Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

Lee Min Ho na plastic surgery zaidi ya 12 usoni

Sikuwahi kuwa Shabiki kindaki ndaki korean DRAMAS , Aidha ipambwe na ihit sana mtandaoni hapo ningejisogeza nipate kuangalia

Kutokuwa shabiki wa movie hizo haimaanishi hawajui hawa jamaa kwenye movie zao wako makini mno
Movie zao ni kali shout out kwa "Waongozaji wao"

Kwakweli movie zao ni kali ila maswala ya watu mnakutana Episode ya kwanza mnakuja Kudate Episode ya Mwisho mimi yalinishindaga kwa kweli ,,, kitu cha mzungu mzee Episode ya kwanza tu Washangonoka(,jokes,)

Dada zetu ndiyo wapenzi haswa wapenzi wa korean Dramas ,

Ndiyo kusema kwamba baadhi magirl wangu, nliowahi kupita nao huko nyuma , walikuwa wananisukuma kucheki hizi movie hasa tukiwa wote,hapo kidogo ningefatilia

Na nlikuwa najua kama nashare na mchizi Lee min hoo maana daah Wadada huwaambii kitu kwa huyu mwamba....Isiwe kesi as long as nlishare na Star wa movie duniani basi mambo yente japo yeye alikuwa hajui.๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Pongezi kwa Pisi yangu ya sasa ,maana wanasema utampata wa kufanana nae , Huyu anapenda Kubeti, Shabiki wa arsenal na anakula Moshi kama kawa.,binti huyu wa mombasa Anatafuna hadi miraa
Asante mama mkwe kwa kuniletea huyu kiumbe Duniani ubarikiwe sana popote ulipo

Turudi kwenye madaa

Nadhani wengi wetu tunamfahamu mwamba Lee min hoo ,



Muigizaji wa Korea Kusini na mwanamitindo Lee Min Ho, aliyejulikana zaidi kwenye kazi zake "BOYS OVER FLOWER" na "CITY HUNTER", na nyingine nyingi zilizofanya poa kunako soko la Dunia

Hizi tetesi tulianza kuziskia muda mrefu inasemekana kuwa mwamba kapigwa kisu cha upasuaji wa plastiki ili kuboresha Sura yake

View attachment 1713661

Hili linaipa nguvu sana kutokana na na KOREA kuwa nchi kinara kwa ufanyaji wa plastic surgery ikifwatiwa na THAILAND

Lee Min Ho, inakisiwa kufanya upasuaji wa kubadilishi muonekano wake, akitengeneza pua yake, kapiga sindano ya kutengeneza midomo (lips) ,kupunguzwa kidevu na kunyoshwa sura

View attachment 1713662

Hata hivyo madai mengine yanaidai sasa hivi sura Imekuwa nyeupe zaidi ya mwanzo. ni zaidi ya Surgery 12 ndizo alizofanyiwa "inasemeka"
Mimi sioni tofauti naona tu picha za kushoto low quality na hazina filter huku za kulia high quality with filters
 
Iris kile ni Chumaa mkuu , kaliii sana
Series za kikorea uwa naona zina utoto ndani yake isipokuwa zile zenye plot za medieval ages, kama chumong na chuno au slave hunter. Zile ni hatari kabisa.
Hata hivyo mm hata series za mbele nazopenda ni plot za game of thrones, spartacus zaidi
 
Series za kikorea uwa naona zina utoto ndani yake isipokuwa zile zenye plot za medieval ages, kama chumong na chuno au slave hunter. Zile ni hatari kabisa.
Hata hivyo mm hata series za mbele nazopenda ni plot za game of thrones, spartacus zaidi
Wazubgu wako bomba zaid binafsi horrors series huwa naziadmire sana
 
Ili ufurahie movie za kikorea angalia za vijijini tu hizi nyingine naona magumashi sana ukiangalia za vijijini kuanzia empre chunchu empres ki nk ni movie ambazo haziboi kuangalia mi za mjini nilikubali kama movie mbili tu Rear monster na goodbye mr black ila nimeangalia movie nyingi za kolea sijaona movie nyingine naishiaga njiani tu
 
Sasa movie zina episodes, au series?
 
