lecture mmoja jina kapuni chuoni udsm aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,kununua ni lazima kwani ni sehemu ya marks za course work
nao udsm wanajidai chuo kiko juu. kumbe hayo ndio mambo yao? na nyie wanafunzi hamfai. unanunua desa la ni wakati vitabu, library na internet vipo? wote mlionunua wachovu tu. mtu kichwa hatishiwi na mhadhiri kwani appeal zipo.
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK
"Ukiona elimu ni ghali, jaribu ujinga".
Hata kama huna voom kabisa kuna vitabu, internet, pia unaweza kutoa nakala ili kupunguza gharama. Vijana tuache kulalama!
Wamezoea kuvuliwa chupi ndio wapate degree.Wewe ulitaka upewe bure?
magwanda yanaharibu vijana wetu