Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote uliomaliza nao form four na la saba ni mabilionea na mamilionea?? Mmmmmmhhhh!!!??Najuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndie ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini kufanikiwa na kutajirika kupo kwenye elimu!idiot
Ma age mate wangu wakiniambia tutoke kiukweli naona aibu wao wakiwa kwenye ma v8,ma discovered,ma murano mie naishia kupewa lift halafu baaada mimi nikiagiza vinywaji vya bei rahisi mara safari,serengeti,eagle,redbull wao wakiagiza ma jack Daniel and some pombe kutoka ujerumani kiukweli naonaga aibu
# elimu ya kibongo inamuandaa mbumbumbu kuwa tegemezi! Najuta
Hakuna principle moja tu ya maisha. Kama uliyopitia haijafanya kazi kwako, tafuta nyingine. Wengine kibao wamefanikiwa kupitia hiyo iliyokufelisha.Najuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndie ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini kufanikiwa na kutajirika kupo kwenye elimu!idiot
Ma age mate wangu wakiniambia tutoke kiukweli naona aibu wao wakiwa kwenye ma v8,ma discovered,ma murano mie naishia kupewa lift halafu baaada mimi nikiagiza vinywaji vya bei rahisi mara safari,serengeti,eagle,redbull wao wakiagiza ma jack Daniel and some pombe kutoka ujerumani kiukweli naonaga aibu
# elimu ya kibongo inamuandaa mbumbumbu kuwa tegemezi! Najuta
[emoji23]
Kusoma ni tatizo? Is this fairly rationalized thoughts?mimi sijasoma napambana kufidia tatizo la kutokusoma kumbe na ambaye amesoma apambane ili kufidia tatizo la kusoma.
kwani ukisoma ndio Benzi itakuja yenyewe?
Bado una nafasi ya kuwa bilionea. HujachelewaNajuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndie ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini kufanikiwa na kutajirika kupo kwenye elimu!idiot
Ma age mate wangu wakiniambia tutoke kiukweli naona aibu wao wakiwa kwenye ma v8,ma discovered,ma murano mie naishia kupewa lift halafu baaada mimi nikiagiza vinywaji vya bei rahisi mara safari,serengeti,eagle,redbull wao wakiagiza ma jack Daniel and some pombe kutoka ujerumani kiukweli naonaga aibu
# elimu ya kibongo inamuandaa mbumbumbu kuwa tegemezi! Najuta
....Kujuta au kulalamika haisaidii. Tafuta alternative uchomoke na Kwa life la Sasa jaribu kupambana nje ya kile ulichosomea Ili maisha yasonge.....Kujuta au kulalamika haisaidii. Tafuta alternative uchomoke na Kwa life la Sasa jaribu kupambana nje ya kile ulichosomea Ili maisha yasonge
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app