Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Nimeziangalia kwenye library yangu nimezikosa nitakuombea kwa mawakili wa Ardhi..Samahani mkuu unaweza kunipatia Land survey regulations?
Hasa kama itajumuisha forms.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeziangalia kwenye library yangu nimezikosa nitakuombea kwa mawakili wa Ardhi..Samahani mkuu unaweza kunipatia Land survey regulations?
Hasa kama itajumuisha forms.
Poa mkuu nashukuru sana.Nimeziangalia kwenye library yangu nimezikosa nitakuombea kwa mawakili wa Ardhi..
hakuna , msimaizi wa mirathi ataamua kwa haki na busara.Mambo vipi, nina swali hapa la sheria, naomba msaada tafadhali.. Mfano baba alifariki akiwa na mke na watoto wawili ndani ya ndoa kabisa... na hakuacha wosia kisha baada ya kifo wakaja watoto wengine wawili wa nje ya ndoa.. na mahakama ikasema wagaiwe mali pia.. je kuna swala la percent labda wa nje ni percentage flani na wa ndoani ikiwemo mjane ni percentage flani... Nashukuru
mfano ukoo ulifanya uhuni wakasema wanawajua na mahakama ndo ikaamua ivo wapewe mali pia... wa ndani ya ndoa ndio wataangaliwa zaidi au inapaswa kuwa pasu kwa pasu na hao wa nje ..??hakuna , msimaizi wa mirathi ataamua kwa haki na busara.
Watoto wa nje kama alikuwa hajawataja wakafahamika kabla ya kufa, imekula kwa
Asante kwa topic nzuri mie naomba black dictionaryHapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.
Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.
Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.
Wanasheria karibuni sana