Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Daa mi nshasahau kama kuna binadamu alikuwa anaitwa Magufuli[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Nataka pesa iwe full kitaa,nikifanya mishe kidogo tu niwe napata mshiko.Magufuli is dead.
Hawezi tena kudhuru mtu au kumnufaisha.
Soon utaona axis of power ikimzunguuka mama kikamilifu na hapo kidogokidogo utaona raia wanaachana na mambo ya Magufuli.
Magufuli will be phased out very soon, hasa mama akileta Neema
Kitu gani hicho mkuu?Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
With time haya mambo yataisha. Mpaka kufikia 2024 Samia atakuwa ashaweka watu wake kote na kutakuwa wamebaki wabunge wa Magu tu ambao nao wengi hawatapita kura za maoni 2025.Kwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...
Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Angekuwa wa hovyo angekujengea Madaraja,sgr, Mwendokasi,Hospitali, Shule,Bwawa la umeme la Nyerere,Ununuzi wa ndege, ujenzi wa viwanja vya ndege, Ununuzi wa meli,ujenzi wa bandari,nk???.Kwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...
Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Itakuwa kinyume chake,wewe ndio utalaaniwa.Atakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
Kweli kabisa.Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Ashukuriwe mnyaazi Mungu kwa kutuondolea lile dubwana Ikulu, maana kwa nguvu za kawaida za kibinadamu asingetoka yule; Alipanga kufia ikulu, bahati nzuri kafa mapema, miezi 5 tu ya awamu ya 2 chaliiKwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...
Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Sawa BashiteItakuwa kinyume chake,wewe ndio utalaaniwa.
JPM wako ashakufa, anaoza ardhini now, and kauliwa na Corona, ugonjwa alioudharau sana. Hatorudi tena, na hamna jambo jema lolote aliloacha zaidi ya wizi na kuwapa vyeo ndugu, marafiki na watu wa kabila lake! Alikuwa Rais wa hovyo kweli kweliJuhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Kile kilio chetu kwa waliovuruga uchaguzi 2020 Mungu amekisikia tena walanike mpaka kizazi chao cha nne.Atakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
Imekuwaje mkuu? Fafanua kidogoKuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana
Ni ukweli usiopingika kua jiwe hatukonaeKwani Meko alikua ni nani hasa yeye? Mbona mnazuia watu wasiteme nyongo zao za miaka 5? Alikua ni Rais wa hovyo kuwahi kuitawala Tanzania...
Meko ashakufa hivyo tuachane na habari zake, nchi iko mikononi mwa Mama anaiendeleza na kufuta upuuzi wote uliowekwa na mtangulizi wake..
Hakuna namnaKile kilio chetu kwa waliovuruga uchaguzi 2020 Mungu amekisikia tena walanike mpaka kizazi chao cha nne.
Hakika amenyanyasa watu sana,aende tuuAtakaye mkumbuka dikteta alaaniwe yeye na uzao wake wote
Alikuwa mtu wa hovyo snHakika amenyanyasa watu sana,aende tuu
Mwamba alijikuta yeye ndo kubwa lao kumbe mchumba tuu.hata mwendo hajamalizaJiwe huko aliko cha moto amekipata.
Hata mie pia ishabaki story tuuDaa mi nshasahau kama kuna binadamu alikuwa anaitwa magufuli[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan tunaenda mdo mdo...Kuna kitu kafanya kwenye ushuru wa kuingiza magari nchini kimempa mileage kubwa sana