William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #141
le totoz sina tatizo na thread ni ya kujirusha tu usitafute pa kupumulia labda hawa ndio wanaojaa ofisini kwako hadi unakimbia refer to the comments zako kwenye thread ya majuu.
nakusubili huku hapa hamna kitu usitafute pa kupungia upepo.
Mimi sijui kama mnabifu au jamaa ni komedy kwako.suelewi kwa nini wewe jamaa umekuwa falla kiasi hiki siku hizi? hivi kumsanifu mtu ndio kumsifia siyo?
haya njoo kwenye uzi wake wa majuu ndio ujuwe watu serious ni jinsi gani tunakuwa serious mtu akileta mzaha kwenye topic muhimu.
kama humjui le totoz ni pimbi kama wewe wenzako hii ni comedy yetu hapa jf.
uko too low yani wewe hapa jf unaangalia likes? seriously? kwahiyo watu wanaotumia simu wewe lazima uwaone wana roho mbaya maana wengi hawana access ya kutoa like. I see wewe jama kumbe ni bonge la tutusa.
,,,,nitakuwepo mkuu...pamoja sana...siwezi kukosa- elfu kumi TSH. 10,000 karibu sana mkuu!!
Le Mutuz
Mimi sijui kama mnabifu au jamaa ni komedy kwako.
nilichonoti kwenye uzi huu posts zako umemsifia sana lakini yeye mhusika amekupotezea bila kurespond chochote kwenye posts zako ulizomsifu(haku like wala ku'quote wala ku'comment).
Hizo bifu nyingine wewe na yeye sizielewi na wala sitaki kuzijua.
By the way, kijana mimi sio saizi yako kwanza JF yenyewe wakati unajiunga sisi ndio tumekukaribisha leo unajiona umota menu ya juu. Ahahahaahaa!!!
Kwa kawaida kichaa anapokimbia na nguo zako, ni busara kumwacha akimbie nazo.wewe ni mjinga kabisa una akili za kizaramo tu kujifanya uko mjini miaka mingi wakati huna nyumba wala gari,
wewe unaijuwa id yangu ya jambo forum? au unazuzuka na joing date ya id hii? tutusa wewe kama ulikuwa ujuhi kuna thread mbili tofauti nani alikutuma uje ukate viuno kwenye ngoma usiyoijuwa?
siku nyingine ndio ukome kukata viuno kwenye ngoma usiyoijuwaKwa kawaida kichaa anapokimbia na nguo zako, ni busara kumwacha akimbie nazo.
Kwa kawaida kichaa anapokimbia na nguo zako, ni busara kumwacha akimbie nazo.
,,,,nitakuwepo mkuu...pamoja sana...siwezi kukosa
....I know...nikikosa nitakua mzembezz u know....- Saafi sana U know!!
Le Mutuz