Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Attachments

Attachments

Dragon, good job. please can you assist me the investment law notes local and internalional, also can you assist me the EA Report of 1960. I will appreciate Sir
investment law hii hapa, pakua
 

Attachments

Naomba kama una soft copy ya sheria ya ndoa na malezi ya watoto endapo wazazi wametengana, pia kama una document ya kesi ya aina hiyo please. Whatsapp no. 0628 645 183
 

Attachments

Dragoon naomba notes za Criminal law na Criminal law and Procedure!
Na pia ukipata Qs na As zake nitashukuru sana!
 
Dragoon naomba notes za Criminal law na Criminal law and Procedure!
Na pia ukipata Qs na As zake nitashukuru sana!
Jaribu kupitia comment no. 125 Mkuu, Pia pakua hapa
 

Attachments

Na hata huu utitiri wa International Law hauna sana applicability huku Tanzania za dunia hii.

Mtaalam wa International law, kwa mfano, huku Tanzania atajishuulisha na ma dispute gani?
 
Tanzania ina mahakama mbili za kimataifa huko arusha,The East African Court of Justice na Mahakama ya haki za binadamu ya afrika,nenda ukasome vizuri acha kukurupuka,na sheria si lazima udeal na dispute ,hata vituo vingi vya sheria na haki za binadamu unadhani vinatumia instruments zipi? Taasisi za kiraia za mazingira zinatumia instruments zipi? Panua akili yako,kila ukiwaza sheria unawaza kisutu
Na hata huu utitiri wa International Law hauna sana applicability huku Tanzania za dunia hii.

Mtaalam wa International law, kwa mfano, huku Tanzania atajishuulisha na ma dispute gani?
Na hata huu utitiri wa International Law hauna sana applicability huku Tanzania za dunia hii.

Mtaalam wa International law, kwa mfano, huku Tanzania atajishuulisha na ma dispute gani?
 
Back
Top Bottom