William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
- #141
le totoz sina tatizo na thread ni ya kujirusha tu usitafute pa kupumulia labda hawa ndio wanaojaa ofisini kwako hadi unakimbia refer to the comments zako kwenye thread ya majuu.
nakusubili huku hapa hamna kitu usitafute pa kupungia upepo.
- Kaka thanks maana the more unavyoandika ni the more pages zinaongezeka na ni the more viewers wanakuja it is good for my blog business kwa sababu wanaishia kuja blog that is all I could ask for so keep on coming mamen!!
Le Mutuz