Le mutuz na Lulu wakila bata: u know, le tamkoz coming soon

Le mutuz na Lulu wakila bata: u know, le tamkoz coming soon

- Wewe sio Big Celebirty so Super Star Actress Lulu hawezi ku hang oout na mtu anayeona aibu U know so haya mambo tuwachie sisi Big Celebrity!!, halafu pale Hilton si unajua Soda Buku 10 so hahahahahaha lazima mtumzima uone aibu hata kuangalia le wabebezzz wa ukhuweeeeeee U know me I love it!!

Le Mutuz
KAMA SODA NI ELFU 10, BIA NI SHS NGAPI?

Btw, nimeshukuru kukufahamu.
 
Kwa mm huwa naona kama anaupungufu wa akili coz mtu mwenye akili zake timamu hawezi kufanya kama anayofanya huyu tahira wa malechela yan anawaibisha wagogo wenzie😀

- Hahahaahaha upungufu wa akili ni kuja JF kujadili maisha ya wasuikuhusu kwa kutumia majina ya bandia kweli unasema kuna upungufu wa akili kuzidi huo? hahahahahaha U know

Le Mutuz
 
Asubuhi hii keshaongea na Zari na dai!!duu,kawaamsha yeye??
 
- Wewe sio Big Celebirty so Super Star Actress Lulu hawezi ku hang oout na mtu anayeona aibu U know so haya mambo tuwachie sisi Big Celebrity!!, halafu pale Hilton si unajua Soda Buku 10 so hahahahahaha lazima mtumzima uone aibu hata kuangalia le wabebezzz wa ukhuweeeeeee U know me I love it!!

Le Mutuz

Jamaa kua ata kidogo basi........acha ushamba bana
 
- Hahahahaa I am just having Fun with my life U know and U know I am in love with my lifstyle na ninajua kuwa watu wengi wangependa kuwa na my lifestyle ila hwana jinsi U know so waniwache niendelee na my Fun, sina shida ya uwaziri wala anything I just want to have fun with my life asiyetaka AFWE for me!!

Le Mutuz

Ata ungeutaka nani angekupa myb?
 
Jamaa kua ata kidogo basi........acha ushamba bana

- Yaaani kura batazzz na Super Star Actress Lulu ni ushamba na kutokukua? hahahaha unasema kutumia majina ya bandia JF kutukana wanaume usiowajua ndio kukua na sio ushamba na mimi nikue niwe kama wewe? hahahahahahahahah NIFWE LABDA!!

Le Mutuz
 
- Chezeya The King Of All Bongo Social Media Network hivi Mwanaume gani humu JF asingependa ku hang out na le mbebezzz Super Star Actress Lulu Michael? Please wanaume wazima mnaacha kazi kufuatilia maisha ya wanaume wengine vipi jamani? I mean kama nipo na Super Star Lulu tunakula batazz na wewe nenda utafute le mbebezzz na wewe ukare batazz sio kulia lia hapa kama mtoto sasa unafikiri ndio Le wabebez Super star watakuonea huruma? Hapa mjini hapa kila mtu anakula kwa urefu wa kama yake!! hahahahahahaha and I love it!!

- Si niliwaahidi jamani kwamba nyie mtanisoma tu mpaka mkome kufuatil;ia maisha ya wanaume wasiowahusu U know!!

Le Mutuz
Wewe kula nao bata tu, unaishia kupata harufu ya papachu tu, lakini hupewi, walaji wamekaa wametulia, Hahaaaa Le Mutuz, le babuzi le beautiful boy.

Sisi hatuna muda mchafu wa kutafuta hao mabibiz kwaajili ya kula bata nao, sisi tunawatafuta kuwala wao.
 
Huyu mzee le mutuz u knowwwwww ni rika sawa na Pinda u knowwww ila mambo yake u knowww kama ya under 17 u knowwwwwwwww!!! sijui wakati wa ujana wake u knowww alikua anafanya nn u knowwww??
 
Umri wako na unayofanya tofauti ndo mana hata kuowa huwezi mana tabia zako za kisenge badilika we mzee mbona baba ako sio mshamba kama ww
 
We jamaa umeshindikana, tunaokubeza na kukuponda tunapenda labda ukasirike hata ujifahamu but we umekalia kucheka tu, Mwishowe umebaki kua unatuburudisha tu wengine na hizo "U know" zako!!
 
- Hahahahaa I am just having Fun with my life U know and U know I am in love with my lifstyle na ninajua kuwa watu wengi wangependa kuwa na my lifestyle ila hwana jinsi U know so waniwache niendelee na my Fun, sina shida ya uwaziri wala anything I just want to have fun with my life asiyetaka AFWE for me!!

Le Mutuz
Dunno that people hate u or just love to wind u up ,but sure u know how to handle affairs and would be haters-hat off! have fun mkuu, binafsi too would love to hang out with em cute bebez!
 
Back
Top Bottom