Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

Lecturer UDSM azawadiwa na Wanafunzi

Huyu mwalimu watu wanaohusika mimi nashauri wamwangalie kwa jicho la kipekee pengine anaweza akaja akatufaa sana kama kiongozi wa ngazi za juu ndani ya nchi yetu, huko mbele ya safari. Watoto wa rika hili huwa siyo rahisi sana wakampenda mtu kwa bahati mbaya tu; huyu mtu lazima atakuwa ana qualities za kipekee sana ambazo watu tulio wengi hatuna. Mungu ambariki sana mwalimu huyu
 
Huyu mwalimu watu wanaohusika mimi nashauri wamwangalie kwa jicho la kipekee pengine anaweza akaja akatufaa sana kama kiongozi wa ngazi za juu ndani ya nchi yetu, huko mbele ya safari. Watoto wa rika hili huwa siyo rahisi sana wakampenda mtu kwa bahati mbaya tu; huyu mtu lazima atakuwa ana qualities za kipekee sana ambazo watu tulio wengi hatuna. Mungu ambariki sana mwalimu huyu
Atakuwa anagawa ufaulu, siyo bure
 
Chadema wanapinga Tanzania ya viwanda
Weye ungependa uzawadiwe kwa namna hiyo?Umekaa ukatafakari maana ya hizo zawadi? Nikikuzawadia chupi aina ya g-string maana yake nini? Yawezekana nataka uanze kuwa stripper?Kuwa makini na usihusishe kiiilaa kitu na siasa.Siyo kama kupiga mahindi shambani kwa nia ya kuyapukuchua.😝😝😝😝😝
 
atakuwa anagawa ufaulu ,siyo bure
Unajua tatizo letu tulishakuwa na mtizamo hasi sana kwamba siyo rahisi mtu akawa na tabia zile nzuri za kuwapendeza wengine katika kiwango cha juu. Hawa wanafunzi ni watu wazima na wana akili, na wanajua kuwa kwa kumpa zawadi mwalimu anayegawa marks, wanakuwa wanamchongea. Angekuwa anagawa marks wasingeweza kufanya hivyo, lazima wangekausha!

Mimi kwa muda huu bado niko convinced kwa kiasi kikubwa kabisa kwamba mwalimu huyu anaweza kuwa ana tabia nzuri na za kipekee sana na ndizo hizo zilizopelekea watoto hawa wakampa zawadi, na ninachokiona mini siyo kwamba anawapa alama nzuri bali huwa anawafundisha wanaelewa vizuri sana katika namna ambayo si walimu walio wengi wanaweza kuwaelewesha kwa kiwango hicho. Kwa hiyo kinachoweza kuwa kimepelekea mwalimu kupewa zawadi si alama nzuri kwa wanafunzi, bali ufundishaji wake pamoja na PR yake kwao.

Zaidi ni kuwa kawaida mwalimu unapendwa zaidi na wanafunzi hasa unapokuwa unafundisha darasa ambalo baadhi yao wana umri mkubwa kuliko wewe; hawa ndiyo huwa wanakuwa mahakimu wa kupelekea wengine wakufahamu vizuri namna utu wako halisi wa ndani ulivyo! Huwa siyo rahisi sana mdogo mmoja kuwaficha kitu wakubwa wengi
 
Back
Top Bottom