Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Le Mutuz (W. Malecela) Vs Alberto Msando: Hii ni vita ya kupigania haki za wasanii au kopo la Coca?

Status
Not open for further replies.
Nimefatilia huu uzi kwa makini na nimechangia kadri ya uwezo wangu lakini nimeona nikueleze wewe ni mtu mzima huu UONGO unaoandika humu si mzuri. Hii campaign ilianzia Australia, it was a simple campaign na imewezeshwa kwenye zaidi ya nchi 70 mpaka sasa na hakuna hata mtu mmoja aliyelipwa kupitia campaign hii sasa wewe ni nani hasa mpaka ulipwe?

Ahaaaa...sasa kama hakuna hata mtu mmoja aliyelipwa kupitia hiyo kampeni hivi vilio vya sijui wasanii wa kibongo kunyonywa na Coca-Cola kwa sababu ya ujinga vinatoka wapi?

Nadiriki kusema hivyo vilio vinatokana na ujinga kuliko hata huo unaodaiwa kuwa ni ujinga wa wasanii wa kibongo.

Hii siyo endorsement campaign, period, of story.
 
Ahaaaa...sasa kama hakuna hata mtu mmoja aliyelipwa kupitia hiyo kampeni hivi vilio vya sijui wasanii wa kibongo kunyonywa na Coca-Cola kwa sababu ya ujinga vinatoka wapi?

Nadiriki kusema hivyo vilio vinatokana na ujinga kuliko hata huo unaodaiwa kuwa ni ujinga wa wasanii wa kibongo.

Hii siyo endorsement campaign, period, of story.

Ndugu yangu inaelekea wewe ni mgumu sana kuelewa jambo. Hii campaign was simple na wala haikutumia celebrities kwenye nchi nyingine kwa kuweka picha zao kwenye official cocacola social media kama ilivyokuwa twisted huku Africa.

The aim was to use common names period. It was an emotional marketing strategy. There is no one was paid for her/his name to appeared on this campign, the whole budget went on TV and billboard adverts which even CocaCola themselves regreted as it was not necessary due to responds they have received from the social media was enough. I dont know your profession but im sure you could have done your own research just to satisfy yourself and attain answers on basic and simple questions you have.

Ukishindwa kuelewa mpaka then its not my problem. Amani
 
Dizaini unatamani sana na wewe jina lako lingeandikwa.

Too bad nobody gives a rats azz about yo azz:becky::becky::becky::becky:

Dude seriously?
Siamini kama wabeba box wote MNA akili ndama.kiasi hiki but ww na kubwa jinga William malecela mnaanza kunishawishi kwa hilo
 
- so baada ya kuona ukweli wangu sasa umebadilika sio nyinyi jana mliokuwa mnaweka matusi ya huyo mpuuzi hapa?

Le Mutuz

Matusi yapi we kubwa jinga
Kuna sehem yule jamaa amekutukana?
That cheap populality dude u shud have thot better than this aisee kudanganya kitu ambacho kila MTU anaona duuu aibuuu kubwa jinga
 
[/ Brother!! seriously nafikiri unaitaji msaada wa kisaikolojia. Mimi huwa naona michango yako mingi ila siifatilii kwa undani sana na pia huwa nakutana na watu wanakutaja taja humu ndani lakini si kwa vizuri. Pia mimi huwa si mfata mkumbo huwa nafanya utafiti nijiridhishe nafsi yangu then nachukua uamuzi kupitia matokeo ya uchunguzi wangu.

Nimefatilia huu uzi kwa makini na nimechangia kadri ya uwezo wangu lakini nimeona nikueleze wewe ni mtu mzima huu UONGO unaoandika humu si mzuri. Hii campaign ilianzia Australia, it was a simple campaign na imewezeshwa kwenye zaidi ya nchi 70 mpaka sasa na hakuna hata mtu mmoja aliyelipwa kupitia campaign hii sasa wewe ni nani hasa mpaka ulipwe?

Ngoja nikupe flavour kidogo

"At the end of the day, our name is the most personal thing we have. It's our fingerprint…our identity…in one word," said Lucie Austin, one of the original brand executives in Australia to launch the campaign, and who now runs marketing for the Northwest Europe and Nordics business unit at Coca-Cola.

