babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Shigongo anawakatia laki 2-3 kifuta machozi akiwaandika kwenye skendoSo, hawa maselebu wawe compensated na global publishers kwa kunufaika na habari zao? Sidhani una maana hiyo.
Pili hivi hao maselebu hawanufaiki kwa lolote kwa Global Publishers kuwaandika magazetini?
Kuna mtu kasema hapo juu kuwa information is power.
Kuna watu wana-argue humu bila hata kuijua issue nzima ya Share a Coke.
Hata Kenya wameanzisha hiyo Share a Coke. Je, wasanii wa huko wanalipwa?
‘Share A Coke' and enjoy memorable moments | Capital Business
Hivi kwanini waTZ tunakua wajinga kiasi hiki?
Yan kwenye kila kitu tunaangalia nchi nyngne kama na wao wanafanya hivohivo basi na sisi tunaona kipo sawa hata kama ni ujinga?
Kwahyo kama wasanii wa kenya wamekubali kunyonywa
...na waTZ nao wakubali kunyonywa?
ndo kazi zenu hizi kujitia wajanja wajanja kurekebisha watu spelling
ha ha ha gademuuuu. Haya mjanja wa Dar umeshindaaWewe unaweza kujitia?