Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Najuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndiye ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini kufanikiwa na kutajirika kupo kwenye elimu!idiot
Ma age mate wangu wakiniambia tutoke kiukweli naona aibu wao wakiwa kwenye ma v8,ma discovered,ma murano mie naishia kupewa lift halafu baaada mimi nikiagiza vinywaji vya bei rahisi mara safari, serengeti, eagle, redbull wao wakiagiza ma jack Daniel and some pombe kutoka ujerumani kiukweli naonaga aibu.
Elimu ya kibongo inamuandaa mbumbumbu kuwa tegemezi! Najuta
Ma age mate wangu wakiniambia tutoke kiukweli naona aibu wao wakiwa kwenye ma v8,ma discovered,ma murano mie naishia kupewa lift halafu baaada mimi nikiagiza vinywaji vya bei rahisi mara safari, serengeti, eagle, redbull wao wakiagiza ma jack Daniel and some pombe kutoka ujerumani kiukweli naonaga aibu.
Elimu ya kibongo inamuandaa mbumbumbu kuwa tegemezi! Najuta