Inapendeza sana,Nasikia hata yule Prof Assad aliyekuwa cag wakati akiwa Leacture hapo Udsm alikuwa analipia watu ada,ama mambo madogo madogo ambayo mwanafunzi wa hali ya chini anakuwa ameshindwa kuyapata,so walimu wenye upendo wa kujitoa wapo na iyo ndio faida ya kuwa mwema
Assad ni mujahiddin hivyo hakuwa anawalipia makafir bali alikuwa anawasaidia waislam wenzake wa MUSAUD!!!