Le Mutuz Is So Fragile Inside

Hawapngi coz wanaogopa block mi ashaniblock siku nyingi kisa nilimpnga tu wala ckutumia lugha mbaya wala kumtukana
 
Kwani huyu jamaa ana watoto/mtoto?
Nimesoma pahala ana degree 3 za fani tofauti tofauti je kazi anayoifanya inahusiana na fani alizosomea?
Na kama haihusiani ameshindwa kutafuta sponsor yeyoyote akamfadhili ili atendee haki fani alizosomea badala ya kukesha mitandaoni akibishana na watoto?
 

- ninatafakari majina ya leo umeyasikia mkuu

le Mutuz
 
Heri atukanaye mtandaoni ila sio wewe chaunafiki wewe siulikuwa unamtetea majjizo hauzi unga kakamatwa mbona humtetei....mwili mkubwa akili nukta kazi kujisifu ovyo tuu mitandaoni huna lolote ungekuwa na akili baba yako angekuwekaga hata kwenye ukuu wa wilaya
 
Hivi le Mutuz ni nani hapa Tanzania?

Je, ni kiongozi wa serikali?

Pili anajishughulisha na nini mi nasikia tu huku JF, mara Le Mutuz umetudanganya kiukweli mi binafsi simujui mtu huyu, naomba nifahamishwe.
 
Hivi le Mutuz ni nani hapa Tanzania?

Je, ni kiongozi wa serikali?

Pili anajishughulisha na nini mi nasikia tu huku JF, mara Le Mutuz umetudanganya kiukweli mi binafsi simujui mtu huyu, naomba nifahamishwe.

- Leo Super Kiss from Movie Star Rose Ndauka I lov it U know

le Mutuz

 
Hilo shuka au pazia
 
- Leo na wabebezz wakareezzz U know live!!

le Mutuz

Aaaaaaaaah kumamake le akili kubwaz le mbebez nipe hicho kiportable basi, cheupe mnato hicho....si unajua tena vizuri kula na mwenzako u know le akili kubwaz...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…