DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mzigo siwezi kuwa na undugu nae nimeweka mwanangu huwa akilia nikimuonesha hiyo Avatar anatuliaHii avatar yako mbona siielewi mkuu una undugunaization na le mubebez nin
Sent using Jamii Forums mobile app
Na vp wanaotumia Avatar za wazeeView attachment 556385
- Kool ila ungejali maisha yako sio ya wanaume wasiokuhusu mitandaoni maana hata kutumia majina ya bandia kutukana watu usiowajua ni dhambi na unajua mshahara wa dhambi ni mauti hahahahahahhahapa maisha hayasimami tunasonga mbele kazi kazi
le Mutuz
View attachment 556385
- Kool ila ungejali maisha yako sio ya wanaume wasiokuhusu mitandaoni maana hata kutumia majina ya bandia kutukana watu usiowajua ni dhambi na unajua mshahara wa dhambi ni mauti hahahahahahhahapa maisha hayasimami tunasonga mbele kazi kazi
le Mutuz
if you cant fight him join him..rule of the game fela.Ubunifu zero kabisa kilakitu anamwiiga millardayo.com ukiangalia hata blog yake magazeti yote asubuhi anakopi kutoka millardayo.com tena yakiwa na logo ya millardayo
Shame on you....!
HahahahahahHuyo mzigo siwezi kuwa na undugu nae nimeweka mwanangu huwa akilia nikimuonesha hiyo Avatar anatulia
Sasa hilo eneo la kufyatulia tofali atakupa kweli hahahahahahKatika watoto wa Mzee Malecela huyu peke yake akiri zake ni za ki Bashite wengine wote ni vichwa
Hivi uwa unagegeda kweli? Au unaishia kushika pembe tu
Wanyoooosheeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 556336
- hii ilikuwa Kigali chief yaani wacha kila mahali wabebezzz tu hahahaha wewe lia lia ila hapa maisha ni wabebe tu hahahaha I love it
le Mutuz
Hapo ni kwenye corridor ama vipi mkuu? Umekosa kabisa ofisi inayoeleweka bosi?View attachment 554695
- hahahahahahaha ona kitu hiyo hahahahaha ni mwendo wa kupaaa sasa U know!
le Mutuz
Hahahaha kaninyima kiaina mkuu ndio maana nimekasilika ila nilikuwa kweli nahitaji nikae nae chini tufanye biasharaSasa hilo eneo la kufyatulia tofali atakupa kweli hahahahahah
Mtafute mbebezi mmoja mkali akapige nae selfie then afikishe ombi lako, hawezi kuchomoa maana madem ndo ugonjwa wakeHahahaha kaninyima kiaina mkuu ndio maana nimekasilika ila nilikuwa kweli nahitaji nikae nae chini tufanye biashara
Mhanga au Mhenga mkuu? LolHuyu ndo mhanga aliyena uzee mwisho chalinze