Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Sikuwahi kuwa Shabiki kindaki ndaki korean DRAMAS , Aidha ipambwe na ihit sana mtandaoni hapo ningejisogeza nipate kuangalia
Kutokuwa shabiki wa movie hizo haimaanishi hawajui hawa jamaa kwenye movie zao wako makini mno
Movie zao ni kali shout out kwa "Waongozaji wao"
Kwakweli movie zao ni kali ila maswala ya watu mnakutana Episode ya kwanza mnakuja Kudate Episode ya Mwisho mimi yalinishindaga kwa kweli ,,, kitu cha mzungu mzee Episode ya kwanza tu Washangonoka(,jokes,)
Dada zetu ndiyo wapenzi haswa wapenzi wa korean Dramas ,
Ndiyo kusema kwamba baadhi magirl wangu, nliowahi kupita nao huko nyuma , walikuwa wananisukuma kucheki hizi movie hasa tukiwa wote,hapo kidogo ningefatilia
Na nlikuwa najua kama nashare na mchizi Lee min hoo maana daah Wadada huwaambii kitu kwa huyu mwamba....Isiwe kesi as long as nlishare na Star wa movie duniani basi mambo yente japo yeye alikuwa hajui.🤣🤣🤣
Pongezi kwa Pisi yangu ya sasa ,maana wanasema utampata wa kufanana nae , Huyu anapenda Kubeti, Shabiki wa arsenal na anakula Moshi kama kawa.,binti huyu wa mombasa Anatafuna hadi miraa
Asante mama mkwe kwa kuniletea huyu kiumbe Duniani ubarikiwe sana popote ulipo
Turudi kwenye madaa
Nadhani wengi wetu tunamfahamu mwamba Lee min hoo ,
Muigizaji wa Korea Kusini na mwanamitindo Lee Min Ho, aliyejulikana zaidi kwenye kazi zake "BOYS OVER FLOWER" na "CITY HUNTER", na nyingine nyingi zilizofanya poa kunako soko la Dunia
Hizi tetesi tulianza kuziskia muda mrefu inasemekana kuwa mwamba kapigwa kisu cha upasuaji wa plastiki ili kuboresha Sura yake
Hili linaipa nguvu sana kutokana na na KOREA kuwa nchi kinara kwa ufanyaji wa plastic surgery ikifwatiwa na THAILAND
Lee Min Ho, inakisiwa kufanya upasuaji wa kubadilishi muonekano wake, akitengeneza pua yake, kapiga sindano ya kutengeneza midomo (lips) ,kupunguzwa kidevu na kunyoshwa sura
Hata hivyo madai mengine yanaidai sasa hivi sura Imekuwa nyeupe zaidi ya mwanzo. ni zaidi ya Surgery 12 ndizo alizofanyiwa "inasemeka"
Kutokuwa shabiki wa movie hizo haimaanishi hawajui hawa jamaa kwenye movie zao wako makini mno
Movie zao ni kali shout out kwa "Waongozaji wao"
Kwakweli movie zao ni kali ila maswala ya watu mnakutana Episode ya kwanza mnakuja Kudate Episode ya Mwisho mimi yalinishindaga kwa kweli ,,, kitu cha mzungu mzee Episode ya kwanza tu Washangonoka(,jokes,)
Dada zetu ndiyo wapenzi haswa wapenzi wa korean Dramas ,
Ndiyo kusema kwamba baadhi magirl wangu, nliowahi kupita nao huko nyuma , walikuwa wananisukuma kucheki hizi movie hasa tukiwa wote,hapo kidogo ningefatilia
Na nlikuwa najua kama nashare na mchizi Lee min hoo maana daah Wadada huwaambii kitu kwa huyu mwamba....Isiwe kesi as long as nlishare na Star wa movie duniani basi mambo yente japo yeye alikuwa hajui.🤣🤣🤣
Pongezi kwa Pisi yangu ya sasa ,maana wanasema utampata wa kufanana nae , Huyu anapenda Kubeti, Shabiki wa arsenal na anakula Moshi kama kawa.,binti huyu wa mombasa Anatafuna hadi miraa
Asante mama mkwe kwa kuniletea huyu kiumbe Duniani ubarikiwe sana popote ulipo
Turudi kwenye madaa
Nadhani wengi wetu tunamfahamu mwamba Lee min hoo ,
Muigizaji wa Korea Kusini na mwanamitindo Lee Min Ho, aliyejulikana zaidi kwenye kazi zake "BOYS OVER FLOWER" na "CITY HUNTER", na nyingine nyingi zilizofanya poa kunako soko la Dunia
Hizi tetesi tulianza kuziskia muda mrefu inasemekana kuwa mwamba kapigwa kisu cha upasuaji wa plastiki ili kuboresha Sura yake
Hili linaipa nguvu sana kutokana na na KOREA kuwa nchi kinara kwa ufanyaji wa plastic surgery ikifwatiwa na THAILAND
Lee Min Ho, inakisiwa kufanya upasuaji wa kubadilishi muonekano wake, akitengeneza pua yake, kapiga sindano ya kutengeneza midomo (lips) ,kupunguzwa kidevu na kunyoshwa sura
Hata hivyo madai mengine yanaidai sasa hivi sura Imekuwa nyeupe zaidi ya mwanzo. ni zaidi ya Surgery 12 ndizo alizofanyiwa "inasemeka"