu insta utajikuta furaha imerudi usoni mwako na page moja wapo ni ya LE MUTUZ MOBIMBA haswa pitia comments uone anavyojibu hahahah i love it u know
Hahaha napenda anavoanzaga kwa mbwembwe....
Eti smart people,smart life,kula maishaaaa
Be humble...hahaha Lemutuzi
 
Back
Top Bottom