Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #61
ππππYuko overrated huyu..sababu ya sura haha
wenye maeneo yao wamekujaOngezea na Ji chang wook
Kweli kabisa [emoji419] ile bridal mask ni hatariBro uko sahihi
Bro uko sahihi bridal mask nivkali kuliko movie za mshikaji
π€π€Kweli kabisa [emoji419] ile bridal mask ni hatari
Mimi sioni tofauti naona tu picha za kushoto low quality na hazina filter huku za kulia high quality with filtersSikuwahi kuwa Shabiki kindaki ndaki korean DRAMAS , Aidha ipambwe na ihit sana mtandaoni hapo ningejisogeza nipate kuangalia
Kutokuwa shabiki wa movie hizo haimaanishi hawajui hawa jamaa kwenye movie zao wako makini mno
Movie zao ni kali shout out kwa "Waongozaji wao"
Kwakweli movie zao ni kali ila maswala ya watu mnakutana Episode ya kwanza mnakuja Kudate Episode ya Mwisho mimi yalinishindaga kwa kweli ,,, kitu cha mzungu mzee Episode ya kwanza tu Washangonoka(,jokes,)
Dada zetu ndiyo wapenzi haswa wapenzi wa korean Dramas ,
Ndiyo kusema kwamba baadhi magirl wangu, nliowahi kupita nao huko nyuma , walikuwa wananisukuma kucheki hizi movie hasa tukiwa wote,hapo kidogo ningefatilia
Na nlikuwa najua kama nashare na mchizi Lee min hoo maana daah Wadada huwaambii kitu kwa huyu mwamba....Isiwe kesi as long as nlishare na Star wa movie duniani basi mambo yente japo yeye alikuwa hajui.π€£π€£π€£
Pongezi kwa Pisi yangu ya sasa ,maana wanasema utampata wa kufanana nae , Huyu anapenda Kubeti, Shabiki wa arsenal na anakula Moshi kama kawa.,binti huyu wa mombasa Anatafuna hadi miraa
Asante mama mkwe kwa kuniletea huyu kiumbe Duniani ubarikiwe sana popote ulipo
Turudi kwenye madaa
Nadhani wengi wetu tunamfahamu mwamba Lee min hoo ,
Muigizaji wa Korea Kusini na mwanamitindo Lee Min Ho, aliyejulikana zaidi kwenye kazi zake "BOYS OVER FLOWER" na "CITY HUNTER", na nyingine nyingi zilizofanya poa kunako soko la Dunia
Hizi tetesi tulianza kuziskia muda mrefu inasemekana kuwa mwamba kapigwa kisu cha upasuaji wa plastiki ili kuboresha Sura yake
View attachment 1713661
Hili linaipa nguvu sana kutokana na na KOREA kuwa nchi kinara kwa ufanyaji wa plastic surgery ikifwatiwa na THAILAND
Lee Min Ho, inakisiwa kufanya upasuaji wa kubadilishi muonekano wake, akitengeneza pua yake, kapiga sindano ya kutengeneza midomo (lips) ,kupunguzwa kidevu na kunyoshwa sura
View attachment 1713662
Hata hivyo madai mengine yanaidai sasa hivi sura Imekuwa nyeupe zaidi ya mwanzo. ni zaidi ya Surgery 12 ndizo alizofanyiwa "inasemeka"
Series za kikorea uwa naona zina utoto ndani yake isipokuwa zile zenye plot za medieval ages, kama chumong na chuno au slave hunter. Zile ni hatari kabisa.Iris kile ni Chumaa mkuu , kaliii sana
Wazubgu wako bomba zaid binafsi horrors series huwa naziadmire sanaSeries za kikorea uwa naona zina utoto ndani yake isipokuwa zile zenye plot za medieval ages, kama chumong na chuno au slave hunter. Zile ni hatari kabisa.
Hata hivyo mm hata series za mbele nazopenda ni plot za game of thrones, spartacus zaidi
ππππMimi sioni tofauti naona tu picha za kushoto low quality na haxina filter huku za kulia high quality with filters
Kumbe nanyie mnaona Hilo [emoji16][emoji16][emoji16]Yuko overrated huyu..sababu ya sura haha
Naam siumeona hata ile series yenyewe ..Huyo jamaa miyeyusho tu hamna kituHuyu mshikaji sijawahi kumwelewa hata siku moja, namkubali sana yule mwamba aliecheza Vagabond.
Kwani tech siniujuzi na ujuzi umetofautiana so hapo tatizo liko wapi mkuu !?Bro unaisifia season ya kijasusi inamtafuta mtu kwa miaka 20 kisha anakuja new comer anamwambia mkuu wa tech tutumie facial technology kumpata huyu mtu, wanatumia ndani ya nusu saa washajua alipo.
Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote.
Facial tech ipo miaka yote.
Ila new comer ndiyo katoa wazo.
Hii ni muvi ya kuitwa bonge la muvi?
Cha kumsukuru mungu umeelewaSasa movie zina episodes, au series?
Mkuu mpo wengiππNaam siumeona hata ile series yenyewe ..Huyo jamaa miyeyusho tu hamna kitu
Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote na ndiye anajua namna ya kuoperate hiyo facial technology inatakiwa itumike wakati gani ila ofisi nzima hawajawahi kuitumia kumtafuta huyo mtu, ila new comer ndiye kaja na wazo la kuitumia na unasema ujuzi unatofautiana?Kwani tech siniujuzi na ujuzi umetofautiana so hapo tatizo liko wapi mkuu !?
πππhapa mkuu tunataka kufanana Sema mimi marvel pale HunichomoiBongo muvi za asia....sjawai angalia na sitoangalia..na siwez kuna ruhusu hata dem wangu aangalie nikiwepo..infact hata nisipokuepo..yan naweza mpiga kibuti kabisaa
Sabab zangu
1.siwez angalia muvi nje ya holywood..na sio holywood ilimrad. Ni yale makampun ya usambazaj na production makubwa tu maana had wakusambazie or produce lazima muv waiamini sanaa
2.siwez angalia low budget muvi..hata iwe imetengenezwa marekani...muvi wanazotumia tomato kama damu(hahah.joke)
3.siwez angalia muvi iliyotafsiriwa..yaam uongee kichina halaf huku niskie kizungu..no way
4.siwez angalia muv yenye subtittles mwanzo mwisho.nakua naangalia maandish tu badala ya muvi
5.siwez angalia series theme za mapenz mwanzo mwisho...no way..kuna mambo meng zaidi ya mapenz ulimwengun hapa..wamarekan or wazungu walilijua hilo kitambo ndomana yakaja ma kina 24..,lost..prison break etc
Ndio..uzi huu sio wangu.......sooooo whattt.
π€π€π€Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote na ndiye anajua namna ya kuoperate hiyo facial technology inatakiwa itumike wakati gani ila ofisi nzima hawajawahi kuitumia kumtafuta huyo mtu, ila new comer ndiye kaja na wazo la kuitumia na unasema ujuzi unatofautiana?
Ujuzi wa system yako ambayo inaitwa facial technology ilibidi aje mtu wa nje kukwambia uitumie? Kumtafuta gaidi?
Kwakweli hakuna tatizo mkuu.