LE Mutuz Instagram Party At Escape 1 Beach Club 2/8/2014 More Details Coming Soon!!

LE Mutuz Instagram Party At Escape 1 Beach Club 2/8/2014 More Details Coming Soon!!

- hUYU ni Miss Ukonga U know bonge la bebz mukareezzz kama vipi huoni kuwa ameosha U know, so I was like daamn hili bonge la chick how do I get her U know na mimi si unajua ni single so it was like woow I about to drop dead U know, ha! ha! ha! le bongo tambalalezzzz U know!!

Le Big Show

mtu mzima kuandika pumba kama hizo 'natia shaka' kiongozi na celeb unatoa mfano gani kwa jamii inayokuzunguka? Poleni sana mabebz kwa kushoboka mmesahau kuwa tamaa mbele mauti nyuma


*USHAURI NAO UJAZA PAGE*
 
- Hujasikia wazee wa kibaha waliandamana U know so sasa ni Kibaha kama vipi!!, otherwise kama kawa tupo life goes on mabingwa maadili JF poleni sana ila hamjasikia wabunge wetu wa viti maalum wanavyojazwa mimba na Viongozi wao wa Taifa wenye wake na familia zao mbona hamjawafundisha hayo maadili?

Le Mutuz

nataka nitupie tangazo langu at u r blog u kno, u blog kill dem like damnnnnn.how cn i got yaaaaah
 
mtu mzima kuandika pumba kama hizo 'natia shaka' kiongozi na celeb unatoa mfano gani kwa jamii inayokuzunguka? Poleni sana mabebz kwa kushoboka mmesahau kuwa tamaa mbele mauti nyuma


*USHAURI NAO UJAZA PAGE*

- So unataka niwajaze mimba wabunge wa viti maalum ndio utaelewa mfano wangu kwa jamii or what? ha1 ha! ha!, I mean I am single man ninachora mistari kwa mbebez kama huyu wewe unalia lia sasa ulitaka nijaze mimba wabunge wa viti maalum ndio utanielwa au what? ha1 ha!

Le Mutuz
 
- So unataka niwajaze mimba wabunge wa viti maalum ndio utaelewa mfano wangu kwa jamii or what? ha1 ha! ha!, I mean I am single man ninachora mistari kwa mbebez kama huyu wewe unalia lia sasa ulitaka nijaze mimba wabunge wa viti maalum ndio utanielwa au what? ha1 ha!

Le Mutuz
Hahahaha jf raha daaaaaa
 
- Tarehe 2/8/2014 ninatayarisha bonge la bash LE Mutuz Instagram Party at Escape 1 Beach Club, wote mnakaribishwa isipokuwa wale tu walio followers wangu wa Instagram ndio wataingia bure baada ya kuonyesha evidence mlangoni kwamba ni my followers lakini wengine wote kutakuwa na kiingilio na ndani ya Ukumbi all my Insta Follwers watakaa Special VIP Seats, so lets go people kama unataka kutoa sponsorship unakaribishwa anytime!! Call +255 717 618 997

Le Mutuz


Usimsahau Mbuta Nanga....!
 
Nawasiwasi sana na hizo pozi zako bila shaka ww utakua mfuasi wa David Cameroon
 
- Tarehe 2/8/2014 ninatayarisha bonge la bash LE Mutuz Instagram Party at Escape 1 Beach Club, wote mnakaribishwa isipokuwa wale tu walio followers wangu wa Instagram ndio wataingia bure baada ya kuonyesha evidence mlangoni kwamba ni my followers lakini wengine wote kutakuwa na kiingilio na ndani ya Ukumbi all my Insta Follwers watakaa Special VIP Seats, so lets go people kama unataka kutoa sponsorship unakaribishwa anytime!! Call +255 717 618 997

Le Mutuz

Usije niuza kama kibwetere big, imma folloe u in there dude.

Matter of fact, I feel ur swagg, rhythim and stylish life style big.

But kuna mpwa wangu anasoma pale Kwiro ulienda ukahidi vitu kibao kama former student..mpwa kanituma nikujulishe kwamba wanasubiri ahadi zile. Coz nimemwambia huwa tunakutana vijiwe vya mtandaoni.

Kinds regards,
Humble african.
 
Mtu Mzima tena mwenye umbo la Miraba Mi4 kupiga picha ukiwa umerembua hivi napata shida sana!

PEC3.JPG

Huyu mwanamke hata maziwa hayajaota
 
W. J. Malecela....umeoa?
Kama bado hujaoa, mie natafuta mume mwenye swaga kama zako ili aniweke ndani!!!!!
Nioe, hutajuta.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Malecela pole sana. Haki ya nani. Duuuu.

- Sawa sawa ila baba yako amepata faida kubwa sana kuzaa mtoto wa kuingia JF kwa jina la bandia na kurushia maneno ya kejeli asiowajua unasema kwa hilo baba yako amepata faida si ndio? ha! ha! ha1

Le Mutuz
 
Nawasiwasi sana na hizo pozi zako bila shaka ww utakua mfuasi wa David Cameroon

- zile zile tabia za walevi kuamini wengine wote ni walevi kama yeye kaka huoni unajisema mwenyewe who you are bila kuulizwa? ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Usije niuza kama kibwetere big, imma folloe u in there dude.

Matter of fact, I feel ur swagg, rhythim and stylish life style big.

But kuna mpwa wangu anasoma pale Kwiro ulienda ukahidi vitu kibao kama former student..mpwa kanituma nikujulishe kwamba wanasubiri ahadi zile. Coz nimemwambia huwa tunakutana vijiwe vya mtandaoni.

Kinds regards,
Humble african.

- Mwambie mpwa wako kwamba nakaribia kutayarisha fundraisin ya kuwasaidia si unajua kwa vile Big Celeb ninaweza hiyo so baada ya Insta party, nitafanya Miss Ilala and then ndio nitafanya hiyo kitu mwambie nakumbuka sana my promise nilipoenda shuleni kuwaona na kuwahutubia sana wasiakte tamaa na maisha!1

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom