Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Kwahiyo unapiga picha kwenye mali za watu ndo unaita maandalizi ya kujenga studio!!!! Yaani ni sawa na mtu aende bandarini na kupiga picha mbele ya makontena halafu anatangaza maandalizi ya kusafirisha bidhaa nje ya nchi!!

We jamaa mbona unahangaika sana kutaka ku-prove mambo yako yapo safi wakati ukweli ni kwamba mjini unaishi kwa kutegemea blog isiyo na viwango na kujikomba kwa watu?!
18813563_763172557198478_9021957640039601759_n.jpg


- ninajenga studio hiyo hapo, na ninajitayarisha kwenda South Korea kupata elimu zaidi ya haya mambo, so nipo sawa na wala sina wasi wasi

le Mutuz
 
Kama angekuwa ni askari wa cheo cha kawaida ingekuwa ameshastaafu manake mwisho ni 55 ambayo huyu jamaa alikuwa anakaribia kuigonga mwaka anaanzisha blog yake!!!
18813563_763172557198478_9021957640039601759_n.jpg


- hapana mimi sio Askari na siajiriwi na mtu ninajiajiri so take that back hahahahahaha ujenzi unaendelea na soon naruka to South Korea yaani kila kitu kipo under control,

le Mutuz
 
Eti wanakupenda!! Hivi we hapo una element yoyote ya kumfanya msichana mdogo akupende?

Body zuri; HUNA!

Pesa, HUNA!

Umri; UMEKUTUPA MKONO!!!

Sasa kitakachowafanya mademu wakupende ni kipi?!!

Narudia, wewe ni urithi wa taifa unaopaswa kuwekwa makumbusho ili watu waje kukuona kwa kukulipa kiingilio!!
Hahahhahahhhaaa. Wabongo nawagawa bure, aisee😀😀😀😀😀😀
 
Hongera sana
Ila akili yako unaijua qee

- Masikini ya Mungu wanahangaika na mfupa uliomshinda fisi nawaonea huruma sana hahahahahahahaa ninaishi maisha yangu, hakuna anayenilipia anything leo mtu analalamika kama vile ninamhusu duh! Wabongo wanataka wakuamulie namna ya kuishi hapa mmekwama ninaishi ninavyotaka na hakuna wa kuniambia lolote enjoy the show tu

le Mutuz
 
Jamani heshima tafadhali.Mnajua kuwa mnabishana na mzee umri wa Baba Bashite.
emoji23.png
Huyu Mzee zamani mi nilikuwa namheshimu sana lakini zee lenyewe halina adabu! Ona post ambayo nilianza kuandika na kuleta yote haya:
Umetoa wapi hii na inahusiana nini na hiki ulichoandika hapa chini?
Halafu unaandika:Eti wivu na chuki!!! Yaani we jamaa unaona kila mtu ana wivu na wewe...!! Yaani hata mtu anayejaribu kukushauri unamuona ana wivu na chuki na wewe!!! What's so special ulichonacho cha mtu kukuonea wivu?!

Kama kuwa na blog yenye poor traffic na Instagram Account yenye less than 1M followers nakuonea wivu; Millard Ayo atasemaje nikikutana nae?!

Oh! Millard Ayo nimeenda mbali sana! Jamaa wa Bongo5 au hata Swahili Times watasema nini?!
Huyu Ajuza akaibuka alikotokea na kuja na huu ujinga kuijibu hiyo post hapo juu:
- hahahahahha ona maisha yanavyoendelea na makelele yako yote hahahahahaha nipe wiki 3 nitakuwa hewani na Online TV, na hutabadili lolote, tayari nimeshaingia mkataba na Vodacom, ASAS, pamoja na Amariah Hotel. Hao wote uliowataja size yangu ni Millard tu wote tunadhaminiwa na Vodacom, hao wengine nitajie wadhamini wao hahahahahahahhaa

- Pole sana hapa ni ngoma kubwa mkuu wewe piga kelele zako huko vichochoroni sisi huku mjini tunafanya kweli hahahahaha
le Mutuz
And trust me, nilikuwa na nia njema sana kwa sababu haya mambo mie ndo nafanyia kazi tena na professionals. Sio professionals wa kibongo, ni professionals kweli kweli!!!

Nikaona kwavile hili zee halina wa kumshauri kwenye haya mambo ya kisasa ngoja nimpe hint na akiwa interested, niendelee kumpa madini!!

Badala yake, kama ilivyo kawaida yake akaja na kashifa!! Labda linadhani kwavile ni ajuza basi watu hawatajibu mashambulizi yake kwa sababu Kiafrika, ajuza anapaswa kuheshimiwa!!!
 
- Masikini ya Mungu wanahangaika na mfupa uliomshinda fisi nawaonea huruma sana hahahahahahahaa ninaishi maisha yangu, hakuna anayenilipia anything leo mtu analalamika kama vile ninamhusu duh! Wabongo wanataka wakuamulie namna ya kuishi hapa mmekwama ninaishi ninavyotaka na hakuna wa kuniambia lolote enjoy the show tu

le Mutuz
Mfupa uliomshinda fisi labda katika kumtetea Bashite! Manake wenzako wooooote hivi sasa wamechoka lakini wewe ukitoka tu hapa, unaenda kuwamwagia mapovu wanaoponda bwana mkubwa wako!!!
 
