Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

Bro uko sahihi
Nimetizama Korean drama nyingi kiasi chake Naona Kuna mastar wengi huwa Wanafanya vizuri kumzidi Kama ile series ya city Hunter Mimi sijawahi kuielewa kabisa hauwezi kui- compare na bridal mask au Ile IRISH(sijui ndio inaitwa hivyo)

IRISH episode 1 mpaka 4 Ni balaa Ni series haswaa ya kijasusi
Bro uko sahihi bridal mask nivkali kuliko movie za mshikaji
 
Nimetizama Korean drama nyingi kiasi chake Naona Kuna mastar wengi huwa Wanafanya vizuri kumzidi Kama ile series ya city Hunter Mimi sijawahi kuielewa kabisa hauwezi kui- compare na bridal mask au Ile IRISH(sijui ndio inaitwa hivyo)

IRISH episode 1 mpaka 4 Ni balaa Ni series haswaa ya kijasusi
Bro unaisifia season ya kijasusi inamtafuta mtu kwa miaka 20 kisha anakuja new comer anamwambia mkuu wa tech tutumie facial technology kumpata huyu mtu, wanatumia ndani ya nusu saa washajua alipo.

Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote.

Facial tech ipo miaka yote.

Ila new comer ndiyo katoa wazo.

Hii ni muvi ya kuitwa bonge la muvi?
 
Hivi hawa wakorea moja ya culture yao ni kupenda uzuri

Maana Kuna dada mmoja muigizaji ashawah kujiua kisa wanamsema mbaya na kakonda sana
Ile nchi unaweza ukawa na vigezo vyote vya kuajiriwa, ila sura ikakuponza. Yaani kama unasura mbaya unaweza ukakosa hata kazi ya ulinzi. Hilo jambo linanishangaza sana juu ya hawa watu.
 
Bro unaisifia season ya kijasusi inamtafuta mtu kwa miaka 20 kisha anakuja new comer anamwambia mkuu wa tech tutumie facial technology kumpata huyu mtu, wanatumia ndani ya nusu saa washajua alipo.

Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote.

Facial tech ipo miaka yote.

Ila new comer ndiyo katoa wazo.

Hii ni muvi ya kuitwa bonge la muvi?
🤝🤝
 
Ile nchi unaweza ukawa na vigezo vyote vya kuajiriwa, ila sura ikakuponza. Yaani kama unasura mbaya unaweza ukakosa hata kazi ya ulinzi. Hilo jambo linanishangaza sana juu ya hawa watu.
😂😂😂
 
Back
Top Bottom