Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Shuk
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k.

Binafsi nina e-library kubwa sana na napenda kushirikisha wengine kwa hivi vitu, isipokuwa kuna baadhi ya vitabu vina kopyright so sitoweka hapa kwenye public itabidi nikutumie kwa email adress au vinginevyo.

Pia mjadala wowote wa kisheria ni vizuri ukawekwa hapa ili tuwekane sawa.

Wanasheria karibuni sana


Shukrani saanaa Kwa Msaada wako Je unaweza nisaidia katiba ya South Africa, katiba ya jumuia ya Africa Mashariki ,katiba ya marekani ,katiba ya Kenya na pamoja na katiba ya Uingereza
 
Kiongozi. Je unayo katiba ya. Kenya ,katiba ya marekani na katiba ya Africa kusini na. Katiba ya jumuia ya afrika mashariki na katiba ya uingereza
 
Kaka nisaidie mimi mwananchi kujua kuwa nisome sheria ipi inayohusiana na settlement Agreement? Maana kuna hakimu anataka nisaini wakati mdaiwa kay nusutekereza nusu ya hukumu iliyotolewa
 
Naomba Msaada juu ya HISTORY OF LAW OF CONTRACT.
-Pre colonial period
-coronial period
- After colonial
 
Wadau, kuna mwenye rufaa ya serikali dhidi ya ndoa za utotoni pamoja na maamuzi ya mahakama kuu ? Naomba softcopy yake

Cc, Dragon tuvushe mwamba
 
Afu naomba kuungwa kwenye group no 0649810921
Screenshot_2019-06-16-15-41-44.jpeg
 
Back
Top Bottom