Lecturer udsm auza desa 10,000 kwa lazima,,,

Lecturer udsm auza desa 10,000 kwa lazima,,,

Hizi ndio changamoto tunazokutana nazo leo ktk kulea kizazi cha digitali, hela ya steshenari ananunulia simu yenye FB na Whatssup (sijui kama nimepatia), kila siku lazima awe na bundle na aingie kwenye mitandao kama FB, JF, Michuzi nk.

Lini atataka kununua kitabu/desa? Enzi zetu Lecturer akiwaandalia desa mnafurahi kwa sababu unapata urahisi wa wapi pa kusoma, unabaki unaenda kwenye vitabu kutafuta reference kwa sababu vitabu vyenyewe ni gharama.

Sasa mwache akalie kulalamika humu JF wenzake wananunua, wanasoma na wanafaulu; yeye kalaghabahooo!

Yani hata hili desa aloliandaa jamaa liko poa sana.
 
Kumbe ni dr masoud! Aka mr misifa!, kawaida yake hiyo! Hawamjui ndio maana wanamponda kijana wa watu.
Ajapata cpa huyo, kiwango hana, na hilo desa lake nani editor ili lipate idhini yakutumika kama reference material? Poleni jamani

Wewe nawe acha kukurupuka alekuambia ni Dr. Masoud nani?
 
Kama sijakupata kwa lolote vile. Kuna wenzenu hiyo pesa ndio inasolve hadi matatizo ya ada. Sasa kila mwalimu atakae ingia darasani nakulazimisha kununua materials zake kwa bei hiyo patakalika kweli?

Wapo walomtaarifu jamaa kuwa hawana uwezo wa kununua desa na wameeleweka ndugu na jamaa kawasaidia
 
hoja niionayo hapa ni kama mwalimu anauza copyrighted material ambayo ameandaa mwenyewe ni haki yake kuuza kulingana na thamani ya bei ya soko. kwa hali yoyote ile manunuzi ni hiari ya mtu, kutegemea na jinsi anavyoona umuhimu wa hayo material. kutoa copy copyrighted material bila kujali fair use ni kinyume cha sheria, na pengine hapo ndipo ilipo dilemma ya kulazimisha wanafunzi wote wanunue au wanunue wachache na wengine wakatoe kopi. options zote mbili zina madhara yake, wenye ufahamu zaidi watatusaidia kutuelewesha/
 
mkuuu utamuelewaje wakati ni kilaza? sijui atakuwa mvuta bangi huyu
 
Kuwalazimisha wanafunzi kununua desa la lecturer si jambo la kiungwana,ingawa wanasema elimu ni gharama.
Ebu vuta picha ingekuwaje km wakina Prof. Shivji, chris mahina, etc, wangelazimisha wanafunzi wao wanunue vtabu vyao km sehem ya kupata alama za course work kuna mtoto wa masikin angepata elimu.

MWANAFUNZI ANATAKIWA KUWA NA VITABU ILA SIO KULAZIMISHWA KUNUNUA.
 
Hii ishu si imetokea kule UDBS!!! Mimi sioni kama kuna haja ya kulalama maana ndio practical ya ujasiriamali kwa wanafunzi wake? Yeye kaamua kuwekeza kwenye elimu na siyo kila kitu mnapaswa kuelezwa malengo yake
 
kila aliye chngia hapa sijaona uchambuzi yakinifu zaidi ya kumzonga kwa maneno makali kijana wa watu. ukweri nikwamba bumu wanapata kwa asilimia wengine mpaka daraja c na wengine f kabisa sasa kama wange pata kwa asilimia yakutosheleza unafikili wange lalama?

wengine ndio hivyo hali niduni na uwezo wakununua desa hilo kwa bei hiyo hawana. baadhi yetu nauli ya daladala ikipanda kwa shilingi 200 tutaandika sana humu kuponda na kupinga. Alicho maanisha bei husika sio salama kwamaisha ya wasiokuwa nacho chuoni.
angalizo punguzeni chuki na mada za wenzenu, zaidi tafakarini namna yakupokea wageni kwenye jamii.

nimewasilisha

asanteni


Ni kweli kabisa mleta mada yupo sahihi,na yawezekana kina chomkera si tu bei pia KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK

kwa vyovyote vile kuna tatizo kubwa apo.



 
Wapo waloenda kutoa taarifa kuwa hawawezi kununua hayo madesa coz wana hali ambayo si nzuri kiuchumi na wamesikilizwa na kusaidiwa na lecturer. Na ni watu kumi tu kati ya 499 ndio hawajanunua desa.[/QUOTE


kumbuka tumeambiwa kununua desa ni sehemu ya kupata marks,ivyo basi wengi walinunua kwa uwoga wa kufail,apo lecturer ametengeneza hofu kwa wanafunzi ili apate fedha.
 
Nunueni desa acheni majungu ndio kazi ya ele ya stationary. Cio udsm tuu. Hata udom.
 
Kama unadhani elimu ni gharama jaribu ujinga. Huyo muhadhiri kawasaidia na kaondoa tatizo la kuazimishana tilio ue ikikaribia wakati kila mtu alipata pesa ya stationary. Hayo mahesabu unayopiga mbona haujapiga 200,000-10,000 unabakiwa na nini?
 
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK

Acha uongo wewe,sema anawaambia mtihani utatoka humo ila
hawezi sema "kununua ni sehemu ya course work"
 
Kuuza si dhambi wala kosa. Ila kulazimisha ni kosa. Kwanini asiuze kama imetokana na jasho lake? Ametumia muda, elimu yake na nk.
 
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK

hii maada imekaa kimajungu zaidi, soma shule kijana acha kulalamika hovyo.
 
Yani hata hili desa aloliandaa jamaa liko poa sana.

Nakubaliana na wewe maana nimeliona ni zuri sana na kuzidi hata textbook zinazotoka nje na kuuzwa zaidi ya Tshs 60,000 na academic writing imezingatiwa. Anayelalamika ni mpenda vya bure.
 
Back
Top Bottom