Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

Kina dem mwingine wa Karatu anamiliki pub moja maarufu hapo Karatu nae hakutaka usenge wa huyu jamaa,alimchana live *****
Nisaidie wewe... kumbe ni wa Karatu yule!! Manake lilikuwa linajifanya kukataa hapa!! Linaomba kupiga picha na demu halafu aka-post Instagram... Demu wacha amchane!!!
 
Nisaidie wewe... kumbe ni wa Karatu yule!! Manake lilikuwa linajifanya kukataa hapa!! Linaomba kupiga picha na demu halafu aka-post Instagram... Demu wacha amchane!!!
20140928_170251.jpg
 
Nisaidie wewe... kumbe ni wa Karatu yule!! Manake lilikuwa linajifanya kukataa hapa!! Linaomba kupiga picha na demu halafu aka-post Instagram... Demu wacha amchane!!!
lemutuzzz.jpg


- nilipofika tu Karatu alinifuata mwenyewe mpaka chumbani hotelini, so no uijinga mtupu aliniomba sana nisiseme ukweli wa kilichotokea so ninam spare, ila nilikuwa simjui alinifuata mwenyewe mpaka chumbani hotelini kwangu usiku wa manane, Mange akamtumia message akijafanya mama mzee yule mwanamke akapanic hahahahaha na the rest of the story ila umejichanganya hahahahahaaaa

le Mutuz
 
Eti wanakupenda!! Hivi we hapo una element yoyote ya kumfanya msichana mdogo akupende?

Body zuri; HUNA!

Pesa, HUNA!

Umri; UMEKUTUPA MKONO!!!

Sasa kitakachowafanya mademu wakupende ni kipi?!!

Narudia, wewe ni urithi wa taifa unaopaswa kuwekwa makumbusho ili watu waje kukuona kwa kukulipa kiingilio!!
Mkuu ukibishana na mpumbana na ww utakuwa jamii hiyohiyo,so it's better to live it
 
Mkuu ukibishana na mpumbana na ww utakuwa jamii hiyohiyo,so it's better to live it
Huyu mzee mimi huwa sina muda wa kubishana nae sema leo kwavile alijiingiza mwenyewe kwenye reli zangu nikaona hakuna namna! Lazima nizianike tabia zake za hovyo hovyo....
 
Hee hivi kumbe mmepishana ma mh Pinda miaka 4 tuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134]
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepishana na huyu jamaa kwa miaka 2 tu!!!
 
Back
Top Bottom