Huyu Mzee zamani mi nilikuwa namheshimu sana lakini zee lenyewe halina adabu! Ona post ambayo nilianza kuandika na kuleta yote haya:
Huyu Ajuza akaibuka alikotokea na kuja na huu ujinga kuijibu hiyo post hapo juu:

And trust me, nilikuwa na nia njema sana kwa sababu haya mambo mie ndo nafanyia kazi tena na professionals. Sio professionals wa kibongo, ni professionals kweli kweli!!!

Nikaona kwavile hili zee halina wa kumshauri kwenye haya mambo ya kisasa ngoja nimpe hint na akiwa interested, niendelee kumpa madini!!

Badala yake, kama ilivyo kawaida yake akaja na kashifa!! Labda linadhani kwavile ni ajuza basi watu hawatajibu mashambulizi yake kwa sababu Kiafrika, ajuza anapaswa kuheshimiwa!!!
18119118_744436205738780_7933683615896927362_n.jpg


- ungeanza kujishauri kuacha kutumia majina ya bandia kushambulia wanaume usiowajua kwanza hahahahahaha labda ndio utakuwa na akili ya kumshauri mwingine hahahahahahhahahahaa

le Mutuz
 
Mfupa uliomshinda fisi labda katika kumtetea Bashite! Manake wenzako wooooote hivi sasa wamechoka lakini wewe ukitoka tu hapa, unaenda kuwamwagia mapovu wanaoponda bwana mkubwa wako!!!
18951340_764238650425202_3409364437377824497_n.jpg


- Tukimaliza Studio ni safari ya South Korea wewe utabaki hapa kupiga piga kelele sisi tunaendelea na maisha hahahahahahaha

le Mutuz
 
- hahahahaha ingekuwa ya kamba kweli ila FINE GOLD unashangaa? hahahahaha kweli humu JF kumejaa malimbukeni so ulidhani Gold inaharibika? hahahahahahhaa

le Mutuz

Kwa hiyo miaka 30 imepita umekosa hela ya kununua cheni nyingine ya gold!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo miaka 30 imepita umekosa hela ya kununua cheni nyingine ya gold!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

- labda ungeonyesha ya kwako kwako kwanza au unasemaje maana kubishana na mtu hata cheni yenyewe hana ni ujuha onyesha yako kwanza mkuu hahahahahaha!

le Mutuz
 
18813563_763172557198478_9021957640039601759_n.jpg


- hapana mimi sio Askari na siajiriwi na mtu ninajiajiri so take that back hahahahahaha ujenzi unaendelea na soon naruka to South Korea yaani kila kitu kipo under control,

le Mutuz
Sio kwamba huajiriwi na mtu; sema umri wa kuajiriwa umeshakupita!!!!

Experience yako wewe ni udereva wa malori na kwahiyo mtu akitaka kukupa kazi inayofanana na ulichosomea inabidi uanze as a junior officer! Kwa serikalini, mtu kama huyo anatakiwa awe below 45... umri uliofikisha tangu Mkapa akiwa bado madarakani!!

So, sio kwamba huajiriwi na mtu sema huajiriki na mtu kwa sababu umepitiliza muda wa kuwa na tija!!!
 
18119118_744436205738780_7933683615896927362_n.jpg


- ungeanza kujishauri kuacha kutumia majina ya bandia kushambulia wanaume usiowajua kwanza hahahahahaha labda ndio utakuwa na akili ya kumshauri mwingine hahahahahahhahahahaa

le Mutuz
UNgekuwa na akili ungeanza kuwashauri JF wafute mfumo wa kutumia nick name lakini kwa kuwa ni mfumo unaokubalika basi ushauri wako hauna maana yoyote ile!!!!
 
Sio kwamba huajiriwi na mtu; sema umri wa kuajiriwa umeshakupita!!!!

Experience yako wewe ni udereva wa malori na kwahiyo mtu akitaka kukupa kazi inayofanana na ulichosomea inabidi uanze as a junior officer! Kwa serikalini, mtu kama huyo anatakiwa awe below 45... umri uliofikisha tangu Mkapa akiwa bado madarakani!!

So, sio kwamba huajiriwi na mtu sema huajiriki na mtu kwa sababu umepitiliza muda wa kuwa na tija!!!
18423999_752832894899111_8975364058977086573_n.jpg


- Toka nimezaliwa bongo sijawahi kuajiriwa kwa sababu nilikuwa naogopa sana, by the way mbona kama umeishiwa hoja maana sioni la maana unaloandika zaidi ya kurudia rudia maneno yangu, vipi huna mpya au yamekuishia?

le Mutuz
 
18951340_764238650425202_3409364437377824497_n.jpg


- Tukimaliza Studio ni safari ya South Korea wewe utabaki hapa kupiga piga kelele sisi tunaendelea na maisha hahahahahahaha

le Mutuz
Ndo maana nikakuambia kwamba we mzee bado una kaushamba fulani!! Kwa Dar es salaam hata wakitoa ordha ya watu 500 ya wanaosafiri sana nje ya nchi wewe huwezi kutokea kwenye hiyo orodha lakini watu hawapigi kelele kama wewe!!!
 
Back
Top Bottom