Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)



- ninajenga studio hiyo hapo, na ninajitayarisha kwenda South Korea kupata elimu zaidi ya haya mambo, so nipo sawa na wala sina wasi wasi

le Mutuz
 
Kama angekuwa ni askari wa cheo cha kawaida ingekuwa ameshastaafu manake mwisho ni 55 ambayo huyu jamaa alikuwa anakaribia kuigonga mwaka anaanzisha blog yake!!!


- hapana mimi sio Askari na siajiriwi na mtu ninajiajiri so take that back hahahahahaha ujenzi unaendelea na soon naruka to South Korea yaani kila kitu kipo under control,

le Mutuz
 


Hivi hii cheni au hirizi?? Maana toka enzi hizo za Mwinyi hadi leo.
[emoji23]

- hahahahaha ingekuwa ya kamba kweli ila FINE GOLD unashangaa? hahahahaha kweli humu JF kumejaa malimbukeni so ulidhani Gold inaharibika? hahahahahahhaa

le Mutuz
 
Hongera sana
Ila akili yako unaijua qee
 
Hahahhahahhhaaa. Wabongo nawagawa bure, aisee😀😀😀😀😀😀
 
Hongera sana
Ila akili yako unaijua qee

- Masikini ya Mungu wanahangaika na mfupa uliomshinda fisi nawaonea huruma sana hahahahahahahaa ninaishi maisha yangu, hakuna anayenilipia anything leo mtu analalamika kama vile ninamhusu duh! Wabongo wanataka wakuamulie namna ya kuishi hapa mmekwama ninaishi ninavyotaka na hakuna wa kuniambia lolote enjoy the show tu

le Mutuz
 
Jamani heshima tafadhali.Mnajua kuwa mnabishana na mzee umri wa Baba Bashite.
Huyu Mzee zamani mi nilikuwa namheshimu sana lakini zee lenyewe halina adabu! Ona post ambayo nilianza kuandika na kuleta yote haya:
Huyu Ajuza akaibuka alikotokea na kuja na huu ujinga kuijibu hiyo post hapo juu:
And trust me, nilikuwa na nia njema sana kwa sababu haya mambo mie ndo nafanyia kazi tena na professionals. Sio professionals wa kibongo, ni professionals kweli kweli!!!

Nikaona kwavile hili zee halina wa kumshauri kwenye haya mambo ya kisasa ngoja nimpe hint na akiwa interested, niendelee kumpa madini!!

Badala yake, kama ilivyo kawaida yake akaja na kashifa!! Labda linadhani kwavile ni ajuza basi watu hawatajibu mashambulizi yake kwa sababu Kiafrika, ajuza anapaswa kuheshimiwa!!!
 
Mfupa uliomshinda fisi labda katika kumtetea Bashite! Manake wenzako wooooote hivi sasa wamechoka lakini wewe ukitoka tu hapa, unaenda kuwamwagia mapovu wanaoponda bwana mkubwa wako!!!
 


- ungeanza kujishauri kuacha kutumia majina ya bandia kushambulia wanaume usiowajua kwanza hahahahahaha labda ndio utakuwa na akili ya kumshauri mwingine hahahahahahhahahahaa

le Mutuz
 
Mfupa uliomshinda fisi labda katika kumtetea Bashite! Manake wenzako wooooote hivi sasa wamechoka lakini wewe ukitoka tu hapa, unaenda kuwamwagia mapovu wanaoponda bwana mkubwa wako!!!


- Tukimaliza Studio ni safari ya South Korea wewe utabaki hapa kupiga piga kelele sisi tunaendelea na maisha hahahahahahaha

le Mutuz
 
- hahahahaha ingekuwa ya kamba kweli ila FINE GOLD unashangaa? hahahahaha kweli humu JF kumejaa malimbukeni so ulidhani Gold inaharibika? hahahahahahhaa

le Mutuz

Kwa hiyo miaka 30 imepita umekosa hela ya kununua cheni nyingine ya gold!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo miaka 30 imepita umekosa hela ya kununua cheni nyingine ya gold!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

- labda ungeonyesha ya kwako kwako kwanza au unasemaje maana kubishana na mtu hata cheni yenyewe hana ni ujuha onyesha yako kwanza mkuu hahahahahaha!

le Mutuz
 


- hapana mimi sio Askari na siajiriwi na mtu ninajiajiri so take that back hahahahahaha ujenzi unaendelea na soon naruka to South Korea yaani kila kitu kipo under control,

le Mutuz
Sio kwamba huajiriwi na mtu; sema umri wa kuajiriwa umeshakupita!!!!

Experience yako wewe ni udereva wa malori na kwahiyo mtu akitaka kukupa kazi inayofanana na ulichosomea inabidi uanze as a junior officer! Kwa serikalini, mtu kama huyo anatakiwa awe below 45... umri uliofikisha tangu Mkapa akiwa bado madarakani!!

So, sio kwamba huajiriwi na mtu sema huajiriki na mtu kwa sababu umepitiliza muda wa kuwa na tija!!!
 


- ungeanza kujishauri kuacha kutumia majina ya bandia kushambulia wanaume usiowajua kwanza hahahahahaha labda ndio utakuwa na akili ya kumshauri mwingine hahahahahahhahahahaa

le Mutuz
UNgekuwa na akili ungeanza kuwashauri JF wafute mfumo wa kutumia nick name lakini kwa kuwa ni mfumo unaokubalika basi ushauri wako hauna maana yoyote ile!!!!
 


- Toka nimezaliwa bongo sijawahi kuajiriwa kwa sababu nilikuwa naogopa sana, by the way mbona kama umeishiwa hoja maana sioni la maana unaloandika zaidi ya kurudia rudia maneno yangu, vipi huna mpya au yamekuishia?

le Mutuz
 


- Tukimaliza Studio ni safari ya South Korea wewe utabaki hapa kupiga piga kelele sisi tunaendelea na maisha hahahahahahaha

le Mutuz
Ndo maana nikakuambia kwamba we mzee bado una kaushamba fulani!! Kwa Dar es salaam hata wakitoa ordha ya watu 500 ya wanaosafiri sana nje ya nchi wewe huwezi kutokea kwenye hiyo orodha lakini watu hawapigi kelele kama wewe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…