mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Shujaa wa Africa ..! My foot[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ningeshangaa Magufuli kupendwa na wachawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shujaa wa Africa ..! My foot[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Haikuhitaji nguvu kubwa kumnadi kwani sisi Waswahili tunasemma "kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza." Mwacheni apate stahiki yake bila maguvuJuhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Baada ya kushindwa kujibu hoja,unaamua kuweka emoji.[emoji706]
Huo unaitwa mtongozoDada mimi sina ushabiki wa Vyama lakini huyu mzee alikuwa katili sana.
Waliomfurahia ni wale waliolelewa kwenye familia za kikatili ,,yaani maisha ya ukatili waliyazoea.
Avater yako inanifanya niwe mpole kwako.
Oneday tuonane au unasemaje dada?
Isingewezekana.ningeshangaa magufuli kupendwa na wachawi.
Kwa hiyo, hoja yako ni nini hapo??.In short unataka kusemaje??.Mv Liemba ya lake Tanganyika, ilijengwa na wakoloni(wazalendo) wa kijerumani mwanzoni mwa karne iliyopita. Mwaka 1960 hapa Dar, palikuwa mabasi ya ghorofa (Double deck bus) kama jijini London. Shule za Jangwani na Azania na vyanzo vya umeme Pangani falls na Nyumba ya Mungu vilikuwepo tangu kabla ya vita kuu ya pili
Karibu tena
Wale 400 walikuwa kina nani? Aaah ok WAPIGAJI wa mitandaoniningeshangaa magufuli kupendwa na wachawi.
Mkuu tafadhali tunaomba utambulisho wa hao miamba.These are true African legends...sio hiki kituko cha sasa.... View attachment 1753677
Hapo hapo mbowe amepata chanjo ya corona na anafanya social distance kwa joyce mkuyaNahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.
Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.
Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.
Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Kutoka kushoto Keneth Kaunda (KK) bado yuko hai, Samora Machel (Aliuliwa) Mwalimu Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na Baba wa TaifaMkuu tafadhali tunaomba utambulisho wa hao miamba.
Si unajua tena sisi kizazi cha smartphone?
[emoji3][emoji3][emoji3]Me nikajua unaongelea Legacy ile gari ya kampuni ya Subaru..... Kumbe ni siasa, msyuuuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
These are true African legends...sio hiki kituko cha sasa.... View attachment 1753677
Ni wajibu wetu wanaume kuwatongoza wanawake.Huo unaitwa mtongozo
Nini kinawafanya mumuite Magu shujaa wa Afrika?hawa pia wakati wao kuna watu waliwaona ni vituko.