LDA COMPANY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 340
- 622
Na NECTA kupitia shule ulikohitimu.kwema wakuu?
napenda kujua juu ya mada hapo juu kama leaving certificates inatolewa na shule uliyomalizia au necta.
Leaving unaikuta shuleni kwako ...kwema wakuu?
napenda kujua juu ya mada hapo juu kama leaving certificates inatolewa na shule uliyomalizia au necta.
Hiyo Haina Uzito Kama Ulivyosema Unaweza KuichongaHiyo unaweza hata kufoji
Sisi tuliambiwa mwaka2012 hakuna ila kwa wengine walipata na hapa na kesi niliibiwa vyeti ila nimepata vyote cha form iv kupata ndio imekuwa story necta kunisadia pls naomba msaada 0782239236kwema wakuu?
napenda kujua juu ya mada hapo juu kama leaving certificates inatolewa na shule uliyomalizia au necta.
Mie kuna mtu kaniibia vyeti vyote yani kuanzia cha kuzaliwa hadi degree! Sijui nani anaweza kunipa way forward!Leaving certificate ni cheti cha kuhitimu elimu uliyoisoma regardless umefaulu au hukufaulu mitihani ya NECTA. Hutolewa na shule uliyosomea na kikipotea unatakiwa kufuata taratibu za loss report na kufika shuleni kwako kwa ajili ya kutengenezewa kingine. Academic certificate hutolewa na Necta baada ya kufaulu mitihani . Cheti hiki hakitolewi zaidi ya mara moja. Ukipoteza ndo basi. Utafuta taratibu za Necta
Huyo mtu ni wa kike au wa kiume?Mie kuna mtu kaniibia vyeti vyote yani kuanzia cha kuzaliwa hadi degree! Sijui nani anaweza kunipa way forward!
Je, naweza kupata vyeti vyote kama vilivyo?
Sijamjua yani ila naimani ni wa kike tunaishi under the same roof! Vyeti vimepotelea nyumbani hapa hapa!Huyo mtu ni wa kike au wa kiume?
Mmh shughuli ipo, sasa katika hivyo vyeti cheti chako cha ubatizo kitamsaidia nini? Tite tikatoe moma.Sijamjua yani ila naimani ni wa kike tunaishi under the same roof! Vyeti vimepotelea nyumbani hapa hapa!
Hangii, siteia kwa mbui ihi ateghua document zosheni! Ni ubavi hangi nchuki du!Mmh shughuli ipo, sasa katika hivyo vyeti cheti chako cha ubatizo kitamsaidia nini? Tite tikatoe moma.
Hamna yani wala hata sio manzi yani, vyeti naachaga home kwetu kabisa kwenye rum yangu kuna drawers huwa document zote muhimu na chumba nakifunga!Extrovert inaonekana huyo mtu umemnyima matumizi au unabanjua tu bila kujitambulisha kwao kaona akubane kivingine ili ufunguke maana vyeti vyako havina msaada kwake hata kidogo, think big
πππ hangi ne umpunye mwe usazi.Hangii, siteia kwa mbui ihi ateghua document zosheni! Ni ubavi hangi nchuki du!
Mgoshi wa ndima titee tikamkamate ubavu hako teh! teh!Hangii, siteia kwa mbui ihi ateghua document zosheni! Ni ubavi hangi nchuki du!