The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Inasemekana siti aliolewa baada ya kwanza kutopenda kuonekana hadharani ndio maana
tena kuna stori nyingi zaidi wakati anaoa na hali ilivyokua ambazo wacha niziite za vijiweni
Sio kweli
Sitti na Khadijah wote aliwaoa zamani sana
wakati anajiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani...alikuwa na wake wawili
akawa ameyumba kiuchumi kiaina
Rafiki yake Kitwana Kondo akamsaidia sana....ndo chanzo cha Kitwana Kondo
kuja kuwa untouchable kiaina wakati wa Mwinyi