Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

Anyone who laughs at and mock others because of their looks, is an imbecile low-life moron. Get a life looser!
You sound like a pissy little girl regurgitating word-for-word what she learned in Bible class. Haya jitie kidole maana una recycle matusi yaleyale. Damn clown!
 
Na mpaka sasa watakuwa wanapendana sana ujue mkiunganisha damu ni ngumu muachane

- Kumpenda on my part hapana maana toka niachane naye sijawahi ku date msichana yoyote anayezidi miaka 25, leo naanzaje kurudi kwenye miaka 52? Please nilisha move on ninaendelea, simfuatilii never ni yeye anayehangaika hangaika mimi ni mtu wa maamuzi magumu na msimamo always, ananijua vizuri sana.

le Mutuz
 
- Kumpenda on my part hapana maana toka niachane naye sijawahi ku date msichana yoyote anayezidi miaka 25, leo naanzaje kurudi kwenye miaka 52? Please nilisha move on ninaendelea, simfuatilii never ni yeye anayehangaika hangaika mimi ni mtu wa maamuzi magumu na msimamo always, ananijua vizuri sana.

le Mutuz
Kama umeweza kutaja umri wa Neema 52 years sasa weka wazi na umri wako pia, hiyo ndio fair game.
 
Kama umeweza kutaja umri wa Neema 52 years sasa weka wazi na umri wako pia, hiyo ndio fair game.

- Aliyeanza ni yeye kwanza katoa mpaka copy ya passport yangu, lakini bado hajui umri wangu mpaka leo anahangaika na umri mara mama yangu, hahahaha ndio maana ya akili kubwa, Miaka 15 ya kuishi naye mpaka leo hanijui vizuri maana sikumpa nafasi ya kunijua vizuri,

- Now imagine nikiamua kumvua nguo hapa itakuaje? Hivi umeshawahi kulifikiria hilo? Yeye nilimuambia kua hata uhangaike vipi kunichafua nikakataliwa na Jamii hawezi, yeye pamoja na Mange wake wamejaribu kila njia lakini wanapiga ukuta, kaka usicheze na mimi tunaweza kupigizana makelele hapa tu uso kwa uso ogopa, na ndio mtaji wangu namba moja,

- Unaweza kusema yote hapa lakini tukikutana uso kwa uso yatakuishia tu, siku moja nilikutana na Mfalme wa Matusi humu aliyekua akinitukana sana siiku moja tukakutana uso kwa uso akaanza kujikanyaga kanyaga, mimi fulani wa JF kidogo nimtemee mate usoni hahahahahha akakimbia sina muda wa ujinga kaka ninaishi huku downtown

le Mutuz
 
- Aliyeanza ni yeye kwanza katoa mpaka copy ya passport yangu, lakini bado hajui umri wangu mpaka leo anahangaika na umri mara mama yangu, hahahaha ndio maana ya akili kubwa, Miaka 15 ya kuishi naye mpaka leo hanijui vizuri maana sikumpa nafasi ya kunijua vizuri,

- Now imagine nikiamua kumvua nguo hapa itakuaje? Hivi umeshawahi kulifikiria hilo?

le Mutuz
Hahah we mvue tu u Know?
 
Hahah we mvue tu u Know?

- Hapana cause atajinyonga for sure tena siku hiyo hiyo, ndio maana baada ya miaka 15 nilikua nimechoka sana na tabia ila yeye hakujua maana mimi ni mvumilivu sana sikumuonyesha hata siku moja kua nimefika mwisho, so alipoanza kulilia divorce hakujua furaha niliyokua nayo moyoni mwangu ingawa nisingeweza kumuonyesha wazi kua nilikua nimesubiri kwa muda mrefu sana, nilikua ninamlilia Mungu moyoni mwangu kua mbona nimeingia choo cha kike? hahahahahha Mungu akanipa nafasi ya kuchomoka leo nirudi tena? hahahahahaha please!

le Mutuz
 
- Kumpenda on my part hapana maana toka niachane naye sijawahi ku date msichana yoyote anayezidi miaka 25, leo naanzaje kurudi kwenye miaka 52? Please nilisha move on ninaendelea, simfuatilii never ni yeye anayehangaika hangaika mimi ni mtu wa maamuzi magumu na msimamo always, ananijua vizuri sana.

le Mutuz
Miaka 52 v/s Miaka 25,
What a Coincidence....!!!!!!!
ha ha ha
 
- Hapana cause atajinyonga for sure tena siku hiyo hiyo, ndio maana baada ya miaka 15 nilikua nimechoka sana na tabia ila yeye hakujua maana mimi ni mvumilivu sana sikumuonyesha hata siku moja kua nimefika mwisho, so alipoanza kulilia divorce hakujua furaha niliyokua nayo moyoni mwangu ingawa nisingeweza kumuonyesha wazi kua nilikua nimesubiri kwa muda mrefu sana, nilikua ninamlilia Mungu moyoni mwangu kua mbona nimeingia choo cha kike? hahahahahha Mungu akanipa nafasi ya kuchomoka leo nirudi tena? hahahahahaha please!

le Mutuz

Le kokobanga, naomba nitoke nje ya topoc kidogo!


Nimeona una Channel yako YouTube hadi muda huu ina-subscribers 16,033.

Kwa nafasi uliyokua nayo, kwanini usifikilie kuanzisha TV channel.? Una-link na watu wakubwa Tz.

Wale wenye tanzania yao wote ww ni rafiki zako hivi unashidwa kweli kuanzisha Tv channel?

Kwa nafasi ambayo upo nayo YouTube channel si hazi yako, apo ndipo ninapo pata ukakasi na themes yako ya kujiita una-akili kubwa.
 

Attachments

  • IMG_20180223_190629_041.jpg
    IMG_20180223_190629_041.jpg
    74.8 KB · Views: 103
Le kokobanga, naomba nitoke nje ya topoc kidogo!


Nimeona una Channel yako YouTube hadi muda huu ina-subscribers 16,033.

Kwa nafasi uliyokua nayo, kwanini usifikilie kuanzisha TV channel.? Una-link na watu wakubwa Tz.

Wale wenye tanzania yao wote ww ni rafiki zako hivi unashidwa kweli kuanzisha Tv channel?

Kwa nafasi ambayo upo nayo YouTube channel si hazi yako, apo ndipo ninapo pata ukakasi na themes yako ya kujiita una-akili kubwa.

- Well, nimefungua Online TV Miezi 2 iliyopita sijui kama unajua masharti ya kukubaliwa rasmi kuwa kwenye payroll ya You Tube, nimefanikiwa hilo in only 2 Months waulize walioko kwenye hiyo game wakuambie, mpaka leo ninao Sponsors wakubwa 3 wa My Online TV waulize waliokuwemo kwenye game kabla yangu kama wanao Sponsors?

- Maneno yako ni aidha unafanya makusudi au hujui the game, Millard na Global kama ingekua rahisi kuwa na TV na RAdio wangeshakua navyo, pole sana nimeanzia Online TV soon nitaongeza Online Radio then nitaanza marathon za TV na RAdio ila kwa sasa naendelea kuvuta pesa za Online TV na Blog ingawa it is my Instagram inayoniingiza pesa kubwa.

le Mutuz
 
Back
Top Bottom