Social Contract Theory
Nitakujibu swali lako kupitia hii theory ipa itafute uisome maana nitailezea partially...ila itakusaidia kujibu maswali yako.
Hapo zamani binadamu aliishi anavyotaka yeye (Free will)...Mtu angeweza kumuua yeyote bila kuulizwa na mwingine ( Maisha yalikua ni ya kikatili sana ) ...Mali hazikua salama sababu mwenye nguvu angeweza kuchukua mali ya mnyonge na asimfanye nk....kifupi binadamu aliishi katika uhuru wake wa asili (Natural freedom) kama waishivyo wanyama wengine tu porini....lakini baada ya madhira ya muda mrefu,binadamu kama viumbe wenye akili waliona umuhimu kujadiliana kuhusu ku Surrender their natural freedom...as zinaleta madhara makubwa kwenye society wakakubaliana kufanya hivyo na hii ndiyo "Social Contract" yenyewe.
Tatizo likaja...je itakuwaje kama mtu akiamua kukiuka utaratibu tuliojiwekea? Na hapo ndipo zilpokuja sheria kwa mtu atakaye kiuka utaratibu walojiwekea binadamu.
Likaja tatizo jingine,je ni nani atazisimamia hizo sheria? Na hapo ndipo utawala ulipoanzishwa ...yaani alipatikana kiongozi(King/Queen) ili kusimamia hizi sheria...
Nadhani kufikia hapo umeelewa kipi kilianza kati ya sheria na makosa...kifupi hakuna kosa bila sheria...though kwenye issue za human rights kesi ni tofauti...huku kosa linakuwepo hata kama sheria haipo...Thanx