Huyu mshikaji sijawahi kumwelewa hata siku moja, namkubali sana yule mwamba aliecheza Vagabond.
Naam siumeona hata ile series yenyewe ..Huyo jamaa miyeyusho tu hamna kitu
 
Bro unaisifia season ya kijasusi inamtafuta mtu kwa miaka 20 kisha anakuja new comer anamwambia mkuu wa tech tutumie facial technology kumpata huyu mtu, wanatumia ndani ya nusu saa washajua alipo.

Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote.

Facial tech ipo miaka yote.

Ila new comer ndiyo katoa wazo.

Hii ni muvi ya kuitwa bonge la muvi?
Kwani tech siniujuzi na ujuzi umetofautiana so hapo tatizo liko wapi mkuu !?
 
Bongo muvi za asia....sjawai angalia na sitoangalia..na siwez kuna ruhusu hata dem wangu aangalie nikiwepo..infact hata nisipokuepo..yan naweza mpiga kibuti kabisaa

Sabab zangu
1.siwez angalia muvi nje ya holywood..na sio holywood ilimrad. Ni yale makampun ya usambazaj na production makubwa tu maana had wakusambazie or produce lazima muv waiamini sanaa

2.siwez angalia low budget muvi..hata iwe imetengenezwa marekani...muvi wanazotumia tomato kama damu(hahah.joke)

3.siwez angalia muvi iliyotafsiriwa..yaam uongee kichina halaf huku niskie kizungu..no way

4.siwez angalia muv yenye subtittles mwanzo mwisho.nakua naangalia maandish tu badala ya muvi

5.siwez angalia series theme za mapenz mwanzo mwisho...no way..kuna mambo meng zaidi ya mapenz ulimwengun hapa..wamarekan or wazungu walilijua hilo kitambo ndomana yakaja ma kina 24..,lost..prison break etc

Ndio..uzi huu sio wangu.......sooooo whattt.
 
Kwani tech siniujuzi na ujuzi umetofautiana so hapo tatizo liko wapi mkuu !?
Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote na ndiye anajua namna ya kuoperate hiyo facial technology inatakiwa itumike wakati gani ila ofisi nzima hawajawahi kuitumia kumtafuta huyo mtu, ila new comer ndiye kaja na wazo la kuitumia na unasema ujuzi unatofautiana?

Ujuzi wa system yako ambayo inaitwa facial technology ilibidi aje mtu wa nje kukwambia uitumie? Kumtafuta gaidi?

Kwakweli hakuna tatizo mkuu.
 
Bongo muvi za asia....sjawai angalia na sitoangalia..na siwez kuna ruhusu hata dem wangu aangalie nikiwepo..infact hata nisipokuepo..yan naweza mpiga kibuti kabisaa

Sabab zangu
1.siwez angalia muvi nje ya holywood..na sio holywood ilimrad. Ni yale makampun ya usambazaj na production makubwa tu maana had wakusambazie or produce lazima muv waiamini sanaa

2.siwez angalia low budget muvi..hata iwe imetengenezwa marekani...muvi wanazotumia tomato kama damu(hahah.joke)

3.siwez angalia muvi iliyotafsiriwa..yaam uongee kichina halaf huku niskie kizungu..no way

4.siwez angalia muv yenye subtittles mwanzo mwisho.nakua naangalia maandish tu badala ya muvi

5.siwez angalia series theme za mapenz mwanzo mwisho...no way..kuna mambo meng zaidi ya mapenz ulimwengun hapa..wamarekan or wazungu walilijua hilo kitambo ndomana yakaja ma kina 24..,lost..prison break etc

Ndio..uzi huu sio wangu.......sooooo whattt.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hapa mkuu tunataka kufanana Sema mimi marvel pale Hunichomoi
 
Yaani mkuu wa tech yupo miaka yote na ndiye anajua namna ya kuoperate hiyo facial technology inatakiwa itumike wakati gani ila ofisi nzima hawajawahi kuitumia kumtafuta huyo mtu, ila new comer ndiye kaja na wazo la kuitumia na unasema ujuzi unatofautiana?

Ujuzi wa system yako ambayo inaitwa facial technology ilibidi aje mtu wa nje kukwambia uitumie? Kumtafuta gaidi?

Kwakweli hakuna tatizo mkuu.
๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿค”
 
Back
Top Bottom