Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!
akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?
Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!
Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??
View attachment 698167
tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??
Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
Nimeona ulivyomkomalia W. J. Malecela Je unamdai? Je kuanguka kwake kimaisha kunakufaidisha vipi? Unaonaje uki-share maisha yako binafsi ili nasi tujue how good/rich you’re. In life, there are two things involved. Kufaulu or kufeli. And you can live both. Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako?Huoni tatizo kuwa mtu mwenye akili kubwa na mafanikio kumuacha mama yake mzazi kufariki kwenye kichuguu??? Duh lord have mercy!!
akili huna ndondocha kabisa wewe..umesema maisha uliyoyapata bongo six years back wenzio wa majuu wanasema ni afadhali kuliko ulikokuwa mbele...!!?
Hii inamaana miaka yako tangu uzaliwe, ujana wako yaaani miaka 20- 45 ulikuwa kapuku tu..yaani sasa katika miaka 60+ ndio una hustle??? This is absurd!! Ujana wako wote ulikuwa unatukanana na mama wa watoto wako mitandaoni tu!!
Emu tizama hii picha kosha uniambie ni mtu gani mwenye akili timamu na umri wa uzee kama wako anafanya uzuzu kama huu??
View attachment 698167
tizama kundi la vijana walioko hapo kisha jiringanishe na ww..alafu uniambie ww kichwani ni mzima kweli??
Umri huo unapigwa PICHA ZA UCHI??? Mzee ulitakiwa uwe unacheza na vitukuu huku ukimeza ka ugoro kidogo sio kuonuesha izwazwa na maumbile yako kama puto mitandaoni eti akili kubwa..idiot labisa
My advice: Do not judge…