Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Legacy nzuri ya mtu huwa haitetewi. Legacy nzuri huwa inajitetea yenyewe kupitia mambo mazuri pamoja na matendo mazuri aliyofanya mhusika.
Ukiona kuna mtu watu wanatetea kwa nguvu zote kuwa ameacha legacy nzuri sana jua huyo mtu alikuwa ni laghai. Kuna watu wanatetea kwa nguvu zote kuwa kaacha legacy nzuri sana, hii inadhihirisha wazi kuwa alikuwa ni laghai. Kama Kayafa kaacha legacy nzuri sana basi aachwe ili hiyo legacy ijitetee yenyewe kupitia hayo mambo mazuri aliyofanya.
Alikuwa ni hopeless populist and hopeless sinner ambae alijificha kwenye chaka la siasa za propaganda ili kulaghai watu wajinga kuwa yeye ndiye yule ajae na wala wasimtazamie mwingine.
Ukiona kuna mtu watu wanatetea kwa nguvu zote kuwa ameacha legacy nzuri sana jua huyo mtu alikuwa ni laghai. Kuna watu wanatetea kwa nguvu zote kuwa kaacha legacy nzuri sana, hii inadhihirisha wazi kuwa alikuwa ni laghai. Kama Kayafa kaacha legacy nzuri sana basi aachwe ili hiyo legacy ijitetee yenyewe kupitia hayo mambo mazuri aliyofanya.
Alikuwa ni hopeless populist and hopeless sinner ambae alijificha kwenye chaka la siasa za propaganda ili kulaghai watu wajinga kuwa yeye ndiye yule ajae na wala wasimtazamie mwingine.