Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamsifia anayeezeka na kumponda aliyejenga msingi na kuta... Hizi ni akili ama matope?Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.
Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu
Maendeleo hayana vyema!
Ukweli mchunguAnalinda ugali wa mtoto wake!
Amemponda nani hapo?!Unamsifia anayeezeka na kumponda aliyejenga msingi na kuta... Hizi ni akili ama matope?
Kwahiyo mzee Makamba katia mchanga ugali wa January?!Ukweli mchungu
hao watu wavivu sana wa kufikiri. mzee anaongea ukweli kwamba Rais Magufuli anafanya yaliyoshindwa kufanywa miaka 30 na kwa hesabu za haraka miaka 30 ni kipindi cha marais watatu waliopita yeye akiwemo na anakiri kabisa. Mzee Mwinyi anaongea alichoshuhudia na kushindwa kukifanyaAmemponda nani hapo?!
Huyu mzee anajitahidi kusema, lakini ajue tu kuwa alishiriki kuuwa shrika la ndege na mashirika mengingine. Hivyo ni aibu kwa. Ila kama ujuavyo boss haeleweki, anaweza badilika na kufanya jambo lolote wakati wowote. Hivyo ili kuwa salama inabidi ujikombe kwake ili anagalau ukumbukwe.Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.
Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu
Maendeleo hayana vyema!
Je hii katuni inaukweli wowote kwenye hili?Mzee Mwingi mawazo yake ni mapana sana na uelewa mzuri wa mambo na anakiri ukweli mchungu, wengine watampinga kwa sababu kasema ukweli. Mawazo ya Mzee Mwinyi yaheshimiwe kwa umri, uzoefu na busara zake anasema aliyoyaona na kuyashuhudia
Hamna cha uungwana wala ukweli.Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.
Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu
Maendeleo hayana vyema!
Huyo mzee atuambie kuwa uchumi umekuwa kwa % ngapi?Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.
Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu
Maendeleo hayana vyema!
OK, kuporomosha uchumi toka 7% to 4%, kuteka, kuua, hongeara JPM,Rais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.
Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu
Maendeleo hayana vyema!
Ni kweli amesoma ishara!Analinda ugali wa mtoto wake!
Mawazo yake. Alishafanya kazi hiyo ya Urais. Anajua alichokisema, kwamba yeye akufanya Cho chore hila kuleta ufisadiRais mstaafu mzee Mwinyi ameonyesha uungwana uliotukuka kwa kukiri uchapakazi wa Rais Magufuli hadharani.
Mwinyi amesema kazi waliyoshindwa kuifanya yeye, Mkapa na Kikwete kwa miaka 30 Dr Magufuli ameifanya kwa miaka mitatu tu
Maendeleo hayana vyema!
Hivyo viatu walikuwa wanavaa wanawake au wanaume? Nikivitazama visigino kama viatu vya wanawake ila juu kama vya