"We gave consumers an opportunity to express themselves through a bottle of Coke, and to share the experience with someone else. The fact that your name is on a Coke bottle, it can't get more personal than that! The campaign capitalized on the global trend of self-expression and sharing, but in an emotional way. Coke is big enough to pull off an idea like this, which speaks to the iconic nature of the brand. Who would want their name on a brand unless it was as iconic as Coke? 'Share a Coke' found the sweet spot by making consumers famous through the most iconic brand in the world."

Coca-Cola’s marketing and brand managers were able
to understand what their consumers wanted; personalization and attention, and
they gave that to them. The company gave their customers the “opportunity to
express themselves through the bottle of Coke, and to share the experience with
someone else”. The company went to different college campuses and events and marketed
their new campaign to millions of students and people. The company even went to
the extent of customizing the cans if someone’s name was not registered in
their database. Now, how much more can
they customize? The company initiated the brand through emotional marketing
strategies and to capitalize the trend of self expression and sharing which
really attracted consumers to their products and campaign.

The brand was really able to differentiate itself
from their developed competition such as PepsiCo and Dr. Pepper. No other brand,
other than Coca-Cola Co., has really been able to attract their customers
through a more personal way and strategy and because of that their sales sky
rocketed and helped make a difference

Please prove me wrong kwamba wewe hukulipwa ila UWONGO na AIBU ya kujua kuwa ulibuma kwenye kupokea kopo then ukatengeneza story. Don't try to prove it with your own words. (Strong evidences beyond the point of doubt as you have shown that you are not a trustworthy person.

FONT]







Like ·


· - Nimewaambieni wale wote mnaolia lia kuhusu hii ishu semeni tatizo lenu la kweli maana siamini tatizo ni kopo, wewe mjinga hii picha nilipiga miezi miwili iliyopita nilipokwenda kusaini mkataba na ICL wa kuifanyia kazi cocacola, mwezi mmoja baadaye wakaniambia kwamba watanitengenezea kopo ambalo la kwanza litakuwa sample na huenda watayauza mbele ya safari, tukakubaliana kwamba la sample halina tatizo ya kuuza tutakaa chini, narudia tena Cocacola walishaanza kunilipa hata kabla ya makopo kuja ni waajiri wangu kwenye mkataba tumekubaliana kwamba ni wajibu wangu kushiriki na kutangaza promotions au events za Cocacola wakati wowote wa Mwaka mmoja wa mkataba wangu, kopo la bure lenye jina langu ni part of this deal,

- Sasa wewe mjinga unaandika ujinga ujinga bila hata kufikiri wala kuuliza FACTS, wewe unafikiri sisis wote hapa mjini wajinga ila wewe tu hao wajinga wenzako? Please mnatia kichefu chefu na ujinga ujinga mnaoandika andika kama hamkupata makopo yenye majina yenu sasa hivi Cocacola wanatoa kopo lenye jina la mtu yoyote nenda wakupe wacha kulia lia, maneno yanaonyesha wewe na wenzako mna tatizo la mimi kuaminiwa sana na Public, poleni sana I aheb been in this business ya Social Media for the last 20 years, mmerukia juzi tu hapa mnataka kujifanya kujua mnajua nini hasa mbona kama wajinga wajinga flani hivi!!

Le Mutuz
 




- Baada ya kuliona lile kopo hii kampuni ya American Engineering Group Inc, wakanipa mkataba mpya wa kuwatangaza Juzi Jumatano kwa Mwaka mmoja, jana nimesaini mktaba mpya na One Extreme Solutions TZ kuwatangaza for the next 2 years kwa sababu ya kuwa na kopo lenye jina langu, poleni sana msio na uwezo mkubwa wa kufikiri maana ni rahisi kuamini wengine wote tupo na akili finyu kama wewe, duh!!

Le Mutuz

Duu lemutuz kubwa jinga aisee
Haya kila la kheri
 
hahahah haya wa kwako umeyeyuka ,fatilia uone kama kuna hata sh kumi wanachukua

U serious?
Umpigishe tangazo MTU bila kumlipa?hamjitambui nyie
Yaannunadupport kabisa?dude plz acheni kucheza na maisha ya watu
 
Ndugu yangu inaelekea wewe ni mgumu sana kuelewa jambo. Hii campaign was simple na wala haikutumia celebrities kwenye nchi nyingine kwa kuweka picha zao kwenye official cocacola social media kama ilivyokuwa twisted huku Africa.

The aim was to use common names period. It was an emotional marketing strategy. There is no one was paid for her/his name to appeared on this campign, the whole budget went on TV and billboard adverts which even CocaCola themselves regreted as it was not necessary due to responds they have received from the social media was enough. I dont know your profession but im sure you could have done your own research just to satisfy yourself and attain answers on basic and simple questions you have.

