Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Legacy zinavyopotea haraka, nahisi huruma

Nini kinawafanya mumuite Magu shujaa wa Afrika?
Walijaribu kulazimisha lakini imekataa. Huko bungeni nako akina Jah people, Kibajaji na Msukuma darasa la 7 B, wamejaribu kuweka pambio la kumtukuza JIWE kwa nguvu, naona wabunge wenye akili kubwa ndani ya CCM humo humo wamewabeza. Eti wanalazimisha mama aendeleze ya JIWE. Ni kama vile mama hana uwezo wa kupanga nini kitawafaa waTanzania. Kila kitabu na zama zake, aachwe Mama Samia aandike KITABU chake.
 
Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM

Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%

JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Lilikuwa jizi la kura, hiyo 84% sio watanzania, bali kapewa na vyombo vya dola vilivyokuwa vinamsujudia.
 
Unajitahidi kujifariji kwamba JIWE litakuja kukumbukwa kwa mazuri? Jiulize, kwa nini hiyo Legacy inalazimishwa?

Inalazimishwaje kijana!!!

Hata ukimtukana jk nyerere saa hizi utakamatwa,huko ni kulazimishwa!!!!
 
Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Umemaliza 🙌🙌👏👏!!
 
Ni kweli, ila sio kwa Level ya jiwe.

sijui umepimaje!!!

ila enzi za nyerere kuna watu walitamka hadharani kwamba nchi iko mifukoni mwao,hicho ni kiwango cha juu zaidi kupuuza nguvu ya rais.
 
Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.

Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.

Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.

Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Kwani legacy ni lazima iwe nzuri tu? Unamaanisha tutashindwa kumkumbuka hata kwa kuingiza mfumo mpya wa watu wanaomkosoa Rais kupotezwa, kuuawa au kushambuliwa kama alivyofanyiwa Lisu?
 
Amelaaniwa kabisa!! Umri huu nilikuwa sijawahi ona mtu akifa watu wanafanya sherehe.. nimeona kwa huyu mwendazake

Kristu alikufa miaka 2000 iliyopita na kifo chake ni sherehe pia.

Ishu hapa unasherehekea ukombozi!!au unasherehekea umasikini ulio nao.
 
Back
Top Bottom