Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.

coca wanakulipa kwa kazi gani
 

hata panya road walipata page zaidi ya 40,
 
Aisee wewe kumbe uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana. Eti nimwombe mtu aanzishe sredi yangu, hivi wewe kwa akili yako unadhani kila mtu ana haja ya kuwa maarufu? Kwa kukusaidia tu ni kuwa mimi sio maarufu na wala sina haja ya kuwa maarufu.

Le baharia wewe umaarufu wako ni mdogo sana kubali au kataa. Na hii haina uhusiano na mimi ni maarufu kiasi gani. Huu uzi unakuhusu wewe, mimi sihusiki.
 
Ni watu pekee wenye akili za Le Mutuz Le mburulaz wanaweza kumpinga Msando. Msando yuko sahihi asilimia Mia.
 

- hahaha ningekwua na umaariufu mdogo hii thread isingefika page 17 mkuu jipange tena wewe sio maarufu unautaka ila huwezi huna kipaji hata kimoja pole sana kajipange tena!!

- Muombe mtu akuanzishie thread tuone kama kutakuwa na comment zaidi yako mwenyewe wacha kuingilia vipaji vywa watu wewe huna tuliza boli!!

Le Mutuz
 
this also goes with wasanii kurekodi nyimbo alafu kukimbilia kuzipeleka studio zipigwe je wanalipwa au ushabiki tu kua nyimbo zao zinapigwa?
 

Kumbe umeyajua makopo yenye majina kupitia kwa hao maselebu. Wenyewe ndo wanakuhabarisha siyo eh?


They are not forced to "Share A Coke". They can keep their names to themselves kama wakitaka.
 
Na huu utaratibu wasanii wetu wasiiukubali hata kama ulisha fanyika huko ulaya!

What is so special kwa wasanii ya Kibongo mpaka wakatae huo utaratibu?

Kama wanataka pesa wasubiri kidogo uchaguzi unakuja hivi karibuni ili wakaburudishe kwenye mkutano ya kampeni.

That's is what they can do best.
 
Kwanini usinmlipe wakati unatumia jina lake kutengeneza hela.

Kama wamekubaliana wasilipane in cash tatizo lipo wapi?

Kweli mnadhania kuwa Coca Cola watumia majina yao bila makubaliano?
 
Kumbe umeyajua makopo yenye majina kupitia kwa hao maselebu. Wenyewe ndo wanakuhabarisha siyo eh?



They are not forced to "Share A Coke". They can keep their names to themselves kama wakitaka.

Mimi tayari nimeshare A coke bureeee bin cheeee.

Redioni wanahonga pesa kwa Madj ili wapige nyimbo zao, kwa Coca cola ndio wanajitokeza wanasheria wenye ofisi Facebook na Insta.

Nchi hii bila unafki haiendi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…