Ukishindwa kuelewa mpaka then its not my problem. Amani

- Ni maneno ya mkosaji Cocacola ina mkataba na Diamond, tayari wanamlipa sasa wakiwa na promotions ndogo ndogo kama hizi za kopo hakuna mkataba unaosema watamlipa upya kwa sababu ya jina lake kuandikwa kwenye kopo la Cocacola, isipokuwa ni part of the deal na ndio maana popote unapomuona diamond anakuwa na anakunywa Cocacola kwenye kikombe chekundu cha Cocacola, sasa utasema Cocacola hawajamlipa mtu kuhusu makopo? please shule gani umesoma?

Le Mutuz
 
- Nina maana kopo la sample binafsi wamenipa mawili ya Sample ambayo wote tulipewa Jumatatu siku ya siku kuu, huyu Mwanasheria ambaye unaonekana kumuunga mkono hayupo sawa kwenye this ishu, kama shida yake ilikuwa kuwatisha Cocacola wampe kazi angetumia njia nyingine ila sio kunitukana mimi hapo amekosea sana, na naomba kukupa angalizo anything ukiona mimi nimo hapa mjini kuwa muangalifu sana kabla ya kutoa hukumu mimi siendi hovyo on anything kaka hapa mjini, nilizaliwa Ocean Road hapa hapa mjini so kwenye post yako ya kichwa cha mada umekosea sana!! naomba uniombe radhi mkuu!!

Le Mutuz

Hujajb hoja uliyoulizwa kuhusu hayo makopo masuala ya kuzaliwa ocean road waachie manesi
 
Matusi yapi we kubwa jinga
Kuna sehem yule jamaa amekutukana?
That cheap populality dude u shud have thot better than this aisee kudanganya kitu ambacho kila MTU anaona duuu aibuuu kubwa jinga

- Wasiolipwa ni Wasanii wake peke yake, mkuu nina mikataba na makampuni kibao hapa mjini sio mgeni na haya mambo nina mkataba na Samaki Samaki, juzi wamefanya special Show Samaki Samaki ya mjini ni lazima niwepo ingawa ni nje ya mkataba lakini ni ndani ya mktaba pia kwa sababu ni waajiri wangu, kama hamuwezi kuishi hapa mjini mrudi makwenu badala ya kurukia rukia mambo msiyoyajua kama cocacola haiwalipi sip kosa langu hahahahahaha I get paid!!

Le Mutuz
 
Hujajb hoja uliyoulizwa kuhusu hayo makopo masuala ya kuzaliwa ocean road waachie manesi

- Ni ujumbe tu kwa mliokuja mjini watuwazima kama wewe uliyekuja na mwenge hahahahahaha, nilizaliwa Ocean Road sasa hivi naishi Jamhuri Street dakika kama tano kutoka nilipozaliwa hahahahaa U know

Le Mutuz
 
Kaka Wema na Jide wanauwezo mkubwa wa kuongeza mauzo ya coke and trust me hata one bottle counts, wanaweza wakaongeza directly and inderctly Mf leo wema apost IG aombe followers 100 wajitokeze kununja soda yenye jina lake trust me wataumizana(hio ni directly) indirectly ni watu KUSHAWISHIKA kwenda na kuomba watengenezewe chupa zenye majina yao na ya wanaowataka(hata kwa wale wasiokunywa coke) hii ni alama ya kumbukumbu nak watataka wawe kama Jide..

Watu hawaelewi wanaongea tu
I wish wangejua power if advertizement
 
Ndugu yangu inaelekea wewe ni mgumu sana kuelewa jambo. Hii campaign was simple na wala haikutumia celebrities kwenye nchi nyingine kwa kuweka picha zao kwenye official cocacola social media kama ilivyokuwa twisted huku Africa.

The aim was to use common names period. It was an emotional marketing strategy. There is no one was paid for her/his name to appeared on this campign, the whole budget went on TV and billboard adverts which even CocaCola themselves regreted as it was not necessary due to responds they have received from the social media was enough. I dont know your profession but im sure you could have done your own research just to satisfy yourself and attain answers on basic and simple questions you have.

Ukishindwa kuelewa mpaka then its not my problem. Amani

How can I understand you when you can't even express yourself clearly?

You are a bundle of contradictions

You admit no one in the world was paid to have their name(s) printed on the bottles and cans.

