Ndio nani huyo? Na ameigiza nini maarufu?Unamuongeleaje II jung suhye?
Mdogo wa Kim Woo Bin.Ndio nani huyo? Na ameigiza nini maarufu?
Simjui huyo mdogo mtuMdogo wa Kim Woo Bin.
Bro uko sahihi bridal mask nivkali kuliko movie za mshikajiNimetizama Korean drama nyingi kiasi chake Naona Kuna mastar wengi huwa Wanafanya vizuri kumzidi Kama ile series ya city Hunter Mimi sijawahi kuielewa kabisa hauwezi kui- compare na bridal mask au Ile IRISH(sijui ndio inaitwa hivyo)
IRISH episode 1 mpaka 4 Ni balaa Ni series haswaa ya kijasusi
Bro unaisifia season ya kijasusi inamtafuta mtu kwa miaka 20 kisha anakuja new comer anamwambia mkuu wa tech tutumie facial technology kumpata huyu mtu, wanatumia ndani ya nusu saa washajua alipo.Nimetizama Korean drama nyingi kiasi chake Naona Kuna mastar wengi huwa Wanafanya vizuri kumzidi Kama ile series ya city Hunter Mimi sijawahi kuielewa kabisa hauwezi kui- compare na bridal mask au Ile IRISH(sijui ndio inaitwa hivyo)
IRISH episode 1 mpaka 4 Ni balaa Ni series haswaa ya kijasusi
Ile nchi unaweza ukawa na vigezo vyote vya kuajiriwa, ila sura ikakuponza. Yaani kama unasura mbaya unaweza ukakosa hata kazi ya ulinzi. Hilo jambo linanishangaza sana juu ya hawa watu.Hivi hawa wakorea moja ya culture yao ni kupenda uzuri
Maana Kuna dada mmoja muigizaji ashawah kujiua kisa wanamsema mbaya na kakonda sana
π€π€Bro unaisifia season ya kijasusi inamtafuta mtu kwa miaka 20 kisha anakuja new comer anamwambia mkuu wa tech tutumie facial technology kumpata huyu mtu, wanatumia ndani ya nusu saa washajua alipo.
Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote.
Facial tech ipo miaka yote.
Ila new comer ndiyo katoa wazo.
Hii ni muvi ya kuitwa bonge la muvi?
πππIle nchi unaweza ukawa na vigezo vyote vya kuajiriwa, ila sura ikakuponza. Yaani kama unasura mbaya unaweza ukakosa hata kazi ya ulinzi. Hilo jambo linanishangaza sana juu ya hawa watu.
Okeyy okeyyNamkubali Sana mtaalam SONG LI GOOK
"A man called God..."
π€π€Bro uko sahihi
Bro uko sahihi bridal mask nivkali kuliko movie za mshikaji
Kwa wakorea sura ni muhimu sana kama lilivyo tako kwa wadada wa kibongo.[emoji23][emoji23][emoji23]
Na maisha yakeπππAtajua mwenyewe.
πππππdaaahKwa wakorea sura ni muhimu sana kama lilivyo tako kwa wadada wa kibongo.
Kabisaa yaanNa maisha yake[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu mshikaji sijawahi kumwelewa hata siku moja, namkubali sana yule mwamba aliecheza Vagabond.Ila Mimi naonaga Kama jamaa Yuko overrated Sana
Yuko overrated huyu..sababu ya sura hahaIla Mimi naonaga Kama jamaa Yuko overrated Sana
Ongezea na Ji chang wookHahaaa kuna wengine wana sura nzuri na kuigiza vizuri pia like song joong ki
Daaah wapo wengiπππHuyu mshikaji sijawahi kumwelewa hata siku moja, namkubali sana yule mwamba aliecheza Vagabond.