Leeds United: Nyota iliyozimika katika ulimwengu wa soka

Kweli, post umenigusa,Leeds kweli imepotea niliipenda baada ya gunners.
kuna dogo alikuwa anaitwa harte bek 3 atakuwa huyo aliye kushoto kwa Rio fednand,hatari,kwa"direct kick" na guu la kushoto,hatari sana.Nadhani Bartez anamjua harte.
Ukisikia askari anakufa na bunduki yake basi ndio hao leeds walishuka na utamu wao huyu mfaransa dacourt ilikuwa khabari nyingine huyo mtu.
 
Mzee mwenzangu shukurani nyingi kwa mwaliko huyu rapa ana asili ya uchokozi na uchochezi mada zake nyingi hutufanya tujione kama matukio yametokea jana kumbe ni zaidi ya miongo miwili.
 
Fuatilia vyema historia yao mara baada ya kushuka
 
Ni kweli kabsa hiyo ligi ni ngumu mno
 
Huu uzi umenifanya niwakumbuke watu hawa wawili japo hawakupita leeds United wa kwanza ni Reuel adrian fox chuma hiki kilikuwa tottenham na Newcastle winga matata sana ya kulia mzaliwa wa Ipswich town huyu jamaa mwingine ni Chris Armstrong aah jamaa nilikuwa namkubali miaka hiyo ya 90 katikati shughuli yake pale mbele ulikuwa unaburudika. Palikuwa na gazeti linaitwa the shoot lilikuwa likitoka kila mwezi basi hapo ndio tulikuwa tunapata khabari za ligi ya uingereza.
 
Daaah kweli man ...yani anayeongoza league anaweza kukalishwa na kilaza wa chini
 
Mimi namkumbuka Mack Viduka ndio alikuwa nyota wao enzi hizo, na Allan Smith kama sikosei naye alikuwa hapo
 
maendeleo yao yapoje mpaka sasa mkuu?
Naona wamerudi tena chini zaidi mwenendo wao ni kama Arsenal tu wanashinda game moja wanapoteza mechi 3......

Kwa kweli mpaka sasa sijajua ni kitu gani kilicho wasibu hawa mambwana naona kwenye ligi wapo nafasi ya 12 thou najua wakipambana wanaweza ingia kwenye zile zitu 4 zitakazo cheza play off....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…