mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Teh tehHalafu kulala mbele ya umma hukawii kujamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh tehHalafu kulala mbele ya umma hukawii kujamba
Kumbe na wewe una baby[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtu mzima unakuja kutuanikia mahusiano yako mtandaoni tuma na picha mkiwa mnakwichkwich basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Me nitakuwepo kwaajili ya Ben ila wewe hakuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]- now kesho Arusha at Luxury Super Celebs. Party at the Gold Crest Hotel tukutane huko U know, Wolper, Kajala, Ben Pol na mimi tutakuwepo, kiingilio Tsh. 100,000 U know tukutane huko
le Mutuz
Me Namuonaga mwehu tuuu we jamaaaaa![]()
- Ni tofauti ya umri ndiyo inanifanya nipige pesa hapa wewe ulipie bando kutukana hahahahahahaha imagine mtoto wako ananunua bando bei mbaya kuja JF kutukana wanaume asiowajua unasema huyo mtoto mzima tena anatumia majina ya bandia si ni kama wewe tu mburulazzzz hahahahahahahaha
Afadhari huyu jamaa.....sasa mpinge pogba uone...ni selo tuuuNilimpa challenge kidogo akaniblock.
Wote na mange ukipinga unakula block mm wote wshaniblock!!jamani looh!
babu keanu!
Ohoooo!!!Kumbe na wewe una baby[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtu mzima unakuja kutuanikia mahusiano yako mtandaoni tuma na picha mkiwa mnakwichkwich basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afadhari huyu jamaa.....sasa mpinge pogba uone...ni selo tuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wote na mange ukipinga unakula block mm wote wshaniblock!!
Me Namuonaga mwehu tuuu we jamaaaaa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] u know yamekugusa??- HAHAHAHAHhahahaha I am back from Arusha it was a splash U know and I lov it
le Mutuz
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] u know yamekugusa??
Namuhurumia sana yule Mzee wetu PM mstaafu...kazaa lakini Mtoto sio riziki...!! Ndio maisha lakini ukizaa watano japo mmoja anachetuka
Asante Mungu ww sio baba yangu sijui ningepita njia gani mm, unaweza kubwia unga km huyu ndo mzazi wako jamani ni stress tupu huyu mtu hata babake atakua anajutia siku aliopiga bao la mimba yake
Kweli ww ni shoga ambae akil zako zmeshageukia kwny 0712,ww hujui mi ni ke au me lakin unaniita shoga kwa kuwa ndo mchezo wako unaoufanyaga ndo mana umekukaa kichwani hujion ulivyo punguani ,hahaaa- hahahahahah siku zote mashoga hujisema wenyewe maana mtoto wa kiume kuingia mitandaoni na kushambulia wanaume usiowajua hahahahaha lazima kuna sababu na umeisema mwenyewe hahahahaha
le Mutuz
Wallahi nafwazz u knowKwa kifupi.. Nimekaa nikajaribu kufatilia aina ya followers alionao Le Mutuz na celebrities wengine wachache..
Most of their followers ni watu wa kiwango cha chini sana kwenye uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo.
Na that's why Le Mutuz akipost anything mfano kwenye IG, comments karibia zote zinakubaliana na kitu alicho post.... hakuna mtu anayeargue chochote.
Mfano siku moja alipost kwamba 99% ya wanawake na wanaume walio kwenye ndoa wana cheat..!!
Almost wote walio kuwa wana comment walikuwa wana support... How can u support such a thing just without even asking labda tupe proof ya unachosema..??!!
Yeye huwa anasema tu.. Hii ni fact na sio Sheria yangu ndio hali halisi.. Basi.
Sikatai... mfano kwenye ndoa cheating zipo.. lakini when someone anakuja na figure (99%)lazima ku ask.. Provide proof kama ni research imefanyika etc etc.
Anyway ukiwa unataka kucheka kwa Ujinga wa kwenye mitandao.. Pitia page ya huyu Le Mburuluzzzz..
Ukimbishia kitu kwa fact anakupiga kufuli.
Hahahaahahaa Nafwaaazzzz.