So why are you kicking up a fuss?
 






Like ·


· - Nimewaambieni wale wote mnaolia lia kuhusu hii ishu semeni tatizo lenu la kweli maana siamini tatizo ni kopo, wewe mjinga hii picha nilipiga miezi miwili iliyopita nilipokwenda kusaini mkataba na ICL wa kuifanyia kazi cocacola, mwezi mmoja baadaye wakaniambia kwamba watanitengenezea kopo ambalo la kwanza litakuwa sample na huenda watayauza mbele ya safari, tukakubaliana kwamba la sample halina tatizo ya kuuza tutakaa chini, narudia tena Cocacola walishaanza kunilipa hata kabla ya makopo kuja ni waajiri wangu kwenye mkataba tumekubaliana kwamba ni wajibu wangu kushiriki na kutangaza promotions au events za Cocacola wakati wowote wa Mwaka mmoja wa mkataba wangu, kopo la bure lenye jina langu ni part of this deal,

- Sasa wewe mjinga unaandika ujinga ujinga bila hata kufikiri wala kuuliza FACTS, wewe unafikiri sisis wote hapa mjini wajinga ila wewe tu hao wajinga wenzako? Please mnatia kichefu chefu na ujinga ujinga mnaoandika andika kama hamkupata makopo yenye majina yenu sasa hivi Cocacola wanatoa kopo lenye jina la mtu yoyote nenda wakupe wacha kulia lia, maneno yanaonyesha wewe na wenzako mna tatizo la mimi kuaminiwa sana na Public, poleni sana I aheb been in this business ya Social Media for the last 20 years, mmerukia juzi tu hapa mnataka kujifanya kujua mnajua nini hasa mbona kama wajinga wajinga flani hivi!!

Le Mutuz

Kwanza brother jazba ya nini na matusi juu. Is this how educated people respond on issues? I had so much respect to all human kinds, I even called you brother! I wont respond on other stuff you have wrote to me but I hit main points only.

You brought a picture to show us that was the day that you signed a contract with ICL on behalf of CocaCola, do you want to tell me that you brought a picture as an evidence that you have signed a contract with CocaCola ??? What if i said that you took that picture when you were invited on someone birthday party??

U dont need to show us terms and conditions of your contract but at a snap shot of a bottom part of the contract where it shows a signatures of both parts in agreements.

I explained to you that NO ONE WAS PAID FOR THIS CAMPAIGN AND IT WILL REMAINS AS THAT vingine ni porojo tu na kudanganya watu. Stop it and please potray your education you have attained in actions rather calling people names and think you are smart than them.

If education failed enter your mind and heart and change the way of your thinking then those certificates or degrees you have attain has no difference with the shirt you were it in the morning
 
Kwanza brother jazba ya nini na matusi juu. Is this how educated people respond on issues? I had so much respect to all human kinds, I even called you brother! I wont respond on other stuff you have wrote to me but I hit main points only.

You brought a picture to show us that was the day that you signed a contract with ICL on behalf of CocaCola, do you want to tell me that you brought a picture as an evidence that you have signed a contract with CocaCola ??? What if i said that you took that picture when you were invited on someone birthday party??

U dont need to show us terms and conditions of your contract but at a snap shot of a bottom part of the contract where it shows a signatures of both parts in agreements.

I explained to you that NO ONE WAS PAID FOR THIS CAMPAIGN AND IT WILL REMAINS AS THAT vingine ni porojo tu na kudanganya watu. Stop it and please potray your education you have attained in actions rather calling people names and think you are smart than them.

If education failed enter your mind and heart and change the way of your thinking then those certificates or degrees you have attain has no difference with the shirt you were it in the morning

Ndugu, tafadhali andika kwa Kiswahili tu maana hiyo lugha ya watu huiwezi kivile.
 
How can I understand you when you can't even express yourself clearly?

You are a bundle of contradictions

You admit no one in the world was paid to have their name(s) printed on the bottles and cans.

So why are you kicking up a fuss?

Im absolute certain that no one was paid, but the main issue why they did not use celebrities names (brands) such as Jay Z, P Diddy, CR7 neither in America nor in Europe. In those countries purely they use common names. In that case to use African celebrities' names is totally wrong because celebrities name can influence sales ndugu yangu. Instead of FidQ they could used Falid simple or instead of Mwana Fa they could use Hamis. And if they desided to use them then its fine but they have to pay them simple

Tusiwe na jazba let discuss the content of the thread rather getting too personal. Amani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom