Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Uharibifu wa mali ni kosa kisheria
 
Watazijutia hela hizo, siku hiyo inakuja!!!!
 
Hakuna moto ila hizo ni hesabu zitaleta bilions of money hiyo siku
 
Kafara
 
Iyo gari giabox itakuwa mbovu
Wajanja hawa watakuwa wamexhomoa injini na gia box alafu wanachoma, kama ni ivyo waiwashe kabla awajachoma moto na iendeshwe kidogo alafu watie kiberiti
 
Kwa hiyo hizo mara ngapi walizotoa hao wasiojiweza wamekwisha. Kwani wewe umeshachoma vingapi hapo kwako kama njia ya kuongeza vingine?
 
Kwa wafuasi wa lucifa hata masonic hufanya hivo ule moto una maana yake Kwa imani zao sawa na kutembea juu ya moto
Hata chuo cha kidini cha SAUT Mwanza
Huwa wanawasha moto mkubwa wakati wa kuanza mihula ya masomo. Ni kumuita Lucifer nadhani kuweka mambo sawa. Anaepinga amuulize mtu aliyesoma pale St. Augustine University Mwanza
 
Akili za mwendokasi,very bad idea's perhaps invisible power rules command, wakati kuna watu mpk anakufa ajamiliki Gari wao wanachoma,???kuna zaidi ya kuchoma Gari ssii bure bure tu,
 
Kwa hiyo hizo mara ngapi walizotoa hao wasiojiweza wamekwisha. Kwani wewe umeshachoma vingapi hapo kwako kama njia ya kuongeza vingine?
Mm sijachoma natumia mwenyewe ndio mana simpangii matumiz aliejitafutia kama ww
 
Hata chuo cha kidini cha SAUT Mwanza
Huwa wanawasha moto mkubwa wakati wa kuanza mihula ya masomo. Ni kumuita Lucifer nadhani kuweka mambo sawa. Anaepinga amuulize mtu aliyesoma pale St. Augustine University Mwanza

Mmmmhhhh.... mabwaku
 
Nenda YOUNG MONEY na ukitaka kujiunga nao nunua RANGE ROVER VOGUE mpya wenzio wapige kiberiti.
 
Wanachomaje gari wakati Diomond hana gari?? Si wampatie Diamond hilo kwa maana ile X3 yake naona haifai kuwa barabarani kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…