Le Mutuz Is So Fragile Inside

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ha ha alafu yeye anabishanaga hata na watoto.. Anatukanana nao .. Wakimzidi facts anawablock[emoji23][emoji23] Mi alishaniblock kote nasubiri humu pia aniblock alafu tutakuja kuonana siku moja nitamwambia mimi ni fulani .. Akijichekesha namrekodi nawatumia ...

Mwafaaaaaazzzzzz
 
le mbebeziiiii the akili kubwazzz!

mie huwa nakufagilia kinoma!...the celebuuuu....ze akili nenes....
u know!
ha ha ha ha haa haaaaa
 

- mimi ni Big Celebrity wewe sio sasa tutakutana wapi? maana sehemu unazopita wewe mimi sipiti hahahahaha pole sana mimi sio your level wewe fukuzana na wanaotumia majina ya bandia kama wewe ndio level yako mimi sio!1 hahahahaha

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…