Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahsante mkuu, sikuwahi kuisikia hii kauli na nimeipenda aiseeAlikuwa hajali watu wanaomsema vibaya.Nakumbuka kauli moja aliposema "Dereva mzuri ni yule ambaye haachi usukani kumpiga Mbu"
mkuu ujima si ukiisha miaka mingi iliyopita, au unamaanisha ujima upi mkuuAlitutoa ktk enzi za ujima
Hivi ni kweli alioa akiwa madarakani ??
Mkuu ulikuwepo?Alikuwa anasikiliza sana ushahuri wa mke wake kuliko baraza la mawaziri
Naam huyu Bwana amebarikiwa kwa hiyo sifaNafikiri sifa yake kubwa kabisa ni muungwana.
Ahsante sana mkuu, basi alikua na mchango muhimu sana maana inainaekana aliipokea nchi ikiws hali mbaya sanaKuelewa mchango wa Mwinyi unapaswa kwanza kuelewa hali ya nchi ilivyokuwa wakati anakuwa Rais...
Nchi ilikuwa na Redio moja tu Redio Tanzania..na magazeti ya chama na serikali...
hakuna kabisa sehemu ya kukosoa wala kueleza matatizo...
na baada ya vita ya Iddi Amin kiuchumi nchi ndo ikayumba kabisa
Sera za Nyerere za ujamaa na kila kitu kufanywa na serikali kuanzia kuuza mikate
hadi nguo n kadhalika ilisha feli....
watu wanapanga foleni kununua sukari na sigara
mtu akienda Kenya mnamuagiza colgate na sabuni za lux...
hali ilikuwa mbaya except kwa wachache waliokuwa na nafasi...
Mwinyi akaapishwa mwaka 1985....by the time anaondoka 1995..
Ilikuwa nchi tofauti kabisa.......magazeti tele..TV na redio...tele
vyama vya upinzani.....hadi uchaguzi wa 1995 kulikuwa na mdahalo kwenye tv
hapo ndo Lipumba akaibukia CUF....
Vitongoji kama Sinza vikawa maarufu wakati wa Nyerere ni kulikuwa na mashamba tu ya mpunga..
magari ikawa ruksa unanunua bila kuomba kibali..
Sasa wapo wanaosema hakufanya lolote...
labda mabadiliko yangekuja tu bila yeye...
but wengi wanaosema hivyo hawakuwepo enzi hizo
Anhaa kumbe kumcha Mungu ameanza kitambo, maana mpaka sasa anaonekana ni mcha MunguMZEE ALHAJ ALI HASSAN MWINYI ALIKUWA MCHAMUNGU.
Ahsante sana mkuu, basi alikua na mchango muhimu sana maana inainaekana aliipokea nchi ikiws hali mbaya sana
Ingekuwa kampiga magu au JK angefia jelaHalafu kuna njemba ilimkataga mabanzi mubashara hadharani yaani watu wana laana dunia hii.
Na upole ule wa Mzee mwinyi unatoa wapi ujasiri wa kumuadhibu na sucker slap...alinifurahisha alipomsamehe. That's was tottaly humane and humble.
Mkuu kinacho nishangaza ni kuwa mfumo wa vyama vingi sifa nyingi anapewa Nyerere wakati aliyekuwepo madarakani ni Mwinyi sijajua kwa nini anasifiwa Nyerere1.Aliitoa nchi toka mfumo wa kimashariki -ujamaa (socialim) kwenda mfumo wa kimagharibi-ubepari (capitalism) tuliokuwa nao hivi sasa chini ya sera maarufu ya RUKSA
2.Ndie muanzilishi wa mfumo wa vyama vingi uliopo hivi sasa baada ya mara ya kwanza kuondolewa miaka ya 1976-70
3.Hakua mbaguzi wa dini aliamini kila Mtanzania ana haki regardless ya jinsi na jinsia aliyenayo
Urais haukumzuzua mwinyi,unavyomuona leo ndivyo alivyokuwa.Anhaa kumbe kumcha Mungu ameanza kitambo, maana mpaka sasa anaonekana ni mcha Mungu
Inasemekana siti aliolewa baada ya kwanza kutopenda kuonekana hadharani ndio maanaUzushi tu
hata Kikwete walizusha kaoa pia
inatokea tu pale mnapokuwa na uhuru wa kujieleza bila hofu