Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Wanamwonea wivu mama Samia.Nini kinawafanya mumuite Magu shujaa wa Afrika?
Mama nyota yake inang'aa sana hivyo wanaona jiwe amesahaulika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamwonea wivu mama Samia.Nini kinawafanya mumuite Magu shujaa wa Afrika?
Unajitahidi kujifariji kwamba JIWE litakuja kukumbukwa kwa mazuri? Jiulize, kwa nini hiyo Legacy inalazimishwa?hawa pia wakati wao kuna watu waliwaona ni vituko.
Shukrani mkuuKutoka kushoto Keneth Kaunda (KK) bado yuko hai, Samora Machel (Aliuliwa) Mwalimu Nyerere mchonga meno rais wa kwanza wa Tanganyika na Baba wa Taifa
Walijaribu kulazimisha lakini imekataa. Huko bungeni nako akina Jah people, Kibajaji na Msukuma darasa la 7 B, wamejaribu kuweka pambio la kumtukuza JIWE kwa nguvu, naona wabunge wenye akili kubwa ndani ya CCM humo humo wamewabeza. Eti wanalazimisha mama aendeleze ya JIWE. Ni kama vile mama hana uwezo wa kupanga nini kitawafaa waTanzania. Kila kitabu na zama zake, aachwe Mama Samia aandike KITABU chake.Nini kinawafanya mumuite Magu shujaa wa Afrika?
Lilikuwa jizi la kura, hiyo 84% sio watanzania, bali kapewa na vyombo vya dola vilivyokuwa vinamsujudia.Juhudi ya 16% ya watanzania haiwezi uwa legacy ya JPM
Magufuli ndio kwanza anachipua na kuchanua katika mashina ya watanzania zaidi ya 84%
JPM aliishi, anaishi na ataendelea kuishi...... mnaoumia na kupambana asahaulike mtakufa kwa kihoro
Ni kweli, ila sio kwa Level ya jiwe.hawa pia wakati wao kuna watu waliwaona ni vituko.
Unajitahidi kujifariji kwamba JIWE litakuja kukumbukwa kwa mazuri? Jiulize, kwa nini hiyo Legacy inalazimishwa?
Nini kinawafanya mumuite Magu shujaa wa Afrika?
Umemaliza 🙌🙌👏👏!!Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.
Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.
Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.
Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Ni kweli, ila sio kwa Level ya jiwe.
walisema nchi haitaenda bila yeye,ila naona siku zinayoyoma tu...
Haikuhitaji nguvu kubwa kumnadi kwani sisi Waswahili tunasemma "kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza." Mwacheni apate stahiki yake bila maguvu
Amelaaniwa kabisa!! Umri huu nilikuwa sijawahi ona mtu akifa watu wanafanya sherehe.. nimeona kwa huyu mwendazakeSijui alikuwa kalaaniwa yule. Nchi nzima watu wanamnanga wakati kashakufa.
Mbona unatumia nguvu sanaaaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwani legacy ni lazima iwe nzuri tu? Unamaanisha tutashindwa kumkumbuka hata kwa kuingiza mfumo mpya wa watu wanaomkosoa Rais kupotezwa, kuuawa au kushambuliwa kama alivyofanyiwa Lisu?Nahisi huruma sana jinsi hii kitu inayolazimishwa legacy ya Magufuli kwa sababu, kwanza ni nature ya Mwanamke kuwa na Huruma, pili asili ya mtu na makuzi yake.
Ninapojaribu kuwaza jinsi ambavyo itakuwa ngumu kuenzi mambo ya Mtangulizi wa Samia! Ni kwa hulka za hawa wawili kutofautiana sana. Hivyo watanzania watakuwa ama wakumbuke kuendelea kunzi ukatili katikati ya mtu mwenye huruma, au waenzi ukatili ulio kinyume na mtawala wa sasa ambae kwa hulka ya asili yake na makuzi yake sio mtu KATILI. Ukijaribu kurejea hotuba za mwanzo kabisa za Samia unakutana na maneno 'sitaki fedha ya dhulma'.
Viongozi tuwe kitu kimoja, fungueni vyombo vya habari, na mengine mfano wa hayo utajua kwamba hii kitu inayohimizwa sana na kambi ya D7 (legacy) itakuwa ngumu kudumu kwa sababu Magu atakumbukwa sana kwa ukatili kuliko mambo mengine kwa sababu ya aina MRITHI wake.
Hivyo kambi D7 tuwe wavumilivu
Akaishi huko kuzimu aongoze malaika waasi wakachomwe moto!!Mateseka nyienmnaopambana kuzuia msoyaweza
JPM anaishi..... hutaki jinyonge
Amelaaniwa kabisa!! Umri huu nilikuwa sijawahi ona mtu akifa watu wanafanya sherehe.. nimeona kwa huyu mwendazake
Kama kusherehekea Magu Ni ukombozi kalinde kaburi!kristu alikufa miaka 2000 iliyopita na kifo chake ni sherehe pia.
ishu hapa unasherehekea ukombozi!!au unasherehekea ujinga ulio nao.
Kama kusherehekea Magu Ni ukombozi kalinde kaburi!