William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
we mwanamke ni mpumbav sana, nahisi le mutuz alipata shida sana kuishi na wewe. inawezekana mengi yameanikwa humu dhidi ya baba wa watoto wako kwasababu yako. kitu moja jua, wewe unawakilisha idadi kubwa sana ya wanawake wajinga na wavurugaji wa familia, wenye kiburi na jeuri, wewe unawakilisha wanawake wajinga ambao ukigombana na mtu aliyekuwa anachovya kwako kila siku unaanza kuanika mambo yake, yeye angeamua kuanika ya kwako ungesimama wapi? jua huyu ni baba wa watoto wako hata ufanyeje, na watoto hata wakimchukia kwasababu wewe umesema wamchukie kuna siku tu damu ni nzito kuliko maji.
binafsi kuna mambo mengi natofautiana na lemutuz, na nimesharushiana maneno mengi naye lakini ukweli uko palepale wanawake kama wewe ni mfano mbaya sana kwenye jamii. wanawake kama wewe ni wachache sana, jiheshimu Neema Ngululupi , hivi humwoni mange kwa matusi yake yote haaniki mtu aliyemtenda? kwasababu wanashare watoto, wewe utakufa siku moja utaacha watoto baba yao atatakiwa kuwa nao, halafu hakuna mtoto anaweza kumchukia babake milele, jifunze, we umesoma wapi wewe mbona hata watu wa vijijini hapa bongo wana ufahamu huo?unajisikiaje kutukanana na x wako hapa? mnaanikana hapa? jingajinga shenzini. kuna sehemu nilisoma post za le mutuz nikaona amekukoti kuwa wewe ndio x wake, kufuatilia nickname yako nikaona post rundo zote umempost yeye tu, umekosa pa kuongelea?
- Kaka unapoteza muda wako bure na huyu mama aliyezaliwa na Mchungaji akadanganywa na mwanaume akabadili dini na sasa ni mke wa pili imagine hahahahahaha yaani nilikua na mke mwenye uwezo wa kuwa mke wa pili wa mtu mwingine, cha ajabu ni kwamba toka nimemkataa mpaka leo haachi kunifuata fuata unataka nini wewe? hahahaha mimi hunipati tena ilitoka ikirudi ina pancha hahahahahahhaa!
le Mutuz